Joshua Nassari adanganya "live" ITV

Joshua Nassari adanganya "live" ITV

kikwete atuombe radhi kwa kutudanganya ya kuwa atatuletea maisha bora kwa kila mtanzania, lakini zaidi sana kwa kushindwa kutekeleza dhana aliyoiasisi ya kujivua gamba ndani ya ccm, lakini atuombe radhi kwa kuiporomosha thamani ya shilingi yetu, kikwete ATUOMBE RADHI WATANZANIA KWA KUSHINDWA KUSIMAMIA UCHUMI KWA NJIA IPASAYO, TAZAMA MAFUTA YA PETROL, DIEZEL NA MAFUTA YA TAA HAKUNA NCHI NZIMA!!!!!!!!!!!!!! Kikwete kapewa nini na wafanyabiashara wa madawa ya kulevyaaaa!!!! alituambia "orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya ninayo" au biashara hiyo ni halali nchini kwetuuuuu!!!!!!!
Usiende nje ya mada, kama unataka kikwete aombe radhi anzisha uzi mwingine, hapa tunaangalia Dogo katoa wapi data za miaka 47 , kama unazo leta hapa
 
wala hajakosea na huu UKIMWI ndo kabisa hata hiyo 47 ni mingi
 
Shida ni kwamba mnatetea bila kuleta wapi hiyo ya miaka 47 imepatikana.. tuwe wakweli tu hapa dogo alikurupuka

kwani sisi tumekuja kumtetea nassari au tunatetea uhalisia wa data? kwa hiyo kwakuwa nassari kata wrong na nyie mnapika data zenu huko Lumumba ili mlete ubishi jamvini? hata hivyo 47 ya nassari inakaribiana na ukweli kuliko hiyo iliyotoka Lumumba ya 58, loh!
 

Fata link nimeweka kwenye post #1 (huwa sikisii) utajuwa, weka source yako inayokubaliana na Nassari kama hujashushuka......

Ingawa kuna takwimu (sources) za kila aina katika mambo ya msingi hapa TZ hata unashindwa kujua ipi ndo sahihi maana hatutengenezi sisi wenyewe.

Hata wewe nawe umekosea tuu, maana umetupa Life expectance at birth (female) badala ya Life expectance at birth (Total).

kuwa makini ndugu katika kusadikisha watu wamesoma huwezi danganya danganya unavyotaka wewe
.
 
kwani sisi tumekuja kumtetea nassari au tunatetea uhalisia wa data? kwa hiyo kwakuwa nassari kata wrong na nyie mnapika data zenu huko Lumumba ili mlete ubishi jamvini? hata hivyo 47 ya Nassari inakaribiana na ukweli kuliko hiyo iliyotoka Lumumba ya 58, loh!......

Ukweli upi? su useme basi mbona unaongelea juu juu?
 
Hapana wewe ndio muongo, mimi nilimsikia alisema 52. Weka clip tusikilize
 

Ukweli upi? su useme basi mbona unaongelea juu juu?

Hana data huyo tumemmwagia za UNDP zilizomwagwa mpaka kwenye vyombo vya habari hapa hapa Tanzania, bado tu anatetea Ubaguzi wa Ujinga.
 
kwa kweli, amedanganjya umma wa watanzania, swali ni kwanini?
watanzania wengi kuanzia na viongozi wake hawana taarifa wakati, hawana uptodate info,
hawana sifa ya kupenda kujisomea, kupata info mpya especially demographic ambazo ziko zinachange kila wakati, , sasa ni ushauri kwa wote, viongozi na wananchi tupende kujisomea, kupata elimu wakati, kwa viongozi wa siasa na wengine wakumbuke kwamba maelezo wanayotoa kwa majukwaa yana influence kubwa either kudumisha au kuendeleza, wawe makini na data walizo nazo, , ,
 
Hapana wewe ndio muongo, mimi nilimsikia alisema 52. Weka clip tusikilize

Dokta Mkumbo, kwa hiyo avatar (unajuwa kuwa avatar ni neno lenye asili ya Asia) yako nilidhani una matatizo ya macho tu, kumbe hata ya masikio unayo! Inabidi uonane na Dokta Ulimboka haraka sana akufanyie uchunguzi wa masikio, utakuwa huwasikii vijana wanapokuuliza chuoni.
 
Ninayo orodha ya viongozi wa dini wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya.......ni...

ninayo orodha ya majambazi sugu nchini,wajisalimishe la sivyo tutawasaka popote walipo. Baada ya muda kimyaaaa kama siyo yeye.
 
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.
Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.
Wabunge wengine sijui wako dunia ipi, yaani hiyo "life expectancy" ni miaka ya Nyerere huko si leo wala jana.
Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.

Kwa hiyo fao la kujitoa licirudishwe kisa life expectancy imekuwa ni miaka 58..?
 
Hii naona imekaa vizuri. Naomba nikuuliza swali la ufahamu, hivi kwa nini mwaka 1995 ilishuka hivyo?
 
Shida ni kwamba mnatetea bila kuleta wapi hiyo ya miaka 47 imepatikana.. tuwe wakweli tu hapa dogo alikurupuka
Inawezekana hakukurupuka ila source yake ndio haijajulikana bado....hatupaswi kusema mengi ila source nyingine huwa si za kweli
 
Ingawa kuna takwimu (sources) za kila aina katika mambo ya msingi hapa TZ hata unashindwa kujua ipi ndo sahihi maana hatutengenezi sisi wenyewe.

Hata wewe nawe umekosea tuu, maana umetupa Life expectance at birth (female) badala ya Life expectance at birth (Total).

kuwa makini ndugu katika kusadikisha watu wamesoma huwezi danganya danganya unavyotaka wewe
.

..........

Sasa zake kazitowa wapi? Ikiwa:


UNDP wanasema hivi na si hivyo tu wanazitoa rasmi mbele ya waandishi wa habari, unaweza kuzikataa?

expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP's Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Thursday, 03 November 2011 22:59
Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.

Source: Tanzania

Ndio hizi hapa data zenyewe:

attachment.php


zangu zinatoka hapa: http://hdrstats.undp.org/images/explanations/TZA.pdf
 
Kwanza hata hiyo aliyosema iko juu, life expectancy ni 32%. Source, mimi mwenyewe.
 
Dokta Mkumbo, kwa hiyo avatar (unajuwa kuwa avatar ni neno lenye asili ya Asia) yako nilidhani una matatizo ya macho tu, kumbe hata ya masikio unayo! Inabidi uonane na Dokta Ulimboka haraka sana akufanyie uchunguzi wa masikio, utakuwa huwasikii vijana wanapokuuliza chuoni......

Mnapenda sana kushughulishwa na mambo manyonge baada ya kuangalia mambo ya maana yanayoendelea kulimaliza taifa letu.

Chaguzi zote za CCM zinafanywa kwa rushwa na mpaka mbunge anakamatwa na rushwa kununua uongozi ndani ya CCM,ilianza UWT,vijana sasa wazazi kote ni rushwa tu.

Tunategemea kuvuna viongozi wa aina gani wanaochaguliwa kwa rushwa? hayo ndiyo ya kutafutia ufumbuzi si kauli ya Joshua Nassari inayojadiliwa kutwa nzima wala haina madhara makubwa kwetu watanzania.
 
Back
Top Bottom