Joshua Nassari adanganya "live" ITV

Joshua Nassari adanganya "live" ITV

mag.....
Amekuwa muongo, mzushi tangu aanze kujishughulisha na masuala ya siasa.

Alianza kwa kutudanganya kuwa atamuoa HALIMA MDEE, hiyo haikutosha akaja na madai ya kutaka Kaskazini wajitenge na sasa anakuja takwimu feki za life expectancy ya mtanzania. Huwa simuelewi kabisa huyu dogo kwa jinsi anavyokurupuka na maneno utafikiri sungura aliyekurupushwa na Mbwa toka kichakani.
 
Siyo kila anachosema mwansiasa kutoka CDM ni cha kweli, hata kama ni CDM kwani hamkosei? Naona CDM wanakuwa wagumu sana kuelewa na kubishana vitu vidogo vidogo kama hv, ki ukweli na kwa takwimu sahihi, Nassari kachemka, hata kama siipendi CCM lakini kwa ukweli utasemwa tu so long as tunajenga na si kusifia ujinga hata kama umesemwa na mtu wa CDM!

Swadakta, wa aina hiyo niliwawekea nyuzi: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/345499-watanzania-na-ubaguzi-wa-ujinga.html
 
Nakuhakikishia huna hoja. Hoja ni kuwa Nassari kadanganya katoa hesabu za uongo, wewe kama unaona hajasema uongo tuwekee za kweli hapa.

Unajuwa kusoma?

Vipi zomba, mbona miaka 47 imekugusa sana au umefikisha miaka 46 sasa unaogopa mwakani ndiyo bye bye? :glasses-nerdy:
 
Woote hamfahamu mnaongea nini sidhani kama kuna hata mmoja wenu anafaham how 47 and 58 numbers can be categorized in statistics!!! jaribuni kuwa logical mnavobishana.. nani kati yenu amesomea masuala ya takwimu at least Diploma??? maana nikiuliza degree level nitawagalagaza bure jaribuni kuuliza sio kukosoa kosoa tu kama hamfahamu ulizeni..
58-47=11
(11/58)x100=18.97%
Since 18.97%<25% it is within the acceptable limit.
Acheni ushamba.
 
Vipi zomba, mbona miaka 47 imekugusa sana au umefikisha miaka 46 sasa unaogopa mwakani ndiyo bye bye? :glasses-nerdy:

Hapana, AlhamdulilLah, mimi ni over half a century.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwa kuwa kuna taasisi zenye mamlaka ya kutupa takwimu za nchi, ni vizuri kusikiliza kinachoongewa na welevu ingawa kujiridhisha na vyanzo husika na ni busara zaidi. Joshua N ni binadamu anaweza kukosea kama mwingine yeyote.
 
Woote hamfahamu mnaongea nini sidhani kama kuna hata mmoja wenu anafaham how 47 and 58 numbers can be categorized in statistics!!! jaribuni kuwa logical mnavobishana.. nani kati yenu amesomea masuala ya takwimu at least Diploma??? maana nikiuliza degree level nitawagalagaza bure jaribuni kuuliza sio kukosoa kosoa tu kama hamfahamu ulizeni..
58-47=11
(11/58)x100=18.97%
Since 18.97%<25% it is within the acceptable limit.
Acheni ushamba.

Walewale Ubaguzi wa Ujinga, https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/345499-watanzania-na-ubaguzi-wa-ujinga.html

Acceptable level ya nani? wakati takwimu zote duniani zina variance ya 5% ndio best, above that up to 10% ni moderate, above that ni poor. 18.97% ni very poor statics variance, not even worth mentioning.

Ashaakum si matusi, ikiwa wasomi wa Tanzania ndio kina wewe, si hasha hii nchi imedumaa kimawazo, mnatetea hata uongo.
 
Hayo ya Nassari na Halima sio kigezo cha kumhukum kwamba ni muongo...Iwapo kweli angemuoa, wewe ungenufaika vipi? Halafu kwa mtu muelewa na msomi, hapa kwetu hatuna data za aina moja! Tuna data kibao ambazo zote zinasema na kutoa taswira ya kitu kimoja! Hii inategemea na mwandishi mwenyewe kwamba anaegamia upande upi. Mfano, leo utaambiwa kwamba inflation rate ni 12%. Serikali itasema ni 9%. Lakini ukiwabana watu wa BoT huku mitaani, watakuambia kwamba ni 19%. Sasa utashika lipi?
 
Zomba kubali kuwa namba haipandi. Rudi darasani kama hutaki kunyanyaswa. Lakini kumbuka Nasari ni mbunge tu ila inapotokea Waziri Mkuu kuwa Mwongo kwa maslahi ya chama chake na kupuuza maslahi ya Umma wa Watanzania, hilo siyo tatizo?
 
Table 10 (ctd): Summary of Demographic Indicators - Tanzania Total

Indicators 2012 2013 2014 2015 2016
Fertility
TFR 4.9 4.7 4.6 4.5 4.4
GRR 2.4 2.3 2.3 2.2 2.2
NRR 2 2 1.9 1.9 1.8
Mean Age of Childbearing 28.8 28.8 28.8 28.8 28.8

Child-woman ratio 0.7 0.7 0.7 0.7 0.6
Mortality
Male LE 54 54 55 55 56
Female LE 57 58 58 58 59
Total LE 56 56 56 57 57
Source: Tanzania Population Projections in Single Years, 2003 - 2025
 
Ni walewale, mnaotaka kulazimisha kisichokuwepo, soma huu ya UNDP, hiyo yako ya wakati wa Nyerere:

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Tanzania’s life expectancy rises[/TD]
[TD="class: buttonheading, align: right"] Send to a friend[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Thursday, 03 November 2011 22:59[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP’s Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Tanzania

Just to show you that those "statistics" come from the Tanzanian government hebu soma hapa BBC News - Tanzania profile - Facts halafu uniambie ipi ni ipi.

FYI: Kuna takwimu zinazopelekwa na nchi - and they are always taken with a pinch of salt - kabla ya zile zinazotolewa na wenyewe. Kwa mfano, hebu nipe statistics za MDG, halafu uniambie alichoongopa Nassari.
 
1) soma kwenye hizo za CIA chini kabisa zinasemaje? halafu siziamini kwani CIA ni kiwanda cha uongo kama alivyo Nassari

2) Za UNDP zimetangazwa rasmi na hakuna aliyezipinga mpaka leo.

3) Za Nassari hujaweka, kazitowa wapi au hata zinazifanana na hoyo 47 hujaweka.

Ubaguzi wa Ujinga!.

Nassari anaongelea takwim halisi za maisha ya mtanzania wewe unaongelea takwimu za UNDP
 
Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.

Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.


tanzania-life-expectancy-at-birth-female-years-wb-data.png

Source: Life expectancy at birth in Tanzania

Na hizi nyingine:

Chanzo kilichotangazwa waziwazi mbele ya waandishi wa habari, hizo takwimu za Nassari za miaka ya utawala wa Nyerere, nna uhakika hata yeye alikuwa bado hajazaliwa.

UNDP wanasema hivi na si hivyo tu wanazitoa rasmi mbele ya waandishi wa habari, unaweza kuzikataa?

expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP’s Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Thursday, 03 November 2011 22:59
Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.

Source: Tanzania

Ndio hizi hapa data zenyewe:

attachment.php


zangu zinatoka hapa: http://hdrstats.undp.org/images/explanations/TZA.pdf


Wabunge wengine sijui wako dunia ipi, yaani hiyo "life expectancy" ni miaka ya Nyerere huko si leo wala jana.

Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.

BTW: Unajua "Time Series Data" zina maana gani? Result itokanayo na time series data ni prediction au actual?
 
Tanzania Population Projection (Official Statistics from National Bureau of Statistics)

TLE = 56 years (2012)
Male LE = 54 years (2012)
Female LE = 57 years (2012)

Hizi ni kwa mujibu wa projections zilizotolewa na ofisi ya taifa ya Takwimu. Sasa kama ni kuangalia usahihi ni nani sahihi kati ya Zomba na Nasari? Source ya huyu jamaa ina - mislead.
 
hivi huyu na yule aliyesema tanzania iliundwa na muungano wa ......... yupi muongo kamili? however 2 wrongs doesnt make it right
 
utakuwa unashabikia hilo fao la NSSF lisifutwe ndoo maana unailazimisha ipite 55 tumeshakushitukia na tutakuamini vipi wewe?


Mbunge Joshua Nassari amedanganya alipokuwa anahojiwa na ITV kwenye viwanja vya bunge Dodoma aliposema "life expectancy" ya Mtanzania ni miaka 47 kwa sasa.

Huo si ukweli kabisa, uwiano wa "life expectancy" ya Mtanzania si chini ya miaka 58 kwa sasa.


tanzania-life-expectancy-at-birth-female-years-wb-data.png

Source: Life expectancy at birth in Tanzania

Na hizi nyingine:

Chanzo kilichotangazwa waziwazi mbele ya waandishi wa habari, hizo takwimu za Nassari za miaka ya utawala wa Nyerere, nna uhakika hata yeye alikuwa bado hajazaliwa.

UNDP wanasema hivi na si hivyo tu wanazitoa rasmi mbele ya waandishi wa habari, unaweza kuzikataa?

expentance.jpg
Director of Economic and Social Research Foundation (ESRF), Dr Bohela Lunogelo (Left) speaks in Dar es Salaam yesterday during the launch of Human Development Report 2011. Center is UNDP’s Economic Adviser, Amarakoon Bandara and UN Resident Coordinator Mr Alberic Kacou. PHOTO | VENANCE NESTORY

By Ludger Kasumuni
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Thursday, 03 November 2011 22:59
Tanzanians now have higher life expectancy fixed at 58.2 years at birth than the rest of the citizens of East African Community (EAC), the 2011 Human Development Report (HDR) released by the United Nations Development Programme (UNDP) shows.

According to the report released yesterday by the UN Resident Coordinator in Tanzania, Mr Alberic Kacou, taking the lead in the EAC in terms of ranking of life expectancy, Kenyans follow Tanzanians with life expectancy of 57.1 years and Rwandans with 55.4 years.

Source: Tanzania

Ndio hizi hapa data zenyewe:

attachment.php


zangu zinatoka hapa: http://hdrstats.undp.org/images/explanations/TZA.pdf


Wabunge wengine sijui wako dunia ipi, yaani hiyo "life expectancy" ni miaka ya Nyerere huko si leo wala jana.

Mpaka sasa sielewi huyu Mbunge anapata faida ipi kuwadanganya umma wa Watanzania kupitia vyombo vya habari.
Aombe radhi haraka sana.
 
Hayo ya Nassari na Halima sio kigezo cha kumhukum kwamba ni muongo...Iwapo kweli angemuoa, wewe ungenufaika vipi? Halafu kwa mtu muelewa na msomi, hapa kwetu hatuna data za aina moja! Tuna data kibao ambazo zote zinasema na kutoa taswira ya kitu kimoja! Hii inategemea na mwandishi mwenyewe kwamba anaegamia upande upi. Mfano, leo utaambiwa kwamba inflation rate ni 12%. Serikali itasema ni 9%. Lakini ukiwabana watu wa BoT huku mitaani, watakuambia kwamba ni 19%. Sasa utashika lipi?

Hiyo data ya Nassari kaitoa wapi? kama na wewe unaijuwa si utuwekee hapa. Wacha porojo na kutetea uongo, au wewe ni miongoni mwa wale wale: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/345499-watanzania-na-ubaguzi-wa-ujinga.html
 
Walewale waliojazwa Ubaguzi wa Ujinga. Weka wewe takwimu zako za mwaka huu au mwaka jana au mwaka juzi zinazokubaliana na za Joshua Nassari. Mimi nimeweka na source na link unaifata unasoma ukipinga unakuja na zako na source na link.

yote uliyosema ni kweli kama hana link mwambie anyamaze tu koz kunyamaza siokushindwa.but sensa ya mwaka 2002 life exp.woman 52 man 51.now ni miaka 10 inawezekana kuengezeka kiwango hicho kwa sababu jakaya amesema ataboresha maisha bora kwa kila mtanzani kwa hvyo bas elfu 2022 tunatarajia life exp.yetu 64.
 
Back
Top Bottom