Joshua Nassari adanganya "live" ITV

Joshua Nassari adanganya "live" ITV

[QUOTE=Nassari ni mwanasiasa si lazima ataje takwimu hizo kifasaha ila naamini alitumia takwimu za benki ya dunia juu ya ukuaji wa uchumi na hali za maisha ya watu kusini mwa jangwa la sahara.Hivyo si sahihi kumwita kamanda wa M4C mwongo ni ww usiyesoma na kutafiti
 
Nassari ni mwanasiasa si lazima ataje takwimu hizo kifasaha ila naamini alitumia takwimu za benki ya dunia juu ya ukuaji wa uchumi na hali za maisha ya watu kusini mwa jangwa la sahara.Hivyo si sahihi kumwita kamanda wa M4C mwongo ni ww usiyesoma na kutafiti[/QUOTE said:
Siasa za kudanganyana ni hukohuko chadema, ukifika viwanja vya bunge unawakilisha Watanzania na unakuwa mtunga sheria wa Watanzania wote, huna haki ya kuzuwa uongo wa kijinga.
 
Mzee hii ishu mbona kama unataka kuchukua point kwa Nassari...au unatengeneza habari..
 
Mimi hapa sioni kama kuna hoja ya kujadili kwa muda wote huu. Mwenzenu Zomba analipwa kwa kuanzisha vitu visivyo na tija kwa taifa na kufanya watu wasahau kujadili yaliyo ya msingi kwa Taifa. Rushwa inagawiwa kama njugu hata Amiri jeshi mkuu analalamika bila ya kuchukua hatua, leo hii tunajadili life expectancy ambayo kwa nchi kama Tanzania ni vigumu kuijua kwani factors zinazopelekea kuongezeka au kupungua ni nyingi, mjawapo ikiwa ni huduma za afya.
Wana JF msikubali kutolewa kwenye hoja nzito kwa manufaa ya Taifa na badala yake tunawatengenezea watu ugali, tunavyojadili muda mrefu ndio tunavyomuongezea ZOMBE mshiko mana hajalala tangu jana, yeye ni kusoma na kujibu tu
 
Back
Top Bottom