Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
na mku wako aliyeagiza mwanamke kutoka singida?Ingekuwa Marekani, slaa angekuwa ameshafilisika kisiasa ila kwa kuwa bongo hamjali personal issues basi ndo twasema hewala
na mku wako aliyeagiza mwanamke kutoka singida?Ingekuwa Marekani, slaa angekuwa ameshafilisika kisiasa ila kwa kuwa bongo hamjali personal issues basi ndo twasema hewala
we mwenyewe hujazaliwa ndani ya ndoa na watoto wa nje ya ndoa.hivi hawa walifunga ndoa lini? natoa shilingi kumpongeza dr........kwa hadhi yake na umri alionao kuzaa nje ya ndoa ni utovu wa nidhamu na atapongezwa na wale wahuni tu.............ni maoni tu
Tunaangalia ability ya mtu kuongoza nchi na hoja zake ni nzito kiasi gani, awe mzinzi muasherati hiyo sie haituhusu sababu hiyo sio kipimo cha uongozi bora,ndio maana hata bill clinton aliachwa aendelee kuongoza baada ya scandal ya monica,acheni hasira zisizo na maanaHapa mnafiki nani? Hivi unaelewa maana ya unafiki au unasikia tu neno hilo. Ukitaka wewe uonekane sio mnafiki basi NIPE MKEO NIMPE MIMBA, halafu UNIPONGEZE. Hapo nitajua wewe kweli si mnafiki. Acheni hypocrisy, yale usiyopenda kutendewa usiyatende kwa wengine. Sasa mtu utaliaje na wezi wa pesa wakati wewe ni mwizi wa wake za watu! Naomba kutoa hoja.
Hahhahahahaahaa ngongo nimecheka mpaka kiselula kimedondoka lol kuna watu wanjua kuchekesha kwa hiyo wasimvalishe magwanda sio???Hongera Mama Mshumbuzi hongera Dr Slaa.Angalizo mtoto avae nguo za watoto.Magwanda avae akifikisha miaka mitano.
Hongera kwa kuleta kiumbe duniani, hivi huyu ni mtoto wa ngapi wa Dr. Slaa? naskia ana mabinti wakubwa tu. Ningependa niwe wa kwanza kupendekeza jina amuite Rizitwo
Hongera kamanda Slaa,
Hivi huyu ndio mtotowake wa kwanza?
kwahiyo ibrahim aliyemzaa isaka aliyemzaa yakobo (israel) alikuwa mwislam?
<br />Naanza kwa kuwashukuru wote,naheshimu mawazo na mchango wa kila mmoja kwani kila mtu ananena kilichomo ndani ya moyo wake.Jambo moja tu naloweza kusema sikumpata mtoto kwa bahati mbaya wala kumbahatisha,nilimtamani na kumuhitaji hivyo namshukuru Mungu ameniwezesha,kwangu mimi ni mtoto wa thamani sana Namtukuza Mungu wakati wote.<br />
kwenu ninyi mnaomtamkia maneno yafedheha nayarudisha kwenu na familia zenu,Mungu aliyeniumba hajanihesabia dhambi iweje ninyi?<br />
<br />
Hatutayumbishwa na maneno ya watu tutamuangalia Mungu aliyetuumba kwani yeye ndiye taa na nuru yetu wakati wote,anayajua mapito yetu lakini pia anaijua kesho yetu.Yeye ndiye aliyetuwezesha kama angetuhukumu kama baadhi yenu hapa basi alikuwa na uwezo wakuzuia kila kitu kisiwezekane.Najua jambo moja tu Njia zake siyo kama za mwanadamu.Mungu awabariki.
<br />Hahhahahahaahaa ngongo nimecheka mpaka kiselula kimedondoka lol kuna watu wanjua kuchekesha kwa hiyo wasimvalishe magwanda sio???
walizusha last week kuwa kazaa, ila leo hata mimi kuna dereva wa pale makao makuu ya cdm ameniambia hii news leo, mzee slaa bwana alikosa vitu hivi miaka yote ya ujana wake alipokimbia utawa tu akakutana na dunia akadata ona anavyokula raha za dunia sasa.
<br />Du! Katika Umri huu bado mnazaa Mungu hawasaidie