Josephine Mshumbusi ajifungua

hivi hawa walifunga ndoa lini? natoa shilingi kumpongeza dr........kwa hadhi yake na umri alionao kuzaa nje ya ndoa ni utovu wa nidhamu na atapongezwa na wale wahuni tu.............ni maoni tu
we mwenyewe hujazaliwa ndani ya ndoa na watoto wa nje ya ndoa.
 
Hapa mnafiki nani? Hivi unaelewa maana ya unafiki au unasikia tu neno hilo. Ukitaka wewe uonekane sio mnafiki basi NIPE MKEO NIMPE MIMBA, halafu UNIPONGEZE. Hapo nitajua wewe kweli si mnafiki. Acheni hypocrisy, yale usiyopenda kutendewa usiyatende kwa wengine. Sasa mtu utaliaje na wezi wa pesa wakati wewe ni mwizi wa wake za watu! Naomba kutoa hoja.
Tunaangalia ability ya mtu kuongoza nchi na hoja zake ni nzito kiasi gani, awe mzinzi muasherati hiyo sie haituhusu sababu hiyo sio kipimo cha uongozi bora,ndio maana hata bill clinton aliachwa aendelee kuongoza baada ya scandal ya monica,acheni hasira zisizo na maana
 
Hongera Mama Mshumbuzi hongera Dr Slaa.Angalizo mtoto avae nguo za watoto.Magwanda avae akifikisha miaka mitano.
Hahhahahahaahaa ngongo nimecheka mpaka kiselula kimedondoka lol kuna watu wanjua kuchekesha kwa hiyo wasimvalishe magwanda sio???
 
Hongera kwa kuleta kiumbe duniani, hivi huyu ni mtoto wa ngapi wa Dr. Slaa? naskia ana mabinti wakubwa tu. Ningependa niwe wa kwanza kupendekeza jina amuite Rizitwo

Huyu ni mtoto wa tatu,making a total of 2gentlemen and 1lady,....
The Lady,kama alikua anasoma course ya miaka mi-3 basi kamaliza chuo (Ardhi)
mwaka huu,kama ni course ya miaka minne,basi atamaliza chuo mwakani!

The other boy,october possibly atakua anaingia chuo!

What is bad /good ni kwamba these two kids are a lot of miles away from politics
ingawa dad na mama yao ni wana siasa!

Sijui huyu wa tatu itakuaje,maybe ndo atarithi siasa

Hongera kamanda Slaa,
Hivi huyu ndio mtotowake wa kwanza?
 
Naanza kwa kuwashukuru wote,naheshimu mawazo na mchango wa kila mmoja kwani kila mtu ananena kilichomo ndani ya moyo wake.Jambo moja tu naloweza kusema sikumpata mtoto kwa bahati mbaya wala kumbahatisha,nilimtamani na kumuhitaji hivyo namshukuru Mungu ameniwezesha,kwangu mimi ni mtoto wa thamani sana Namtukuza Mungu wakati wote.<br />
kwenu ninyi mnaomtamkia maneno yafedheha nayarudisha kwenu na familia zenu,Mungu aliyeniumba hajanihesabia dhambi iweje ninyi?<br />
<br />
Hatutayumbishwa na maneno ya watu tutamuangalia Mungu aliyetuumba kwani yeye ndiye taa na nuru yetu wakati wote,anayajua mapito yetu lakini pia anaijua kesho yetu.Yeye ndiye aliyetuwezesha kama angetuhukumu kama baadhi yenu hapa basi alikuwa na uwezo wakuzuia kila kitu kisiwezekane.Najua jambo moja tu Njia zake siyo kama za mwanadamu.Mungu awabariki.
<br />
<br />
hongera mama yev
 
Jamani tusijifanye tunajua sana kuhukumu, kwa kumbukumbu zangu na historia yangu finyu juu ya dini nabii Ibrahim ( baba wa dini zote kuu mbili hapa bongo Ukristo na Uislamu) alizaa nje ya ndoa tena alizaa na mjakazi wake wakapata mtoto wa kiume wakamuita Isihaka au Isaac huyu ndie waislam wanaamini hadi leo kuwa ndio chimbuko la dini hiyo na pale alipopumzika mama wa Isihaka akitafuta mji hadi leo kunachemchem ya zamzam watu waendao kuhija Makka wanaijua vizuri chemchem hii. Mfalme Daud alimtwaa mke wa kamanda wake wa jeshi wakati mwenye mke akiwa vitani na baada ya kumtwaa walizaa mtoto kama sikosei ndio mfalme solomon au Suleiman ( kwa waislam) sasa kwa nini Slaa ndio aonekane mnafiki, afterall Josephine alishasema kuwa yule jamaa walikuwa wameacha kitambo kirefu 9 kama mwaka hivi) na kesi si imekufa kibudu!
 
du kweli alikosa raha za duniani
walizusha last week kuwa kazaa, ila leo hata mimi kuna dereva wa pale makao makuu ya cdm ameniambia hii news leo, mzee slaa bwana alikosa vitu hivi miaka yote ya ujana wake alipokimbia utawa tu akakutana na dunia akadata ona anavyokula raha za dunia sasa.
 
Back
Top Bottom