Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Mkuu, vipi wewe ikitokea kwa mfano John Komba, kampa mimba mke wako wewe utajiskiaje?
yananihusu nn mie hayo? hata wewe hayakuhusu pia...
Mkuu, vipi wewe ikitokea kwa mfano John Komba, kampa mimba mke wako wewe utajiskiaje?
sitaki nionekane mdini lakini hilo jina ni la kiislam na slaa ni mkristo..labda majina hayamaanishi kitu.(correct me if iam wrong)Nasikia Dk slaa amepata kijana. kwa kuwa mazingira ya UCHUMBA, mitikisiko ya mapambano aliopata mzazi wa mtoto huyo(Mchumba wa dk slaa) akipigania uhuru wa pili wa mtanzania ni wazi mtoto huyo anahitaji kupewa jina kama Kumbukumbu.
akizaliwa ktk mazingira magumu(mapambano ya mama yake na Polisi Arusha) huku baba yake akiwa na kesi mahakamani. ni wazi jina linalomfaa kijana huyo ni
"Ibrahim"
ilo jina la kikisto bwana mbona mi milisoma seminari na mtu anayeitwa Ibrahimsitaki nionekane mdini lakini hilo jina ni la kiislam na slaa ni mkristo..labda majina hayamaanishi kitu.(correct me if iam wrong)
ilo jina la kikisto bwana mbona mi milisoma seminari na mtu anayeitwa Ibrahim
abraham linafaa vilevile linafit kote!sitaki nionekane mdini lakini hilo jina ni la kiislam na slaa ni mkristo..labda majina hayamaanishi kitu.(correct me if iam wrong)
wanamagwanda bwana, wameshasahau mambo ya Arusha!
hongera sana Mama yetu Josephin, mungu amlinde na ampe maisha malefu kamanda mpya, slaa umepata kamanda atakae endeleza fikra zako za utetez wa wanyonge ktk taifa letu. Hakika we are happy 4 u makamanda wote tanzania.wanamagwanda bwana, wameshasahau mambo ya Arusha!
hongera sana Mama yetu Josephin, mungu amlinde na ampe maisha malefu kamanda mpya, slaa umepata kamanda atakae endeleza fikra zako za utetez wa wanyonge ktk taifa letu. Hakika we are happy 4 u makamanda wote tanzania.wanamagwanda bwana, wameshasahau mambo ya Arusha!
hivi hawa walifunga ndoa lini? natoa shilingi kumpongeza dr........kwa hadhi yake na umri alionao kuzaa nje ya ndoa ni utovu wa nidhamu na atapongezwa na wale wahuni tu.............ni maoni tuHilo jina halifai kabisa, atamuambukiza uzembe, ufisadi na safari nyingi zisizo na tija kwa familia na taifa lake.