Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,768
- 894
Hongera Josephine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana wanafamilia wa dr slaa, huyu mtoto aitwe mapambano maana........Hongereni.mwanamapinduzi mwingine kaja duniani.peoplez power
Umenena vema!NimeipendaDr Slaa uniwie radhi, with all due repects.
Sina pongezi za kukupa kulingana na tatizo la kijamii ulilolitengeneza.
Umezaa na "mchumba" ambaye ni mke wa mtu.
Unaweza kuwa huna kosa , na nafikiri kosa ni la Josephine kwa kutoeleza ukweli.
Kulingana na habari ambazo hazijakanushwa Josephine bado ni mke wa mtu, not withstanding kwamba hawajatengana rasmi na mume wa zamani.
Na Dr Slaa ukiwa Mkatoliki msimamo wa Ukatoliki katika kutengana uko wazi-kitu hicho hakiexist.
Ni vema mkayaweka maisha yenu katika mtiririko unaokubalika kikanisa.
Hata hivyo mimi nampongeza huyo mtoto aliyezaliwa kwa kuingia duniani.
Hatima ya mtoto huyu kimaisha(kwa kipato) inaweza kuwa hakuna tatizo lakini mtoto anatengenezewa mazingira ambayo hata akikua , hata yeye hata yapenda.
Hongera Slaa Jnr!!!
Dr Slaa uniwie radhi, with all due repects.
Sina pongezi za kukupa kulingana na tatizo la kijamii ulilolitengeneza.
Umezaa na "mchumba" ambaye ni mke wa mtu.
Unaweza kuwa huna kosa , na nafikiri kosa ni la Josephine kwa kutoeleza ukweli.
Kulingana na habari ambazo hazijakanushwa Josephine bado ni mke wa mtu, not withstanding kwamba hawajatengana rasmi na mume wa zamani.
Na Dr Slaa ukiwa Mkatoliki msimamo wa Ukatoliki katika kutengana uko wazi-kitu hicho hakiexist.
Ni vema mkayaweka maisha yenu katika mtiririko unaokubalika kikanisa.
Hata hivyo mimi nampongeza huyo mtoto aliyezaliwa kwa kuingia duniani.
Hatima ya mtoto huyu kimaisha(kwa kipato) inaweza kuwa hakuna tatizo lakini mtoto anatengenezewa mazingira ambayo hata akikua , hata yeye hata yapenda.
Hongera Slaa Jnr!!!
duhu. hongera dk slaa kwa kupta mtoto wa 1
duhu. hongera dk slaa kwa kupta mtoto wa 1
Huo ulikuwa ni upupu! Na bila shaka ni kwmb kuna m2 ali2mwa aje aharibu hali ya hewa humu kipindi hicho na alipofika aka2kuta tupo POWERRRRRRRR!!Kulikuwa na habari hapa mwezi uliopita kwamba josephine kajifungua Regency hebu tuwekeni sawa wakuu.
alitaka dokta azae na mama yake....imeshindikana ndo anabwabwajaMjukuu ni wao, sasa wewe kinakuwasha nini??
mbona mamako hakunihakikishia kama wewe ni mtoto halali wa huyo unaemwita baba?Ikiwa ni mtoto wa 1 kwa umri huu alionao na huyu mama inasemekana bado ni mke wa mtu, nadhani kitengo cha dna inabidi kituhakikishie.
Niorozeshee amri za Mungu 3 tu unazozijua ambazo hakuna rais hata mmoja wa Tz aliyezivunjaKwa hayo huyo ndie awe Rais wa Watanzania, wengi wao hawapendi kuvunja amri za Mungu. Inashangaza sana.