Joseph Msukuma ni nani?

Joseph Msukuma ni nani?

We huwajui hawa jamaa. Ulisikia alichokisema? kwanza kwa taarifa yako, Magufuri na Msukuma ni mtu na mpwa wake. Alikuwa kambi ya Lowassa kwa kuwa alikuwa wazi, Magufuri hakuwa wazi. lkn ni ndg kabisa
 
Ninavyojua ni kuwa, Musukuma ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita & Magufuli anatokea mkoa wa Geita. Raisi Kikwete aliwaambia wagombea wakakae katika mikoa yao, na Magufuli alifanya hivyo. Musukuma ndiye kiongozi au boss wa Magufuli kichama kwa mkoa & he was the best option to seat next to. Wewe unaona kuna shida hapo? Mimi sidhani.
 
hv hawa jamaa wanaomlinda maguful ni usalama wa ccm au usalama wa taifa kama ni wataifa basi wapelekewe ulinzi na wagombea urais wengne dah ccm wanatumia nguvu kaz ya wote kwa matumiz yao ya chama wale wanalipwa ela ya kodi ya wananchi tena wengne c wanachama wa ccm au wanalipwa ela za ccm?
 
Kingunge alikuwa mjamaa Enzi Za Nyerere, Enzi Za Kikwete Kawa fisadi, mtu unabadilika kutokana na mazingira na kucheza na fursa na yeye Sasa hivi atabadilika atamuunga mkono magufuli, kama alivyobadilika Sofia simba.
Mkuu,
Nani alikuambia Kingunge alikuwa mjamaa?

Kingunge alikuwa ni fisadi ndani ya ngozi ya kijamaa.
 
Kingunge alikuwa mjamaa Enzi Za Nyerere, Enzi Za Kikwete Kawa fisadi, mtu unabadilika kutokana na mazingira na kucheza na fursa na yeye Sasa hivi atabadilika atamuunga mkono magufuli, kama alivyobadilika Sofia simba.

Mkuu Sophia Simba kamkacha Lowassa?
 
ndugu zanguni. tulikuwa tunawaambia siku zote. dr. magufuli alikuwa ndio anafaa zaidi kwa nafasi ya urais kwasasa. Mungu amesaidia. maombi yangu yametimia.
 
Sioni tatizo katika alichokifanya Msukuma. Taking sides is not necessarily a bad thing. Risk yake inaweza kuwa kubwa lakini kwenye field ya biashara kuna dhana ya kwamba potential return rises with an increase in risk. Msukuma anaweza kuwa alijikuta kwenye upande wa risk mara baada tu ya Magufuli kutangazwa kuwa mshindi but je hii ni risk ya kweli kwake? Afterall, it is politics. I don't expect any act of retribution against Msukuma kutokana na Magufuli kuteuliwa. Losses kama hizi huwa siyo tatizo kwa wanasiasa mahiri na opportunists wanaojua kuona fursa kwenye tatizo. Kwahiyo, nadhani umeenda mbali mno kuashiria kwamba Msukuma alikuwa "mjinga/mpumbavu" kwa kujiingiza kwake mzimamzima kwenye kambi ya Lowassa.
 
hv hawa jamaa wanaomlinda maguful ni usalama wa ccm au usalama wa taifa kama ni wataifa basi wapelekewe ulinzi na wagombea urais wengne dah ccm wanatumia nguvu kaz ya wote kwa matumiz yao ya chama wale wanalipwa ela ya kodi ya wananchi tena wengne c wanachama wa ccm au wanalipwa ela za ccm?

Mkuu Izzo ata mimi ili swala lilinitatiza kwelii!,nilijiuliza kwanini wanafanya hivyo wakati Mh.J.P.M bado ni mgombea tuu! kama wagombea wa vyama vingine...au sisi hatujui labda hao wanaomlinda mh. wameajiriwa na wanalipwa mishahara yao na chama tawala!..you never know!
 
Huyu msalani sijui ndo mussa allan alipotekea wapi

Bora hata faiza foxy aliipongeza ccm kwa unyonge hivyo hivyo si unajua tena yupo kiimani zaidi.
 
Kweli CC ya CCM wana kiburi sana.Wamewaona hao wenyeviti wote haziko sawa.CCM ina wenyewe.
Mkuu,
Hawa wenyeviti walikuwa wanapiga kelele kweli kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu lakini kwa sasa wamezimika!

Inawezekana kwa sasa wanajikusanya ili kushambulia tena kwa kutumia mbinu na jukwaa jingine!
 
Naomba kujua ka hao wanausalama watawazunguka viongozi wengine wa uogombea urais wa vyama vingine kabla ya kutangazwa.
Kwani hata Rais JK alionya yasiwe mazoea ya mgombea urais ccm ni automatically rais.
 
Back
Top Bottom