mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
​mgodini ndugu alikuwa anawadalalia wananchi madini
asante kwa picha,nasikia anamiliki mabasi nk
Huyu atatufaa sana kua mkuu wa wilaya ya Kinondoni.
1. Ana chopa amaweza kuokoa watu wakati wa mafuriko ambayo lazima yatokee kila mwaka
2. Huhitaji kua na akili sana kwa kazi hii, unachotakiwa uwe unajua kuongea sio lazima uongee point. uongee tu hasa ukiwa na wasichana mitumba kwisha kazi wanaocheza bongo movies.
3. Bado ni kijana mdogo halafu anaonekana anaweza kutatua migogoro ya viwanja vya Masaki na Oysterbay.
4. Anajua kusema CCM oyeee
Jambaka tu ilo.
Sasa anafikr yeye ndio atalishangaza taifa na ako kachopa kake ???
Leo kesho kanaweza potea kama ndege ya Malaysia.
msukuma ana miliki mabasi mengi tu yanayo itwa msukuma line yananzia safar zake mwanza kuelekea geita na kwingneko kama bariad nk ana maduka ya jumla mwanza na katoro ni mfabiashara wa madini. na kimsing ametokea familia ya watafutaji ana ndugu zake wengne wa marekani familia yao haimtegemei yeye pekee. ila inaonyesha kwao yeye ndio mwenye elimu ndogo zaidi
Dogo anatafta kwa jasho lake! Anapendeka sana geita hasa na watu wa kipato cha chini kama wakulima,wafungaji na wachimbaji wadogowadogo,ni mtetezi wao sana!
Kila nikitazama marafiki wa Lowassa napata hasira sana
Probably ni sample ya watu wa eneo hilo,sasa mtu ni boksi then anapewa wadhifa mkubwa,mara nyingi CCM wao hawaangalii what u have Upstairs,hilo haliwahusu hata kidogohuyu ni kada wa ccm ambaye anataka kugombea jimbo la geita,ila kwa kweli upstairs ni box tupu,hata ccm wanajuta kumpa nafasi ya uenyekiti wa ccm mkoa,aliwahi kuifuta kazi kamati ya siasa ya mkoa wakati anajua hana uwezo huo,kuna kipindi halmashauri ya geita ilikuwa na ujenzi wa choo katika eneo la umma,yeye akaenda na kundi la mabaunsa wakaenda kukifukia,yaani ni tatizo
​Unadhan hata JOKA la makengeza huchaguliwa na mtajiri??????????/Dogo anatafta kwa jasho lake! Anapendeka sana geita hasa na watu wa kipato cha chini kama wakulima,wafungaji na wachimbaji wadogowadogo,ni mtetezi wao sana!