nikijaribu kufikiria katika mazingira yalivyokuwa wengine wengi walikuwa wanafuata mikumbo na hofu ya baadae tu.
kama akiwasiliana na wewe na kukutaka umuunge mkono na ukakataa itakuwaje akishinda? na hapa inategemea - je ni mtu wa kuja kulipiza kisasi au akishinda hatokuwa na muda huo. hii ni muhimu kuzingatia.
kuna wagombea wengine akikutafuta ukakataa wala hatakuwa na muda wa kukulipizia akishinda. kwa wengine inawezekana inakuwa tofauti
wengi wetu pia katika maisha ya kawaida tuna mapungufu ya hapa na pale na kwa namna moja au ingine tumewahi pata fadhila hii au ile toka kwa huyu au yule. sasa mtu anaweza kukufuata akitaka nae umsaidie katika jambo lake ....
watu wanaochapa kazi, wanaojiamini na wasio na matatizo ya ovyoovyo ndio watu wa kuwategemea na kuwaamini - maana wao wanapofanya kitu huwa hawaendeshwi au kupelekeshwa ovyo kama gari bovu
kama akiwasiliana na wewe na kukutaka umuunge mkono na ukakataa itakuwaje akishinda? na hapa inategemea - je ni mtu wa kuja kulipiza kisasi au akishinda hatokuwa na muda huo. hii ni muhimu kuzingatia.
kuna wagombea wengine akikutafuta ukakataa wala hatakuwa na muda wa kukulipizia akishinda. kwa wengine inawezekana inakuwa tofauti
wengi wetu pia katika maisha ya kawaida tuna mapungufu ya hapa na pale na kwa namna moja au ingine tumewahi pata fadhila hii au ile toka kwa huyu au yule. sasa mtu anaweza kukufuata akitaka nae umsaidie katika jambo lake ....
watu wanaochapa kazi, wanaojiamini na wasio na matatizo ya ovyoovyo ndio watu wa kuwategemea na kuwaamini - maana wao wanapofanya kitu huwa hawaendeshwi au kupelekeshwa ovyo kama gari bovu