Joseph Msukuma ni nani?

Joseph Msukuma ni nani?

Nini tofauti kati ya Usalama wa Taifa na Green guard ?!?!?!!!?!?!!!?!
 
Tuseme kweli hawa jamaa usalama wakiulizwa mbele ya dunia inakuwaje mgombea tayari anaanza kupewa such an attention na Dr.Slaa naye atapewa akishatangazwa tu? Why does a presidential candidate deserve such a public attention kuna uchaguzi kweli and why the F should the government spent so much money on BRV.

Ushamba wa mwafrika bwana these people can not disguise anything hivi marekani iwaachie ulinzi wa raisi wao kwa watu kama hawa kweli, no wonder mzungu nayeye keshajua ndio maana anasema its pretty much a one party state.
Pole sana ndugu yaonekana hujui taratibu za ulinzi wa viongozi ulivyo lakini pia zungumza na slaa atakueleza hadithi kabila ilivyo pengine utafunguka kichwa chako.
 
Mkuu,
Siasa siyo ngumu kama utaweza kuzicheza vizuri!

Waliosema usibebe mayai yote kwenye kapu moja hawakukosea!

Kuogopa kuweka msimamo hadharani kwa kuwa na hofu ya matokeo ni udhaifu. Kufuata mkumbo na kushabikia matokeo baada ya kujulikana ni unafiki kama wa kinyonga. Mtanzania usiogope kuwa wazi katika unachoamini ili mradi uwe na hoja. LAKINI Siasa za kujenga nchi zatakiwa kutokana misingi ya ukweli na usafi.
 
Mleta mada nawe una unafiki, mana ulileta thread nyiiingi sana za kumpamba mamvi humu
 
Labda alitumwa na magufuli kumuharabia Edo. U never know.

Uko sahihi mkuu, kuna taarifa nilizipata kipindi Lowasa anatafuta wadhamini na kuna mtu alikua anatafuta jinsi ya kuwa connected na kambi ya Lowasa akaambiwa kua Msukuma ndio mambo yote ukimpata huyo itakua rahisi kupiga hela za Lowasa. Ila akaambiwa huyo Msukuma anapiga pote pote pamoja na kwa Magufuli ila ilikua kwa siri sana na hivyo unalosema mkuu nakubaliana na wewe.
 
Kwa taarifa yako, Msukuma na JP Magufuri ni mtu na mdogo wake, babu yao ni mmoja, hata aliyemrudisha Msukuma kutoka huko alikokua na biashara zake za mabasi to Geita ni huyo huyo Magufuri though bado haijaeleweka ni kwanini Msukuma alikua ndani ya safari ya matumaini, may be poor focus yake cause shule ya bwn Kasheku ni darasa la saba, may be ndio tatizo hilo.
 
Aibu ya mwaka.Hakujua CCM ni zaidi ya anayoijua.Mbwembwe zake na safari ya matumaini iliishia Dodoma hata kabla haijaanza.Tuhela twake twa kukodi chopa tumeishia mbali kabaki mtupuu.Hakujua kama bwana asipokuteua kati ya kundi la kondoo wake yote ufanyayo ni kazi bure.
 
Nimeshangaa hata sophia simba kawa vuvuzela wa magu haa haa siasa ni mchezo wa kuigiza kwa kwel
 
Mchakato wa wagombea urais kupitia CCM umeumiza wengi sana. si huyo 'Msukuma' pekee yake. Wapo hata baadhi ya wanahabari waliodhani Mali za Lowassa ni Hoja wakawa wapambe wenye ushabiki wa kupitiliza, Watu walijaribu kuwashauri wawe na mapenzi ya kiasi, hawasikii, hawaambiliki. Nadhani sasa hawajui kwa kuficha vichwa vyao sababu watakuwa wamejua Mali si Hoja.

Kingunge mzee wa kuheshimika ndani ya chama naye akapotea. akasahau kuwa anatembea na mtia nia anayetamba kwa lugha za 'Hakuna wa kunizuia sasa ni zamu yangu' 'asiyenitaka aondoke ndani ya chama' kana kwamba CCM haina haja ya kuwa na vikao vya uteuzi wala upigaji kura. Kana kwamba chama ni yeye anaweza kutoa amri ya watu kuondoka. Kingunge anayasikia yote haya haonyi wala hashauri mpendwa wake. nayeye amejitanaibisha rais ni Lowassa tu. Mzee wa chama, mshauri mkuu wa mwenyekiti. anajiondoa ufahamu na kumu 'endorse' mtia nia mmoja kati ya wengi ilishangaza!! Sijui kama aliingia hata katika kikao kimoja cha maamuzi maana ni aibu.

Mchakato umeisha mshindi kapatikana. Maghufuli si mgombea wa urais tu bali pia atakuwa mwenyekiti wa chama. anatakiwa asiwe mtu wa kisasi, atumie busara ya kusahihisha makosa yaliyofanywa na wapambe na mwenyeviti hawa wa mikoa.
 
Mkuu,
Hoja siyo suala la Magufuli kuwa muwazi au la, suala ni kwa Msukuma kutumia mtaji wote kucheza kamari ya kisiasa!

Hajacheza kamali, bali ameitumia nafasi yake vilivyo, maana kwa jinsi walivyohusika katika kampenizawatia nia, ilikuwa ni njia mojawapo ya kujinadi kisiasa, hivyo wakiongeza nguvu kwenye kampeni wana uhakika watachukua nchi.

Think tank ya ccm, ilicheza karata yake vizuri sana. Wameanza kuitangaza ccm mbele ya wananchi, kila kona ya tanzania. Hii malipo yake utayaona kwenye uchaguzi.

Kama kungekuwa na shida miongoni mwao, wangekuja kupinga hadharani
 
ndugu zanguni. tulikuwa tunawaambia siku zote. dr. magufuli alikuwa ndio anafaa zaidi kwa nafasi ya urais kwasasa. Mungu amesaidia. maombi yangu yametimia.
Mkuu,
Kama maombi yako yametimizwa nadhani hutasahau pia kushukuru kwa kutimiziwa maombi yako!.

Kumbuka kuna wagombea wengine wa Urais kutoka vyama vya upinzani wako mbioni kutajwa na vyama vyao.
 
Simjui nasikia tu Msukuma, na wanasema anayo pesa chafu, anayo Elikopta, ni kijana mdogo.

Naombeni WanaJF niambieni kuhusu huyu mtu anafanya nini, anabishara gani??? Na je kama anayo biashara kodi zake analipa???
 
Ni mwenyekiti Wa CCM Wa mkoa Wa Geita, ni mfanyabiashara za madini ya Almasi katika mji Wa Geita. Halipi kodi popote, Elimu yake ni darasa la saba, ni muumini mzuri sana Wa mambo ya kishirikina, alikuwa mfuasi mtiifu Wa Lowassa kabla ya Lowassa kuhama CCM, Kwa sasa anajipendekeza sana kwa Magufuli huku akimtukana matusi mabaya Lowassa.
 
Pesa si yake bali aliwahi kuwa msimamizi ya mabasi flani yalikua yameandikwa sabuni . kikweli hajitambui kwa sasa hana kitu huwa ni mtu wa kujiweka karibu na watu wenye Pesa zao na kuazima magari ya kifahari nakujifanya niyakwake . kiukweli huwa nimpambe tu kwa wenye fedha.
 
Back
Top Bottom