Wasio na Elimu ndani ya chadema ndio wanapewa kipaumbele...
Ni kweli mkuu. CHADEMA hawaangalii elimu kama ya akina Prof Muhongo ya kutengenezea juice. CHADEMA wanaangalia intelligence ya mtu. Ndo maana mtu kama Mh Lema hana elimu lakini intelligence yake inawafundisha akina Dr Mwakyembe kuwa waache kuwaza kuhusu ndege wakati hata mashimo ya vyoo vya watoto wetu mashuleni tunaomba wafadhili watuchi,bie.