Zitto alihongwa pesa nyingi sana na usalama aimalize chadema,
Sasa anatuhumiwa kulamba fedha za Nssf na Tanapa.....ashitakiwe huyu, asiachwe hivihivi,
Mama yake anahudumiwa na madaktari bingwa....asijifanye yeye ndiye mganga wa mama yake kisa kaambiwa amefisadi mashirika ya umma. Mama yake tunamuombea sote kama mama yetu apate afya mapema,
we mwehu weka ushahidi hapa