Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

Joseph Mbilinyi 'Sugu' amlipua Zitto Kabwe

zitto ameshatoa taarifa kuwa kampuni ile imesajiliwa kama kampuni isiyo ya kibiashara. Hilo linatosha kumaliza mjadala wa mgongano wa maslahi. Maswali mengine aliyoibua sugu yanapaswa kujibiwa na NSSF na TANAPA sio zitto wala kampuni zake.
shuka nayo
hakuna mahali hotuba ya kambi imesema fedha imeliwa au mtu kale fedha, hotuba inaelezea mgongano wa kimaslahi, je uwepo wa zzk kwenye hizo kampuni si ndio upatianaji wa kazi? Then ni vipi ZZK ataweza kutimiza wajibu wa kuzikagua haya mashirika ya umma wakati tayari ananufaika kwa kundi lake kupatiwa kazi?

Faida ambazo zito anaweza kupata, kupitia wasanii ni nyingi sana kisiasa, hivyo kuna some of butter trade or cash trade or vyote. Uwepo wa ZZK Gombe na kuwa na hisa Leka ni mgongano wa kimaslahi. Fedha kutoka Tanapa/nssf ni mgongano mkubwa sana. Fikiri kidogo, ZZK anakagua vitabu vya Tanapa/nssf inakuta kuna matumizi ya ajabu ya milioni kadhaa anaambiwa mzee unakumbuka zile fedha za leka dutigite unafikiri atasema nini. Kila kitu kitakuwa ndio mzee. Its wrong in anyway.
 
Hapa ni kambi nzima ya upinzan sio chadema tu!
Kwakweli wamejishushia hadhi kabsaaa....
 
CHADEMA waache chuki binafsi za kumshambulia mtu kisa tu hataki kufuata mkumbo wao.

Mkuu acha kunongona... Ongea kwa sauti usikike! Sugu amemwaga data, transaction moja baada ya nyingine...nyie mlidhani kuwa mnamkomoa Mbowe aliekopa kihalali tena amelipa riba kubwa utafikiri WB wanaikomoa nchi masikini ... Zitto hapa hatachomoa hata afanyeje?.. Napenda kazi za CDM huwa zinakuwa na utafiti wa kina sana ...
 
Siasa za kulipua bomu.
Jana ilikua Mdee na Tibaijuka. Leo Kovu na Zitto.
Kesho nani na nani?
"Failure to identify your enermy is a prior defeat"
Maskini sisi wapenzi wa mageuzi twende wapi?

We our Commanders shooting themselves in the legs. Gosh.

Adui yetu ni yeyote mwenye kuangamiza rasilimali za Tanzania kwa manufaa yake.
 
Hawa ni sehemu ya Dola!
Ukitaka ufahamu vizuri angalaia Mama yake Zitto Kabwe anavyohudumiwa na Dola ndani na nje ya nchi!!
Wakati mama Zitto Kabwe akiwa ICU taarifa hizo zimesitua watawala hadi kwenda haraka kwenda kumuona kuliko hata Vicky Kamata ambaye ni danguro lao!
Zitto Kabwe na Mama Zitto Kabwe ni sehemu ya watawala wa sasa hata Mungu akiamua utaona huko Kigoma
Utanikumbuka!!

Mama yake ZZK kuhudumiwa ni sawa. Siasa hazitufanyi tuache utu wetu. Kama Mama au ZZK ana urafiki au undugu na JK hilo halina shida. Mgonjwa anahitaji tiba na kuliwazwa tusichanganye mambo hapa. Siasa ziwe siasa na utu uwe utu. Tatizo letu na ZZK ni mgongona wa kimaslahi ambaye yeye ni muumini namba moja kuupinga.

Pole mama.
 
Mkuu acha kunongona... Ongea kwa sauti usikike! Sugu amemwaga data, transaction moja baada ya nyingine...nyie mlidhani kuwa mnamkomoa Mbowe aliekopa kihalali tena amelipa riba kubwa utafikiri WB wanaikomoa nchi masikini ... Zitto hapa hatachomoa hata afanyeje?.. Napenda kazi za CDM huwa zinakuwa na utafiti wa kina sana ...
Mkuu umebahatika kusoma utetezi wa Zitto? Kama ndivyo, mbona huu uzushi wa akina SUGU umeshararuliwa?
 
CHADEMA waache chuki binafsi za kumshambulia mtu kisa tu hataki kufuata mkumbo wao.

Daah wewe ---- kweli sasa kashambuliwa mtu mmoja kivipi wakati hio ni kampuni na wametajwa Tanapa na NSSF? Si hivo tu hata mkurugenzi mwenzie katajwa.
Issue ilikuwa sio kusema eti zitto anashambuliwa hapo issue je madai haya ya ukweli au uzushi?
Tusiwe na mapenzi na ushabiki kwa kipuuzi because sisi ndio tunaiua hii nchi. Teteeni penye haki na kosoa penye ukweli.
 
Mkuu umebahatika kusoma utetezi wa Zitto? Kama ndivyo, mbona huu uzushi wa akina SUGU umeshararuliwa?


Msalani, ZZK hajajitetea kalalamika, ili uwe utetezi inabidi aseme ama yeye ni mkurugenzi wa Gombe au la? Pili Gombe wana hisa ngapi Leka au la? Tatu aseme uhusika wake upatikanaji wa fedha leka na gombe. Aseme kama huu ni mgongano wa kimaslahi wa kazi yake kama mwenyekiti wa PAC au la.
 
ccm magamba bwana wepesi wa kuanzisha bifu wakipewa ukweli wanapeleka watu mabwe panda au kutishia vita.
 
What is local zitto chadema walikuwepo madr lkn hawapo...mf kitila ...ameiacha na chadema inasonga mbele...
 
Zitto alihongwa pesa nyingi sana na usalama aimalize chadema,
Sasa anatuhumiwa kulamba fedha za Nssf na Tanapa.....ashitakiwe huyu, asiachwe hivihivi,
Mama yake anahudumiwa na madaktari bingwa....asijifanye yeye ndiye mganga wa mama yake kisa kaambiwa amefisadi mashirika ya umma. Mama yake tunamuombea sote kama mama yetu apate afya mapema,
 
Hapa ni kambi nzima ya upinzan sio chadema tu!
Kwakweli wamejishushia hadhi kabsaaa....
Kambi ya upinzani hamuonei mtu haya, kama amevurundwa anapashwa, hii ndiyo tofauti ya CCM na upinzani, wakati ccm wanawatetea mafisadi upinzani hawafanyi hivyo, wanawasema tena hadharani mchana kweupe bila kujali ninani na ametokea wapi

 
Zitto alihongwa pesa nyingi sana na usalama aimalize chadema,
Sasa anatuhumiwa kulamba fedha za Nssf na Tanapa.....ashitakiwe huyu, asiachwe hivihivi,
Mama yake anahudumiwa na madaktari bingwa....asijifanye yeye ndiye mganga wa mama yake kisa kaambiwa amefisadi mashirika ya umma. Mama yake tunamuombea sote kama mama yetu apate afya mapema,

lakini zoooote hizo huna ushahidi hata chembe!
 
Back
Top Bottom