Hayo ndiyo majibu ya ramli?Mkuu sio 2015 tu. CHADEMA hawatakaa waupate urais wa nchi hii milele na milele.
Hayo ndiyo majibu ya ramli?Mkuu sio 2015 tu. CHADEMA hawatakaa waupate urais wa nchi hii milele na milele.
Sawa shariff...Siku ingine andika hivi....
Al Majununi fununu.
Kasumak naal raabuk.
Hata yale mapesa ya Zoka walisema atakuja kujibu lakini mpaka leo hajatia mguu.
yani wewe barubaru ni msomi wa phd kweli unakuja na hoja nyepesi na dhaifu namna hii?
poor Tanzania ndio nchi pekee duniani huwezi kutofautisha akili za wasomi na walioishia elimu za msingi.
mahaba haya yote kisa ni mwislamu anayedhini hadi uzeeni na kuoa hataki?
yani wewe barubaru ni msomi wa phd kweli unakuja na hoja nyepesi na dhaifu namna hii?
poor Tanzania ndio nchi pekee duniani huwezi kutofautisha akili za wasomi na walioishia elimu za msingi.
mahaba haya yote kisa ni mwislamu anayedhini hadi uzeeni na kuoa hataki?
Tunataka na maelezo ya malipo ya NSSF yalikuwa ya nini? Ya tanapa tumeelezwa yalikuwa ya kupromote sadani, je ya NSSF yalikuwa ya nini?
Hapa issue siyo kuwamaliza CHADEMA,hoja aje kukanusha hizo nondo za mh.Sugu. Nyie mnaomtetea zitto kila siku hapa jamvini mmeumizwa na mfumo wa kupiga dili ndiyo maana Taifa haliendeleiNgoja muone zitto atavyo wamaliza hawa chadema. uzuri ni mtu makini na wataumbuka.
Sikuwahi kutegemea kama CHADEMA itafikia level siasa rahisi na za kitoto kiasi hiki.
Sitaki kuamini kama kweli haya yaliyosomwa na Sugu ndio maoni ya KAMBI RASMI YA UPINZANI inayowajumuisha wenyeviti wawili wa vyama vya siasa.
Ifiki kipindi kambi yenye watu makini hadi maprofesa ikaja na maoni mbadala ya kulikomboa taifa hili.
Kwa mwendo huu, upinzani kushika dola Tanzania, we have to wait another millennium.
Hotuba Hii haijazungumzia mipango name maendeleo ya wizara husika Bali vijembe kwa MTU mmoja je tutafika?
cc: Ben Saanane , Ruttashobolwa .endelea kuota ndoto za saa tisa mchana na utabiri wako mufilisi, lakin nilishakuambia uwaeleze hao waliokutuma hiki unachokifanya hapa kuwa siku baba zao wametoka hapo, tutakata m.a.p.u.m.b.u baada ya kujibu kwa nini walikuwa wanafanya money laundering! kumbuka hili kila siku pse, wewe huna kosa njaa inakusumbua.
Mkuu sio 2015 tu. CHADEMA hawatakaa waupate urais wa nchi hii milele na milele.
akili yako iko sawa wewe!Hiki chama kimejidhihirisha kwamba ni ovyo chenye watu ovyo wasio na busara.washambenga.hakistahili hata kuongoza vichaa.leo ndio nimekitoa maana kabisa heri kife kabisa.kwa nama hii upinzani utasubiri karne moja zaidi.chama gani kinapalililia majungu ya kijinga.