Ya Dunia MkuuMkuu we upo sayari gani?
Mnasubiriwa kwa hamu sana.The situation is very terrible,Cha msingi si kuinua mikono Tena na kuomba dua Bali Ni kubadilisha staili,staili ambayo Kila mtu hataweza kuisahau katika maisha yake.mnyika ongoza jahazi,Machinga wanasubiri betri ichomolewe .
Jambo hili nina litamani kwa moyo wangu wote.Si wanasema tuko nyuma ya keyboard tu.Sina Cha kupoteza ,Sina Baba ,sina mama,Sina mtoto na Wala Sina mke .Chadema naombeni nafasi hii niwaoneshe kuwa kuna hasira inawaka ndani mwanguMe nawahakikishia wakimfunga Mbowe kinanuka Tena kitanuka kweli mpaka wamuachie .
Sioni Polisi wa kuzuia hili wacha wajichanganye kinuke
Waendelee kutusuburi soon mambo yatajipaMnasubiriwa kwa hamu sana.
Mpaka uombe ruhusa Chadema si ujitokeze tu watu wamalizane na wewe!Jambo hili nina litamani kwa moyo wangu wote.Si wanasema tuko nyuma ya keyboard tu.Sina Cha kupoteza ,Sina Baba ,sina mama,Sina mtoto na Wala Sina mke .Chadema naombeni nafasi hii niwaoneshe kuwa kuna hasira inawaka ndani mwangu
Hasira niliyonayo Leo nikipata support hata kidogo Kuna watu wataumia seriouslyMîmi always nipo front mkuu.
Join me.
Wapi huko kwenye keyboard au?Waendelee kutusuburi soon mambo yatajipa
Unataka support ya nini ya bundle au?Hasira niliyonayo Leo nikipata support hata kidogo Kuna watu wataumia seriously
Tutakinukisha tukiwa majumbani mwetu au tanzania angalia yako ndo watanzania yaan amri ikitoka juu wanakaa kimya woteMe nawahakikishia wakimfunga Mbowe kinanuka Tena kitanuka kweli mpaka wamuachie .
Sioni Polisi wa kuzuia hili wacha wajichanganye kinuke