Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,935
- 16,584
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, leo Mei 16, 2026 akiwa Katoro amesema;
"Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania katika madai ya msingi. Hila hizo hazimhusu aliyesaini barua pekee yake, Sisty Nyahoza, zinamhusu msajili Mutungi ambaye umri wake wa kustaafu ulishapita muda mrefu lakini anawekewa pale ili kutumika tu kufanya hayo. Zinamhusu Waziri Mkuu...
...kutufanya tuache kujadili ripoti ya CAG na wauaji, tuache kujadili walioiba uchaguzi, tuanze kujitetea; 'tutafungiwa, hatutafungiwa', 'tutazuiwa, hatutazuiwa'. Hatutaingia mtego huo! Tuendelee na ajenda ya Katiba Mpya! Free Tundu Lissu! Katiba Mpya! Free Tundu Lissu! Mpaka kieleweke!
"Niseme mambo machache mawili tu. Moja, niseme ni kweli tumeandikiwa barua hiyo na msajili wa vyama. Ni mwendelezo wa hila za kutaka kuizuia Chadema kuendelea kuwaunganisha Watanzania katika madai ya msingi. Hila hizo hazimhusu aliyesaini barua pekee yake, Sisty Nyahoza, zinamhusu msajili Mutungi ambaye umri wake wa kustaafu ulishapita muda mrefu lakini anawekewa pale ili kutumika tu kufanya hayo. Zinamhusu Waziri Mkuu...
...kutufanya tuache kujadili ripoti ya CAG na wauaji, tuache kujadili walioiba uchaguzi, tuanze kujitetea; 'tutafungiwa, hatutafungiwa', 'tutazuiwa, hatutazuiwa'. Hatutaingia mtego huo! Tuendelee na ajenda ya Katiba Mpya! Free Tundu Lissu! Katiba Mpya! Free Tundu Lissu! Mpaka kieleweke!