John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

CCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.
Hawakusikia mawazo yako kazi kwao
 
Naona wiki hii makaburi yanafukuliwa kweli, ila kuhusu hiyo katiba mpya kuna nini cha zaidi kinacho hofiwa maana yaliyomo kwenye makaburi ni yaleyale yanayoendelea
 
Huyo Gervas Stephano vipi sasa hivi ana hali gani?

....
Alimshutumu hadharani aliyekuwa Katibu wa CCM wilaya ya Chato kabla ya kuhamishiwa wilayani Mbogwe, Gervas Stephano, kuwa hana shukrani.

Dk. Magufuli alimwelezea katibu huyo kuwa hana fadhila kutokana na mambo mengi aliyomtendea tangu akiwa katibu wa ofisi yake ya jimbo ambapo alimsaidia kupanda ngazi na kuwa Katibu wa CCM wilaya Chato, Kwimba, Kasulu, Kilosa na kurejea tena Chato kabla ya kuhamishiwa wilaya ya Mbogwe mkoani Geita kuendelea na wadhifa huo.

"Tatizo lenu watu wa Chato hamna shukrani, mambo mengi nimefanya hapa Chato, lakini yote mnaona ziro hata niliowasaidia kama Gervas naye sasa hivi ananiponda lakini nawashukuru sana wazee wangu kwa kunikumbusha niliyoyafanya kwenye jimbo letu kupitia risala yenu nzuri," alisema Dk. Magufuli.

....
 
Back
Top Bottom