Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,297
- 18,047
Awamu hii ni ⚰️ kwa sana.Usifananishe Ccm na Vikundi vyenu vya Kisiasa
JPM amekuwa Rais na hakuna Kiongozi kafungwa
Awamu hii ni ⚰️ kwa sana.Usifananishe Ccm na Vikundi vyenu vya Kisiasa
JPM amekuwa Rais na hakuna Kiongozi kafungwa
Sugu sio mwanasiasa? Tena kwa uonevu.
Looh!!hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji nimbovu jimbo lake tu limemshinda hakuna maendeleo hata maji ambayo yako hapa ziwani yamemshinda kupelekea wananchi leo anataka urais kwa kuwaita watu nakuwambia wampendekeze, shme on you dictator MAGUFULI.
HatariHafai kabisa, akichaguliwa nahama nchi
481 Feb 26 , 2015Hiyo mlonikoti ipo pg number ngapi ? Walau nikaangalie tarehe.
[emoji3][emoji3]CCM hawampi!! maana atawageuka!! na kuwabomoa kama barabara.
na afadhali iwe hivyo maaana akipendekzwa na ccm atapunguza kura za slaa
July 5, 2013Huyo jamaa ni mpenda sifa ,fisadi , na mtu wa visasi sana. Akipitishwa itakuwa ni N'goa Janga wekw Janga.
MmhhTo be realistic, huyu anakurupuka katika maamuzi! Anakuwa driven na hisia na si reasoning! Dikteita mkubwa hafai! Anatoa maamuzi kwenye jukwaa watu wamsikie. Sawa na Mrema enzi zake. Kweli nchi hii na vichaa wa siasa!
Mzee wa visasi asiyependa challenge si wapinzani wake woye ndani nanje ya chama wataishia jela
Mzee wa visasi asiyependa challenge si wapinzani wake woye ndani nanje ya chama wataishia jela
Nimejaa tele!! Heheheee!Upo mzizi wa mbuyu? Nakusalimu
Yako wapiCCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.
Watu na maono yenu.Hana Nguvu za kisiasa ndani ya CCM na wala hana sifa zozote kuwapita wenzake ndani ya CCM kama Lowassa, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Wassira, Mwigulu, Nchimbi.
Ila sifa moja ya kiCCM ya msingi anayo, ambayo ni Ufisadi. Magufuli ni Fisadi mzuri sana.
Lakini pia ni mnafiki mkubwa, kwani ni juzi tu alimkana Sitta na kudai hana mpango wa Urais kabisa!!
Kwa hilo la Ukichaa hata yeye amekiri.To be realistic, huyu anakurupuka katika maamuzi! Anakuwa driven na hisia na si reasoning! Dikteita mkubwa hafai! Anatoa maamuzi kwenye jukwaa watu wamsikie. Sawa na Mrema enzi zake. Kweli nchi hii na vichaa wa siasa!
Asante Nabii.Huyo jamaa ni mpenda sifa ,fisadi , na mtu wa visasi sana. Akipitishwa itakuwa ni N'goa Janga wekw Janga.
Critical tinker.Labda mgombea binafsi, ccmpolc inawenyewe, lkn Magufuli mnamjua vizuri au ni ushabiki usio na maana, watanzania ndo maana huwatunajuta baada ya kumchagua mtu imepita kama miaka 2 coz huwa hatuna utamaduni wakufanya critical analysis kwa wanaotangaza nia bali tunatawaliwa na ushabiki! Kwann tusiige kutoka hata mataifa mengine? We poor Tanzanians why this?