John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Yaani its true hakuwa kabisa chaguo langu. Ila kwa vile ameshakuwa Rais no need of going back. Life goes on.

Hii ni jinsi gani mlikuwa mnakashifu viongozi siku za nyuma. Jiwe weka huyu dada ndani alisema we ni mzee hufai kua rais.
 
To be realistic, huyu anakurupuka katika maamuzi! Anakuwa driven na hisia na si reasoning! Dikteita mkubwa hafai! Anatoa maamuzi kwenye jukwaa watu wamsikie. Sawa na Mrema enzi zake. Kweli nchi hii na vichaa wa siasa!
This comment speaks volumes to date
 
kama uliona mbali vile mzee duuh
Magufuli yafaa awe chini ya mtu. Labda awe PM. Kumpa urais sio rahisi. Ana dalali zote za kuwa haambiliki. Lazima kuwe na nguvu iliyo juu yake kumrudisha kwenye mstari mara kwa mara.
 
kama uliona mbali vile mzee duuh
Dalili ya mvua ni mawingu Kamanda.
Mungu anatuadhibu au tuseme katupa tulichotaka.
Tuombe amalize vizuri maana mambo ni magumu chini ya utawala wake. Afadhali ingekuwa uongozi wake. Huu ni utawala si uongozi.
 
Balance? Unankubali au humkubali. Mzani umeegemea wapi?
Inategemea. Namkubali anavyoshughulikia mafisadi,ila namshangaa kwa nini anakuwa bias. Fisadi walio karibu na yeye hatumbui. Namkubali anavyojenga nchi. Ila simkubali anavyosahau maendeleo ya jamii. Alitakiwa abalance. Simkubali anavyofokea watendaji mbele ya camera. Mzani unategemea na utendaji wake.
 
CCM hawawezi kumteua huyu apeperushe bendera ya urais maana atawafunga wote waliofanya ubadhilifu. Wanachofanya ni kumwekam2 atakayelinda mfumo wa kifisadi, wanataka m2 subjective sio objective kama Magufuli.

Usifananishe Ccm na Vikundi vyenu vya Kisiasa

JPM amekuwa Rais na hakuna Kiongozi kafungwa
 
Inategemea. Namkubali anavyoshughulikia mafisadi,ila namshangaa kwa nini anakuwa bias. Fisadi walio karibu na yeye hatumbui. Namkubali anavyojenga nchi. Ila simkubali anavyosahau maendeleo ya jamii. Alitakiwa abalance. Simkubali anavyofokea watendaji mbele ya camera. Mzani unategemea na utendaji wake.
In reality kafeli jumla. Unesema vyema mafisadi waliokaribu naye hatumbui. Maana yake kwa ufupi naye ni walewale.
Mafisadi kwa maana ya idadi yao wamepungua sana. Lakini ufisadi kwa maana ya hela inayokuwa involved, umeongezeka Mara dufu na zaidi. Hao walio karibu naye.
 
Back
Top Bottom