Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,514
- 34,143
They don't careSi wanashauriana vipi, wanaendeleaje kutumia njia ile ile inayoleta mgawanyo na kuchukiwa na wananchi zaidi?
They don't careSi wanashauriana vipi, wanaendeleaje kutumia njia ile ile inayoleta mgawanyo na kuchukiwa na wananchi zaidi?
umesema kweli bro. Mkuria ni mtu unamripoti kituoni kuwa kakutishia anahakikisha akupige au hata akukate ndo afanye kesi ya ukweli yaan ya after action sio maneno.Mkurya ukimgusa umegusa kitunda nzima
Wamasaai na wakurya ndo watu pekee ambao hawajali sheria inasema nini likija suala la kudai haki yao! Hata Ikulu inaweza chomwa hawana mchezo wale !! Uliona ya Loliondo?
Achana na watu ambao wako united
Mungu wa kweli ni yupi mbona tarehe 29 hakuzuia mauaji?amewindwa ni muda mrefu sasa. Pamoja na kujilinda Mungu Yuko pamoja naye! wenye haki wote na hao wenye kuzisimamia haki watalindwa na nguvu za Mungu.
MUNGU WA KWELI YUKO UPANDE WA WATETEA HAKI.
maccm yanafadhiliwa na masheitwani. shetani ni adui aliyeshindwa tayari
Wasaka roho wanaisaka roho ya john HecheSipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
Kuna namna chadema imekaa kinamna ya kitengoIla Heche naye huwa hakamatwi sana pamoja na kutema sumu lakini jamaa huwa hapatagi hekaheka au naye nikitengo nini? Pia huwa haogopi kipindi kile wengi walikimbia nje ya nchi ila yeye alibaki
Hakuna Mungu kwenye kifo mkuuamewindwa ni muda mrefu sasa. Pamoja na kujilinda Mungu Yuko pamoja naye! wenye haki wote na hao wenye kuzisimamia haki watalindwa na nguvu za Mungu.
MUNGU WA KWELI YUKO UPANDE WA WATETEA HAKI.
maccm yanafadhiliwa na masheitwani. shetani ni adui aliyeshindwa tayari
Wanaogopa maandamano siyo. Wale watu ni masikio ya kufa ambayo hayasikii dawa.
Pia Britanicca ulimuonya sana polepole, you are a reliable source.
Tatizo kuna baadhi ya watu walio kwenye mamlaka bado wanafikiri CHADEMA ndo mpinzani kumbe kwa sasa upinzani uko wa mtu mmoja mmoja,hata CHADEMA ikifutwa bado upinzani utakuweoSipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
Jaman mtuhurumie hatuna dictionary kaributurn them cancerous
Za ndani ni kwamba Heche aliwekwa ndani ili msala wa 29/oct usimwangukie, kama Heche asingekuwa ndani leo maccm wangemwangushia mzigo wa 29/oct. jamaa ni kitengo na kwasasa chadema kipo mikononi mwa kitengo chadema kipindi kile ilifungiwa na viongozi wake kuwekwa ndani ili waepushwe na balaa la 29/oct.Alijaribu kukimbia akakamatwa mpakani akawekwa ndani hadi ilipoisha vurugu ya 29/10.
Kuwazuia Lissu na Heche siyo suluhisho.
Waliwazuia few individuals kama hao wakaacha wengi uraiani ambao waliendeleza harakati wakaandamana.
Humphrey Polepole was abducted too.
Wanazima moto bila kumtafuta mtoto anaye cheza na kiberiti porini.
Don't look for the fire, but look for the boy who is playing with the matches around the bush.
Kuna namna yes,mimi na wewe hatuwezi kuanika mambo negative ya sirikali tukabaki uraiani.Ila Heche naye huwa hakamatwi sana pamoja na kutema sumu lakini jamaa huwa hapatagi hekaheka au naye nikitengo nini? Pia huwa haogopi kipindi kile wengi walikimbia nje ya nchi ila yeye alibaki
Kwa hiyo Lissu sio kitengo?Za ndani ni kwamba Heche aliwekwa ndani ili msala wa 29/oct usimwangukie, kama Heche asingekuwa ndani leo maccm wangemwangushia mzigo wa 29/oct. jamaa ni kitengo na kwasasa chadema kipo mikononi mwa kitengo chadema kipindi kile ilifungiwa na viongozi wake kuwekwa ndani ili waepushwe na balaa la 29/oct.
Hopefully ujumbe umemfikia na kama una namna nyingine ya kumfikishia ujumbe zaidi please do so.Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
Nakumbuka Polepole alipewa warning ⚠️ hivihivi lakini akawaamini waliokuja kumuuza.amewindwa ni muda mrefu sasa. Pamoja na kujilinda Mungu Yuko pamoja naye! wenye haki wote na hao wenye kuzisimamia haki watalindwa na nguvu za Mungu.
MUNGU WA KWELI YUKO UPANDE WA WATETEA HAKI.
maccm yanafadhiliwa na masheitwani. shetani ni adui aliyeshindwa tayari
Sawa sasa kama ni kitengo, anamtumikia nani?, na kwanini awekwe ndani kuepushwa ccm kumwangushia mzigo wakati wanajuana , au mim ndio sijaelewa?Za ndani ni kwamba Heche aliwekwa ndani ili msala wa 29/oct usimwangukie, kama Heche asingekuwa ndani leo maccm wangemwangushia mzigo wa 29/oct. jamaa ni kitengo na kwasasa chadema kipo mikononi mwa kitengo chadema kipindi kile ilifungiwa na viongozi wake kuwekwa ndani ili waepushwe na balaa la 29/oct.
Duuuh ishakua hatari hii maana yake akienda Oysterbay itakuaje?Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
NashangaaHivi hawa jamaa wanahisi hapa duniani wataishi milele?