Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,752
- 7,245
Mimi sikutaja chochote ulichokiandika wewe hapo sasa hivi, niliizungumzia scenario ya kushughulika na aliyemuamuru/aliyemuagiza/kumtuma/kumshurutisha mtoto mdogo achezee kiberiti na achome nyumba na mazingira yake kwa ujumla… wewe ukishagundua hilo baada ya kutokea utashughulika na nani? 😊Msingi wa hoja yangu kuwaeleza wahusika kutafuta chanzo halisi Cha tatizo.
Chanzo siyo Heche, Lissu au CHADEMA bali matendo ya viongozi wenye dhamana ya kuendesha nchi kwenye muelekeo sahihi.