Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,942
- 27,466
mtu anayechezea amani ashushwe bega kabla hajakomaa
Nguvu iliyotumika ili Lissu asishinde ilinishangaza Sana, mpaka Slaa akafungwa miezi mitatuNdani kuna mgawanyiko mkubwa ccm imechokwa ww unafikiri popolepole alikuwa mwenyewe? Mbowe aliondolewa vile yule ni mamluki ni mtu wa bei akaondolewa, Lisu akachukua usukani hamjiulizi ilikuwaje Lisu ghafla aligeuka kuutaka uenyekiti Lisu angekuwa mwenyewe asingeweza kumshinda Mbowe.
Hahahamtu anayechezea amani ashushwe bega kabla hajakomaa
Inatengenezwa na wanaharakati walio kwenye peiroli ili wapate kigezo cha kumuhifadhi muhusika!!! Msiwaamini wanaharakati kihivyo!Duuh.
Yote hiyo hofu ya 7/7 au siyo?
Hii ina ukweli ndani yakeIshu ya Lisu ni nguvu mbili zina bishana. Hiyo kama nayo huelewe basi tena
Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
Ngoja nimtag Kamanda john Heche chukua hatua madhubuti. Hata comrade PolePole naye tulimtahadharisha, akapuuza! Matokeo yake mpaka leo hajulikani alipo.Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
Akina mzee Mohamed Said na vilaza wengine wanahangaika sana kuibomoa Tanganyika ila kamwe hawataweza.
Kumbuka hata Polepole alipewa tahadhari, so Mh Heche asipuuzeamewindwa ni muda mrefu sasa. Pamoja na kujilinda Mungu Yuko pamoja naye! wenye haki wote na hao wenye kuzisimamia haki watalindwa na nguvu za Mungu.
MUNGU WA KWELI YUKO UPANDE WA WATETEA HAKI.
maccm yanafadhiliwa na masheitwani. shetani ni adui aliyeshindwa tayari
hapuuzi, ila woga hautakiwi. Kila mtu atakufa.Kumbuka hata Polepole alipewa tahadhari, so Mh Heche asipuuze
HakikaWatatumaliza sasa Kama ndo ivyo
His Driver! Down walipiga nje ya target niniHakika
Kwahiyo unataka kumaanisha nini ndugu britanicca?!Mkurya ukimgusa umegusa kitunda nzima
Wamasaai na wakurya ndo watu pekee ambao hawajali sheria inasema nini likija suala la kudai haki yao! Hata Ikulu inaweza chomwa hawana mchezo wale !! Uliona ya Loliondo?
Achana na watu ambao wako united
ni vyema pia kushughulika na jitu zima hovyo lililoamua kumfundisha mtoto achezee kiberiti na kumuamrisha achome nyumba na mazingira yake na wakati linajua wazi madhara yake yatakuwaje 😊Alijaribu kukimbia akakamatwa mpakani akawekwa ndani hadi ilipoisha vurugu ya 29/10.
Kuwazuia Lissu na Heche siyo suluhisho.
Waliwazuia few individuals kama hao wakaacha wengi uraiani ambao waliendeleza harakati wakaandamana.
Humphrey Polepole was abducted too.
Wanazima moto bila kumtafuta mtoto anaye cheza na kiberiti porini.
Don't look for the fire, but look for the boy who is playing with the matches around the bush.
Msingi wa hoja yangu kuwaeleza wahusika kutafuta chanzo halisi Cha tatizo.ni vyema pia kushughulika na jitu zima hovyo lililoamua kumfundisha mtoto achezee kiberiti na kumuamrisha achome nyumba na mazingira yake na wakati linajua wazi madhara yake yatakuwaje 😊