Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,763
- 27,498
Siasa ni akili! / hata magari yetu huwa anapewa aendeshe / kutumia,hana neno huyu.Ila Heche naye huwa hakamatwi sana pamoja na kutema sumu lakini jamaa huwa hapatagi hekaheka au naye nikitengo nini? Pia huwa haogopi kipindi kile wengi walikimbia nje ya nchi ila yeye alibaki