jidanganye wakutekeKwa sasa sidhani kama kuna kitu chochote kibaya kinachoweza kufanywa na watu wa mfumo kwa sababau kadhaa ikiwepo mchakato wa maridhiano na tishio la tawala za magharibi.
jidanganye wakutekeKwa sasa sidhani kama kuna kitu chochote kibaya kinachoweza kufanywa na watu wa mfumo kwa sababau kadhaa ikiwepo mchakato wa maridhiano na tishio la tawala za magharibi.
criminals will never understand any these words. you should know better the people you are dealing with.You can't heal the nation by abducting and killing innocent people. The people all they want is good governance, better life etc
hii haiwezi kuwa na msaada wowote kwa kamanda wa kanda maalumuMatako yao wote wenye mawazo machafu dhidi ya kamanda
shuguli zipi zitasimama ?Lakini pia hata kama wananchi hawataandamana iyo 7/7 shughuli zitasimama je hii Ina tija?
labda watampeleka coco beach wakala naye mihogo yenye wadudu na samakiDuuuh ishakua hatari hii maana yake akienda Oysterbay itakuaje?
inaonekana huo utaratibu wao ni top notchCCM NI WAPUMBAVU SANA , UTAMADUNI ULE ULE WA KISHAMBA.
PUMBAVU KABISA.
njoo ofisi Central tuyajenge, inaonekana una uelewa wa kipekee sana.Kuna namna chadema imekaa kinamna ya kitengo
Kumpokea Lowassa kugombea, Mbowe (Kama Mwana wa JK Nyerere)
Heche kutokamatwa
Chadema kutofungua mashtaka dhidi ya serikali/CCM kwa mauaji, kupotea kwa makada wao.
Chadema ku exist kwa namna y kuwepo tu, ni kama hawako serious na kuchukua nchi
Wanachadema kuhamia CHAUMA
Mwache anadhani Mungu ni shemeji yakeMungu wa kweli ni yupi mbona tarehe 29 hakuzuia mauaji?
Hatununui propaganda ya bei rahisi kiasi hiki.Za ndani ni kwamba Heche aliwekwa ndani ili msala wa 29/oct usimwangukie, kama Heche asingekuwa ndani leo maccm wangemwangushia mzigo wa 29/oct. jamaa ni kitengo na kwasasa chadema kipo mikononi mwa kitengo chadema kipindi kile ilifungiwa na viongozi wake kuwekwa ndani ili waepushwe na balaa la 29/oct.
Kiingereza Cha wakemia hicho.Jaman mtuhurimie hatuna dictionary karibu
Hapo bado hujanisaidia,njoo kwenye hilo neno turn cancerousKiingereza Cha wakemia hicho.
Let's put this way "They should stop poking the moles. They may turn cancerous and affect the healing process. Let's heal the nation."
Mungu nifundishe kunyamaza 😂Nimesikia na nitajilinda.
Let's leave it that way.Hapo bado hujanisaidia,njoo kwenye hilo neno turn cancerous
Huyo Mzee na yule Faiza foxy tangu Samia aingie hata kudai utambulisho wa wazee wake wa kariakoo ktk mchango wa uhuru amepunguza. Tunamsubiri awamo ijayo.Akina mzee Mohamed Said na vilaza wengine wanahangaika sana kuibomoa Tanganyika ila kamwe hawataweza.
Hakuna kitu kama hiyo!...Sipo hapa kumtisha ila nipo hapa kumpa alert kujilinda zaidi, anajadiliwa sana na watu wa kulee, awe makini sana!
Naomba usipuuze hii!
Kaa maeneo salama na pia avoid any meeting na yeyote atakayekuita week hii Oysterbay
Britanicca
faiza foxy upo? Mummy!Huyo Mzee na yule Faiza foxy tangu Samia aingie hata kudai utambulisho wa wazee wake wa kariakoo ktk mchango wa uhuru amepunguza. Tunamsubiri awamo ijayo.