Dah!Kwahiyo SSH shida yake yeye ni kupigiwa magoti tu!
Hilo likitendeka,hapo hapo ataacha kumsulubu Mbowe!
kifo cha Maalim Seif kimeacha pengo kubwa sanaDuni nilikuwa namkubali sana,kwa kauli yake nimeanza kumdharau.
Hilo liko wazi alishasema Mbowe hana adabuKwahiyo SSH shida yake yeye ni kupigiwa magoti tu!
Hilo likitendeka,hapo hapo ataacha kumsulubu Mbowe!
Shetani akamwambia Yesu vyote hivi nitakupa ukianguka kunisujudia maana nimepewa mimi nami humpa nimtakayeKwahiyo SSH shida yake yeye ni kupigiwa magoti tu!
Hilo likitendeka,hapo hapo ataacha kumsulubu Mbowe!