Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Sisi tungeachana tu na haya mambo ya uchaguzi maanake sio hulka yetu. Mtu anajitangaza mshindi kwa mtutu wa bunduki kisha anasema bila aibu kuwa uchaguzi umeisha, uchaguzi gani wakati ni mapinduzi ya kijeshi. Very hopeless indeed.
Kunywa soda unayotaka agiza Chips kuku, Chips zege+ Ugali maharage nakuja kulipa
 
Siujui na wala sijali.

Afrika ni vyema tukajitatulia matatizo yetu wenyewe.

Joe ni Rais wa Marekani, siyo Rais wa Afrika.
😂😂😂 Sisi waafrica bhana, umemjibu vyema sana, sisi tupambane na matatizo yetu

Alikuepo Obama aliyetoka Kenya aliwasaidia nini wakenya? Waafrica tupambane na matatizo yetu
 
Back
Top Bottom