ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Uchaguzi wa Marekani unafanyika mwaka huu mwezi November
Democract itawakilishwa na Biden, raisi wa sasa wa USA wakati upande wa Republican, bado hanapatikana mgombea lakini wako kwenye mchakato wa kumpata mgombea. Kuna dalili kubwa bwana Trump akawa mgombea wa uraisi kupitia Republican
Je, ikiwa Trump akasimama tena na Biden mwaka huu, nani anaweza kuibuka mshindi?
Lakini ikitokea kweli hawa wazee wote wakaingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi, ina maana Marekani hakuna wanasiasa vijana?
Democract itawakilishwa na Biden, raisi wa sasa wa USA wakati upande wa Republican, bado hanapatikana mgombea lakini wako kwenye mchakato wa kumpata mgombea. Kuna dalili kubwa bwana Trump akawa mgombea wa uraisi kupitia Republican
Je, ikiwa Trump akasimama tena na Biden mwaka huu, nani anaweza kuibuka mshindi?
Lakini ikitokea kweli hawa wazee wote wakaingia kwenye kinyang'anyiro cha uraisi, ina maana Marekani hakuna wanasiasa vijana?