JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

Serikali haikupi mafunzo ili ikuajiri bali ni kukufundisha stadi mbalimbali za maisha na kukufundisha namna ya kuweza kuishi katika kila hali
Yaaani kunyumbulika.

Ila akili za wabongo zinawaza kuajiriwa tyy

Niambie ni stadi gani au ufundi gani wanafundisha jkt wa kujitegemea au kujiajiri. Nitajie hizo stadi.
 
Daah we kijana umeona wapi nimeonesha signs za woga..all in all mimi ni afande wako maana ninakuzidi hata namba.Nasisitiza umuhimu wa JKT kwa vijana hususan katika kujenga spirit ya kupenda kazi(fatiki) na ukakamavu wa mwili

Ukakamavu wa mwili alaf,kwa faida gani?
 
tubadili fikra jeshi la wachafu limepitwa na wakati siku hizi mtu kavaa safi anaendesha drone kama kawaida haya mambo ya uchafu, matumizi ya miguvu kama timu isiyo na kocha yamepitwa na wakati, siku hz nguvu kidogo akili nyingi

Na jeshi halifundish uchafu coz hiyo nguo moja unayopewa ole wako ikutwe chafu.
 
Niambie ni stadi gani au ufundi gani wanafundisha jkt wa kujitegemea au kujiajiri. Nitajie hizo stadi.

Kilimo cha nafaka
Kilimo cha mboga mboga
Uvuvi
Ufundi cherehani
Ujasilia mali
Mifugo

Na zote hizo zinatolewA bure kabisa
 
Mnanitisha sasa! Ule mzuka wa kwenda JKT unaanza kupata msukosuko ....Napenda kwenda kufanya mafunzo hayo japo nshakuwa kazini Kwa miaka 4 sasa ....ila kwenda kuwa hawara ya mkufunzi naogopa sana bora nipewe kazi Ngumu
 
wanatuambia lengo ni kuwafundisha vijana uzalendo
kwani uzalendo unafundishwa?....MAJINGA mangapi ya CCM yamepitia huko ila leo ndio mafisadi wakuu bila uzalendo wowote?....lengo la JKT ni
1..mradi wa mtu anapiga fungu kila mwaka wa bajeti
2..njia rahisi ya kupata binti zetu waliomaliza fom 6 na kuwabaka ila wengi washagundua hawaendi
3..kuzalisha majambazi. Makatili
ONGEZA NYINGNE
5..
6...
 
Jkt Inafanya Kazi Kubwa Ya Kuzalisha Majambaz Maana Mtu Umemtesa Sana Hivyo Halafu Hapati Ajira Yuko Mtaani Sasa Unategemea Afanye Nini Kama Si Kuwa Jambaz Na Silaha Zote Umemfunza Kuzitumia??? Ujinga Ambao Siupendi Kabisa Wa Jkt.
 
Daima ntaishuru serikali kwa yale iliyonifundisha kupitia jkt,imenifundisha mambo mengi yakiwemo kilimo cha kisasa,ufugaji wa kuku wa kisasa,kuku wa mayai na nyama.kilimo chenye faida naja kama cha mpunga,matikiti maji,vitunguu,nyanya za aina mbali mbale.ufugaji wa ng'ombe na mbuzi wa kisasa.pia kunipatia ajira.

Hivi jkt ingekua mbaya kila siku watu wangekua wanapiga vikumbo kuitafuta au kuulizia habari zake kupitia njia mbalalimbali kama huku jm?watu wenye elimu zao wangekua wanakuja huku kutafuta habari za jkt?ina maana ina manufaa ndio maana watu wanaitafuta na wanajiunga bila kujali elimu na ujuzi walio nao.
"baniani mbaya kiatu chake kizuri"
 
Kilimo cha nafaka
Kilimo cha mboga mboga
Uvuvi
Ufundi cherehani
Ujasilia mali
Mifugo

Na zote hizo zinatolewA bure kabisa

Jkt ya wapi wanafundisha uvuvi,alafu ni uvuvi wa kutumia nini,ndoano au nyavu? Jkt ya wapi wanafundisha chelehani mkuu,,ujasiliamali?????jkt???!
 
Think 3 times kama Serikali 3: Tanganyika HURU + Zanzibar HURU = Tanzania HURU = Serikali 3 = 1+1+1=3!!!

Kilichotokea kambi 1 ya JKT last year kuna mabinti kama huyo wako wanakijutia na watakijutia maisha yao yote!!! Ilikuwa siku ya mwisho camp baada ya sherehe ya kufunga rasmi mafunzo, soda na bia kwa wingi tu. Vijana wamepewa vyeti vyao wakaingia kwenye sherehe hadi usiku mrefu!!!

Sherehe kwisha mabinti wakarudi salama bwenini, wakati huo mabasi ya kuwarudisha mjini mapema alfajiri tayari yamepaki uwanjani. Amini usiamini, saa kenda alfajiri baadhi ya maafande wakiwa wamelewa toop wakavamia bweni la mabinti kama huyo wako, walioshindwa kukimbia wakabakwa humo bwenini na waliokimbia nje ili watoe ripoti kwa wakubwa zao wakakwama coz na wao wako mtungi njwiii!!! Wakaishia kulala ndani ya basi kulipopambazuka safari yao ya kurudi mjini ikaanza. Sasa waonee huruma hao mabinti waliobakwa, utamruhusu binti yako???

Wewe kama Rais Mtarajiwa ulichukua hatua gani ?
 
Jkt Inafanya Kazi Kubwa Ya Kuzalisha Majambaz Maana Mtu Umemtesa Sana Hivyo Halafu Hapati Ajira Yuko Mtaani Sasa Unategemea Afanye Nini Kama Si Kuwa Jambaz Na Silaha Zote Umemfunza Kuzitumia??? Ujinga Ambao Siupendi Kabisa Wa Jkt.

your force no. ?...............operation ?!
 
Wachangiaji wataje no za za JKT, kama hujawahii kwenda unapata wapi uzoefu wa kuponda ?!
 
Na jeshi halifundish uchafu coz hiyo nguo moja unayopewa ole wako ikutwe chafu.

hapo ni kudumaza upeo wa kufikiria mtu aliyemaliza form 6 anapopoteza muda wa wiki 6 kufikiria usafi wa tshirt na bukta ni bora uo muda waupoteze hata kujifunza kuendesha power tiller mara mia
 
Ni page nne sasa hivi kwa hiyo sikuweza kusoma zile zilizotangulia ila JKT leo haina maana kabisa katika jamii mpya ya kibepari. Tumebaki na nachi ya viongozi wabababaishaji tu kiasi kuwa tunakuwa na mambo mengie ambayo tunayafanya bila kuwa na lengo bali tu yafanyike
 
poa sory ni hasira mkuu, naomba mchango wako kuhusu hlo...

ok.tuliza munkari mkuu jkt ni mafunzo mazuri kwa vijana kuna kasoro ndogo za kurekebisha pia kuongeza bajeti ili kuwa modernized
 
Kwa sasa jkt ni chombo maalum cha kusambazia ukimwi ili yule mke wa kiongozi ule mradi wake wakusaidia wasichana wenye hiv vyuoni huwa mkubwa zaidi so hata maswala ya kubakwa huwa planned h
 
Kilimo cha nafaka
Kilimo cha mboga mboga
Uvuvi
Ufundi cherehani
Ujasilia mali
Mifugo

Na zote hizo zinatolewA bure kabisa

Ni kambi zipi za jkt zenye maziwa mpaka watu wafundishwe uvuvi?au ni wa kwenye makaratasi watu wanakaa kuwaza kama abunuasi,na kuna ujasiriamali upi?hata huyo mkufunzi mwenyewe kashindwa kuwa mjasiriamili sasa ataenda kufundisha nini?kwa akili ya haraka haraka ni wazembe wa fikra watakaotumia silaha za kivita za zamani katika ulimwengu wa vita mpya
 
Kwa sasa jkt ni chombo maalum cha kusambazia ukimwi ili yule mke wa kiongozi ule mradi wake wakusaidia wasichana wenye hiv vyuoni huwa mkubwa zaidi so hata maswala ya kubakwa huwa planned h
Jkt na ubakaji ni sawa na usiku na giza haviwezi vikatengana
 
Back
Top Bottom