Think 3 times kama Serikali 3: Tanganyika HURU + Zanzibar HURU = Tanzania HURU = Serikali 3 = 1+1+1=3!!!
Kilichotokea kambi 1 ya JKT last year kuna mabinti kama huyo wako wanakijutia na watakijutia maisha yao yote!!! Ilikuwa siku ya mwisho camp baada ya sherehe ya kufunga rasmi mafunzo, soda na bia kwa wingi tu. Vijana wamepewa vyeti vyao wakaingia kwenye sherehe hadi usiku mrefu!!!
Sherehe kwisha mabinti wakarudi salama bwenini, wakati huo mabasi ya kuwarudisha mjini mapema alfajiri tayari yamepaki uwanjani. Amini usiamini, saa kenda alfajiri baadhi ya maafande wakiwa wamelewa toop wakavamia bweni la mabinti kama huyo wako, walioshindwa kukimbia wakabakwa humo bwenini na waliokimbia nje ili watoe ripoti kwa wakubwa zao wakakwama coz na wao wako mtungi njwiii!!! Wakaishia kulala ndani ya basi kulipopambazuka safari yao ya kurudi mjini ikaanza. Sasa waonee huruma hao mabinti waliobakwa, utamruhusu binti yako???