JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

Chuki zako na matatizo yako binafsi usiyatumie kuitukana,kuidhalilisha JKT. Usiwadhalilishe mama/dada/bint zetu waliopitia JKT kwamba wamebakwa. Kwa mtu aliye pita JKT akisoma posts zako anajua unaandika stori za kusimuliwa mitaani! JKT wanakwenda watu wazima. Waliokwenda huko wanaelewa ni mabint wa aina gani wanaishia kujirahisisha na kutembea na Maafande! Mlee mwanao vema. Asipende short cut,asipende dezo na awe fit kimwili. Hakuna atakaye mbabaisha hapa duniani!

Ebu na wewe toa ukweli hadharani,ulivyoingia je ulikubali kuvuliwa nguo na ukainama huku mkaguzi akikushika m.a.t k.o ------ na kukuangalia jicho la tatu huku akikuambia ukooe kwa kisingizio cha ukaguzi,ni ukaguzi gani huo wa kumuangalia mtu sehemu yake ambayo hata yeye mwenyewe hajawi kuiona,au ndo wanataka kutuletea ushoga kwa dizaini hii?
 
Ambae dada yake kabakwa atoe ushuuda hatutaki uongo wa kipuuzi..nendeni jkt.. wasichana kutoa ngono ni kawaida ata vyuoni ipo..

Tuanze kwanza na ushahidi wako wewe binafsi je ulivyoingia kimbini ulikubali kuvuliwa nguo ukaambiwa uiname huku msimamizi akikushika m.a.t.a.k.o huku akisema ukooe wakati huo yeye anakuangalia jicho la tatu,huu si ni udharirishaji mnataka kuturudisha kwenye ushoga?
 
natamani nirudi JKT op uvumilivu 834kj

Uvumilivu upi huo?wakubakwa?wakuteswa?wa kudharirishwa kwa kuvuliwa nguo na kuinamishwa huku wakaguzi wakikushika ma.t.a.ko na kukuambia ukooe huku yeye akikutizama jicho la tatu?
 
mi binti yangu hakanyagi huko hata kwa dawa...dah.hizi story zinatisha sana,... Jkt ni janga

Haya ni majanga kama wanataka waende wao kwanza waliorudisha,tuone kama watakubali kubakwa na kwa wengine kudharirisha kwa kuvuliwa nguo kuinamishwa kushikwa ma.t.a.k.o huku msimamizi akikuambia ukooe na kukuangalia jicho la tatu.huu ni upumbavu
 
Bora ukawaogeshe wazungu mbele kuliko kufanya kazi serikali ya CCM au vyombo vya ulinzi
 
Back
Top Bottom