BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
JKT waende walioko vijiweni, chukua bodaboda, machinga, na wengine waliokaa kihasarahasara peleka JKT, tena iwe ya kudumu. Hao waliofight mbaka wakatoboa form six waachwe wajiunge JKT kwa hiari. After all philosphers wanapendekeza iron boys ndo waingie jeshini. Sasa hii ya kulazimisha hadi golden boys and girls wakapalilie kwa jembe la mkono ni kuwabrain wash yote waliojifunza shule. Nimalizie kusema, JKT waende watu sahihi siyo hao wanaolazimishwa sasa.
EQUALIZATION ndiyo tunayoitaka na si zaidi ya hapo usome st. kayumba au st. john wote tutakutana kwenye battle field na huo ndiyo uzalendo Tanzania siyo ya kundi maalumu tu bali ni ya watanzania wote usiogope dogo we nenda tu si ajabu ukang'ang'ani huko kwa nje unatishika na maneno ya kijiweni tu