JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

ok.tuliza munkari mkuu jkt ni mafunzo mazuri kwa vijana kuna kasoro ndogo za kurekebisha pia kuongeza bajeti ili kuwa modernized

Hiyo bajeti ikiongezwa je itaweza kuondoa ubakaji?itaondoa udharirishaji?itaondoa ukandamizaji?
 
Niambie ni stadi gani au ufundi gani wanafundisha jkt wa kujitegemea au kujiajiri. Nitajie hizo stadi.

Kwa sasa stadi inayofundishwa jkt ni ubakaji maana mkufunzi mbakaji je hao wanafunzi watafundishwa nini kama siyo kubaka na kubakwa?
 
Serikali haikupi mafunzo ili ikuajiri bali ni kukufundisha stadi mbalimbali za maisha na kukufundisha namna ya kuweza kuishi katika kila hali
Yaaani kunyumbulika.

Ila akili za wabongo zinawaza kuajiriwa tyy

Kwa mfumo mbovu wa elimu uliopo sasa ndiyo uliopelekea watu kutegemea kuajiriwa na siyo kujiajiri,na ndo maana elimu yetu imeshindwa kuleta ushindani katika kupata ajira,leo hii muweke mtanzania na mkenya alafu uwalinganishe kiutendaji hapo ndo utagundua elimu yetu ni ya makaratasi tu na siyo practical
 
Ata 6 ukiiangalia kwa upande mwingine ni 9. Kila kitu kina faida na changamoto zake..
I was happy mdogo wangu alienda uko sasa he is so matured and focused
lengo lao "kwenda jkt" zuri ila utekelezaji umekua mbovu sana. Mateso sio uzalendo!
 
Tuko wote katika hoja hii!. Naona serikali ina nia njema ila sasa watu waliowekwa kusimamia JKT ndo wanaharibu kwa kufanya mambo yasiyo ya kiungwana. Sasa tunafundisha vijana au tunawatesa vijana?.
Mwisho wa siku mtu akitoka huKo anakuwa na machungu dhidi ya serikali, nchi na saa zingine hata wananchi wenzake badala ya kuwa na huo uzalendo wanaousema!.


Be Good!

Kwa akili ya haraka haraka serikali imepanda mahindi ikitegemea kuvuna maembe,hii iliwezekana kwa abunuasi tu na siyo katika ulimwengu wa sasa
 
JKT ni sahihi zaidi tukisema Vijana wetu wanajumuishwa pamoja wanajenga Umoja na Undugu. Uzalendo haujengwi JKT. Ni ushauri wangu kwa Vijana waende huko hakuna jambo lolote la kutisha wala kuogopesha. Ni aibu kijana wa kiume kuonyesha uwoga wako kiasi kwa kuja na hekaya za uwongo eti JKT ni mateso.

Hata baadhi ya mataifa makubwa yaliyo endelea ni lazima vijana wao waende mafunzo kama haya kwa mwaka mzima. Tufike mahali ajira zetu Serikalini na Taasisi zake kama TRA,BOT,TCRA,PPF,nk. sharti moja wapo iwe ni kupita mafunzo ya JKT!

Hamna mtu muoga na pia ninukuu "HAKUNA DHAMBI MBAYA DUNIANI KAMA DHAMBI YA UOGA" jkt ni upumbavu tu kama upumbavu mwingine
 
Mnanitisha sasa! Ule mzuka wa kwenda JKT unaanza kupata msukosuko ....Napenda kwenda kufanya mafunzo hayo japo nshakuwa kazini Kwa miaka 4 sasa ....ila kwenda kuwa hawara ya mkufunzi naogopa sana bora nipewe kazi Ngumu

Hamna anayekutisha kama umedhamilia kwenda nenda tu inawezekana anayapenda matatizo ya huko
 
ndugu hata ulalamike watu hela wanapiga na dada zenu wataliwa tu hamna namna mbona vyuoni hata mtaani wanaliwa sana au tatizo kuliwa na wajeda labda hilo ndio tatizo
Tatizo ni jku(jeshi la kujenga ubakaji),ni serikali ya mwenda wazimu ambayo inaweza kupoteza pesa kwa kutoa mafunzo ya ubakaji,ubakwaji,ukandamizaji na udharirishaji
 
Ivi kwenda ni lazima kwani? Na he husipoenda itakuwaje?
 
hakika watanzania hatupaswi kukurupuka ktk hili jkt ni chombo pekee kitakachofufua uzalendo tuulize tuliotoka huku km tuna

1:element za udini tofauti na secondary schools
2:uvumilivu na ustahimilivu tofauti na zero tolerance in our society
3:ushirikiano km silaha ya mafanikio
4:discipline in all sphere of life
5:ukakamavu phisically n mentally
6:KULINDA Tanzania by any means n any cost...............etc....
hivo hapaswi mtu yeyote kudharau jitihada hz za serikali

NB:1-miundombinu iboreshwe
2:code of ethics izingatiwe na wakufunzi
3;kunahaja kuelimisha wananchi umihimu wa jkt

Kabla ya wanachi kuelimishwa basi waelimishwe kwanza wakufunzi kwamba jkt kazi yake siyo kufundisha ubakaji,ubakwaji,udharirishwaji na ukandamizaji
 
hakika watanzania hatupaswi kukurupuka ktk hili jkt ni chombo pekee kitakachofufua uzalendo tuulize tuliotoka huku km tuna

1:element za udini tofauti na secondary schools
2:uvumilivu na ustahimilivu tofauti na zero tolerance in our society
3:ushirikiano km silaha ya mafanikio
4:discipline in all sphere of life
5:ukakamavu phisically n mentally
6:KULINDA Tanzania by any means n any cost...............etc....
hivo hapaswi mtu yeyote kudharau jitihada hz za serikali

NB:1-miundombinu iboreshwe
2:code of ethics izingatiwe na wakufunzi
3;kunahaja kuelimisha wananchi umihimu wa jkt

Wanaofundisha wenyewe hawna discipline sasa ni discipline gani hiyo itakayofundishwa?
 
JKt ni ubadhirifu wa mali ya Umma,mafunzo yanayotolewa yangeweza kutolewa mashuleni,yaunganishwe na school curriculum.
Nchi yenyewe uchumi tegemezi,sasa; kwanini matumizi yasiyo ya lazima yaepukwe?
 
mi binti yangu hakanyagi huko hata kwa dawa...dah.hizi story zinatisha sana,... Jkt ni janga
 
JKt ni ubadhirifu wa mali ya Umma,mafunzo yanayotolewa yangeweza kutolewa mashuleni,yaunganishwe na school curriculum.
Nchi yenyewe uchumi tegemezi,sasa; kwaninil matumizi yasiyo ya lazima yaepukwe?

Nisaidie kunielimisha kwa hali ya matabaka yetu ya kimaisha yalivyo ni wapi vijana wetu watakutana na kujenga daraja umoja? Shuleni na vyuoni haiwezekani kwasababu elimu yetu imetengeneza madaraja kulingana na tabaka za watu. Sasa ni wapi huko utawaunganisha hawa vijana?
 
Nisaidie kunielimisha kwa hali ya matabaka yetu ya kimaisha yalivyo ni wapi vijana wetu watakutana na kujenga daraja umoja? Shuleni na vyuoni haiwezekani kwasababu elimu yetu imetengeneza madaraja kulingana na tabaka za watu. Sasa ni wapi huko utawaunganisha hawa vijana?

huo muungano wa miezi mitatu unasaidia nini?
 
mi binti yangu hakanyagi huko hata kwa dawa...dah.hizi story zinatisha sana,... Jkt ni janga

Mwalimu Nyerere alipo waeleza maCCM wenzako kwamba wameua mambo ya msingi ambayo aliasisi ktk awamu ya kwanza na badala yake wako busy na mambo yasiyo na maana ilikua mojawapo ni hili la JKT.

CCM wako busy kulinda Muungano usiokuepo kwa gharama kubwa sana huku wakiacha Taifa linasambaratika kwa ubinafsi,rushwa na matendo ya hovyo! Kuna watu wawili ama watatu ktk hii sredi wanatumia ID tofauti kuidiscredit JKT kwa allegations za uwongo!

Kams mtu hutaki Girl Friend/mchumba/mke wako aende JKT usitumie tuhuma za uwongo ama isolated incidents kuhukumu taasisi yetu kwamba ni wabakaji. Wanafanya kazi muhimu kuliunganisha taifa. Mtu ambaye amekwenda JKT anaelewa mipaka ya Askari wa kiume kuingia ktk Mahanga/Mabweni ya Wasichana. Anaelewa majukumu ya ma Matrons. Msisikilize stori za vijiweni mkatuletea hapa!
 
Hii ya ngono inawachafua sana JKT nimesikia wadada kadhaa wakiliongelea.Mamlaka za kinidhamu zifuatilie haya.
 
Back
Top Bottom