Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?
Baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito.
Serikali imeshindwa kuwajali vijana wa JKT watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa JKT imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?
Baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito.
Serikali imeshindwa kuwajali vijana wa JKT watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa JKT imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?