JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

JKT ni majanga kama operesheni kimbunga

otorokoko

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
2,437
Reaction score
157
Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?

Baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito.

Serikali imeshindwa kuwajali vijana wa JKT watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa JKT imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?
 
Mkuu wangu,hilo la kuangaliwa nyuma ni medical examination..hususani wakiwa wanakucheck for hemorrhoids..JKT ni jeshi pia,ndio maana kuna mafunzo ya mbinu za medani,hivyo swala la kupewa nguo moja nadhani lipo kimafunzo zaidi(nadhani u can imagine hali katika uwanja wa vita inavyokuwa)..otherwise ni kweli kuna changamoto zinazotakiwa kutizamwa hususan mahusiano ya kingono kati ya maafande na makuruta na huduma za afya.
 
Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito,serikali imeshindwa kuwajali vijana wa jkt watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa jkt imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?
Jkt ni janga kubwa liweke mbali na ndugu zako
 
Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito,serikali imeshindwa kuwajali vijana wa jkt watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa jkt imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?

JKT ni usanii kama usanii mwingine! Hakuna serikali inayojali kinachoendelea kule, vikufunzi ndo vimepata nafasi ya kuwapata dada zetu na watoto wetu! Huwezi kwenda kulazimisha kufundisha uzalendo huku rushwa na ufisadi vimetamalaki serikalini na kwenye jamii yote! Uzalendo unakuja automatic ikiwa kila mtu atapata haki sawa katika kuyafaidi matunda ya nguvu zake! Huwezi kuaniambia niwe mzalendo wakati mimi nakatwa kodi mpaka almost 30% ya mapato yangu lakini maisha yangu na ndugu zangu hawafaidiki chochote kodi hiyo zaidi ya kutunisha matumbo ya mafisadi na vifisadi vidogovidogo!
 
JKT ni usanii kama usanii mwingine! Hakuna serikali inayojali kinachoendelea kule, vikufunzi ndo vimepata nafasi ya kuwapata dada zetu na watoto wetu! Huwezi kwenda kulazimisha kufundisha uzalendo huku rushwa na ufisadi vimetamalaki serikalini na kwenye jamii yote! Uzalendo unakuja automatic ikiwa kila mtu atapata haki sawa katika kuyafaidi matunda ya nguvu zake! Huwezi kuaniambia niwe mzalendo wakati mimi nakatwa kodi mpaka almost 30% ya mapato yangu lakini maisha yangu na ndugu zangu hawafaidiki chochote kodi hiyo zaidi ya kutunisha matumbo ya mafisadi na vifisadi vidogovidogo!

Hata mimi nashindwa kuelewa kama ni kujenga uzalendo mbona hawa mafisadi wanaoisumbua nchi walipitia jkt,je uzalendo wao uko wapi?
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwamba JKT ni usanii. Huo uzalendo ni usanii pia kwani karibia hawa woooote wanaofisadi nchi walipitia JKT. Richmond, Kagoda, n.k. zote zimehusisha watu waliosoma zamani na ambao JKT ilikuwa lazima.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwamba JKT ni usanii. Huo uzalendo ni usanii pia kwani karibia hawa woooote wanaofisadi nchi walipitia JKT. Richmond, Kagoda, n.k. zote zimehusisha watu waliosoma zamani na ambao JKT ilikuwa lazima.
Kweli kaka ni tanzania tu ambapo jkt imeweza kujenga uzalendo kwa kutengeneza mafisadi walioliangamiza taifa
 
Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?

Baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito.

Serikali imeshindwa kuwajali vijana wa JKT watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa JKT imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?

unaonekana huna hata chembe ya ujuzi wa maswala ya kijeshi haya mengine kama ya nguo moja ni sehemu ya mafunzo tu.kama unataka ukae jeshini kama upo kwa shangazi yako hilo siyo jeshi labda ukawa.
 
unaonekana huna hata chembe ya ujuzi wa maswala ya kijeshi haya mengine kama ya nguo moja ni sehemu ya mafunzo tu.kama unataka ukae jeshini kama upo kwa shangazi yako hilo siyo jeshi labda ukawa.

Hayo mafunzo ya kijeshi yanauhusiano gani na nguo?pia serikali inatoa mafunzo ya kijeshi kwa watu ambao wakitoka huko wanakosa ajira,je serikali itamlaumu nani watu hawa wakitoka mafunzoni na kufanya ujambazi na kuwapora watu mali zao?
 
Naichukia JKT kwani badala ya kukufunzi imejaa wadhalilishaji tena kwa watoto wadogo tu. Huku ni kumaliza kodi zetu bila faida yoyote.
 
jkt iangaliwe mara mbili ,,,ni kambi ya mateso hamna cha uzalendo huko
 
Au jkt imegeuzwa na wajanja kama chanzo cha kuingiza pesa mifukoni mwao
 
Mi mtoto wangu hawezi kwenda JKT. Ili akafanye nini na ili iweje?

Hongera kamanda piga vita jkt inayoleta udharirishaji na mateso kwa watu ikidhani ndiyo njia pekee ya kuleta uzalendo,kama ni jkt inajenga uzalendo leo hii tusingekuwa na mafisadi
 
unaonekana huna hata chembe ya ujuzi wa maswala ya kijeshi haya mengine kama ya nguo moja ni sehemu ya mafunzo tu.kama unataka ukae jeshini kama upo kwa shangazi yako hilo siyo jeshi labda ukawa.

Unabwabwaja mpaka povu linakutoka! Mawazo yako yanategemea unachokitetea bila hicho ni mwoga. Hoja ya waalimu kuchezea kuruta sio siri iko wazi tuwe wakweli some time, ukiona vipi kaa kimya fuatilia hoja sio hivyo kaka. Tunajua mengi ila tunaheshi itikadi ya kijeshi ni bora tukae pembeni watu waseme yaliyo mioyoni mwao.
 
Hongera kamanda piga vita jkt inayoleta udharirishaji na mateso kwa watu ikidhani ndiyo njia pekee ya kuleta uzalendo,kama ni jkt inajenga uzalendo leo hii tusingekuwa na mafisadi

Mtu hafundishwi kua mzalendo,uzalendo ni asili ya mtu. Pia miezi miwili au mitatu haimfundishi mtu uzalendo. JKT ni mateso,wiki 6 bila kulala,kupalilia toka asubuhi hadi jioni kwa jembe la mkono,hakuna mda wa kuoga wala kupumzika,ni kukesha unaimba,asubuhi unaamkia kulima,daily.

Mbinu za jkt hazina nafasi kwenye ulimwengu wa sasa,zimepitwa na wakati. Wewe unamlimisha mtu kwa jembe la mkono baada ya hapo itamsaidia nini wakati kilimo cha jembe la mkono kinapigwa vita hata na serikali yenyewe,hakina tija,watu wanatumia trekta wewe una mkono utatoka lini?.

Badala wafundishe watu mbinu bora za kilimo cha kisasa wao wanawafundisha kupalilia,tena kwa kuwakomoa kupalilia mchana kutwa.

Jkt mtoto wangu hawezi kwenda labda kama amenishnda kutunza.
 
Mtu hafundishwi kua mzalendo,uzalendo ni asili ya mtu. Pia miezi miwili au mitatu haimfundishi mtu uzalendo. JKT ni mateso,wiki 6 bila kulala,kupalilia toka asubuhi hadi jioni kwa jembe la mkono,hakuna mda wa kuoga wala kupumzika,ni kukesha unaimba,asubuhi unaamkia kulima,daily.

Mbinu za jkt hazina nafasi kwenye ulimwengu wa sasa,zimepitwa na wakati. Wewe unamlimisha mtu kwa jembe la mkono baada ya hapo itamsaidia nini wakati kilimo cha jembe la mkono kinapigwa vita hata na serikali yenyewe,hakina tija,watu wanatumia trekta wewe una mkono utatoka lini?.

Badala wafundishe watu mbinu bora za kilimo cha kisasa wao wanawafundisha kupalilia,tena kwa kuwakomoa kupalilia mchana kutwa.

Jkt mtoto wangu hawezi kwenda labda kama amenishnda kutunza.
JKT waende walioko vijiweni, chukua bodaboda, machinga, na wengine waliokaa kihasarahasara peleka JKT, tena iwe ya kudumu. Hao waliofight mbaka wakatoboa form six waachwe wajiunge JKT kwa hiari. After all philosphers wanapendekeza iron boys ndo waingie jeshini. Sasa hii ya kulazimisha hadi golden boys and girls wakapalilie kwa jembe la mkono ni kuwabrain wash yote waliojifunza shule. Nimalizie kusema, JKT waende watu sahihi siyo hao wanaolazimishwa sasa.
 
Hayo mafunzo ya kijeshi yanauhusiano gani na nguo?pia serikali inatoa mafunzo ya kijeshi kwa watu ambao wakitoka huko wanakosa ajira,je serikali itamlaumu nani watu hawa wakitoka mafunzoni na kufanya ujambazi na kuwapora watu mali zao?

Unaonekana wewe ni mgeni hapa Tanzania toka wazazi wako hawajakuzaa JKT ilikuwepo leo hii ndiyo unakumbuka watoto watafanya ujambazi kwa kuwa ajira hakuna, hao polisi na wanajeshi wanaokamatwa kwa uhalifu hawana ajira au wana ajira kama wanazo kwa nini wanaiba ili hali wako kazini? Hoja yako ni dhaifu kuiaminisha jamii kwamba uhalifu unafanywa na vijana waliotoka JKT wasiokuwa na ajira. TUNGA SABABU NYINGINE
 
Wengeona hizi comments akina insipekta nanii wa hizo kambi wangemaindi sana mana wakat huu kwao ni furaha damu mpya yaja.
Huu ni upuuzi jkt haina nia njema na vijana mzazi usimruhusu mwanao waweza rudushiwa akiwa (positive) au maiti kabisa
 
Back
Top Bottom