ndugu hata ulalamike watu hela wanapiga na dada zenu wataliwa tu hamna namna mbona vyuoni hata mtaani wanaliwa sana au tatizo kuliwa na wajeda labda hilo ndio tatizoAu jkt imegeuzwa na wajanja kama chanzo cha kuingiza pesa mifukoni mwao
Unaonekana wewe ni mgeni hapa Tanzania toka wazazi wako hawajakuzaa JKT ilikuwepo leo hii ndiyo unakumbuka watoto watafanya ujambazi kwa kuwa ajira hakuna, hao polisi na wanajeshi wanaokamatwa kwa uhalifu hawana ajira au wana ajira kama wanazo kwa nini wanaiba ili hali wako kazini? Hoja yako ni dhaifu kuiaminisha jamii kwamba uhalifu unafanywa na vijana waliotoka JKT wasiokuwa na ajira. TUNGA SABABU NYINGINE
Acha ujima ww JKT imepitwa na wakat haina nafas tena dunia ya leo waliopita huko ndo wameua nchi yetu had leo kwa kupora mali za umma! Rais wetu msikivu tuondolee huo uchafu!
Km taifa lipi ndg?JKT ni sahihi zaidi tukisema Vijana wetu wanajumuishwa pamoja wanajenga Umoja na Undugu. Uzalendo haujengwi JKT. Ni ushauri wangu kwa Vijana waende huko hakuna jambo lolote la kutisha wala kuogopesha. Ni aibu kijana wa kiume kuonyesha uwoga wako kiasi kwa kuja na hekaya za uwongo eti JKT ni mateso.
Hata baadhi ya mataifa makubwa yaliyo endelea ni lazima vijana wao waende mafunzo kama haya kwa mwaka mzima. Tufike mahali ajira zetu Serikalini na Taasisi zake kama TRA,BOT,TCRA,PPF,nk. sharti moja wapo iwe ni kupita mafunzo ya JKT!
Dogo acha woga,nenda kakomae tu utamaliza tena utafurahia kama mimi nilivyofurahia.By the way umepangiwa kambi gani?Mkuu wangu,hilo la kuangaliwa nyuma ni medical examination..hususani wakiwa wanakucheck for hemorrhoids..JKT ni jeshi pia,ndio maana kuna mafunzo ya mbinu za medani,hivyo swala la kupewa nguo moja nadhani lipo kimafunzo zaidi(nadhani u can imagine hali katika uwanja wa vita inavyokuwa)..otherwise ni kweli kuna changamoto zinazotakiwa kutizamwa hususan mahusiano ya kingono kati ya maafande na makuruta na huduma za afya.
Daah we kijana umeona wapi nimeonesha signs za woga..all in all mimi ni afande wako maana ninakuzidi hata namba.Nasisitiza umuhimu wa JKT kwa vijana hususan katika kujenga spirit ya kupenda kazi(fatiki) na ukakamavu wa mwiliDogo acha woga,nenda kakomae tu utamaliza tena utafurahia kama mimi nilivyofurahia.By the way umepangiwa kambi gani?
Ni bora serikali itafute njia mbadala ya kuboresha elimu ambayo itawezesha vijana kuendana na mbadiliko ya dunia kupata ushindani katika nchi za wenzetu kuliko kukaa na kung'ang'ania jkt isiyo na kichwa wala miguu
Ok my dota atakuwepo intaki hii na ukweli utajianika.
Jkt imeshindwa kufanya jukumu lake la kujenga taifa kwa makusudi imejipa kazi ya kulibomoa taifa,jkt imekuwa ni kituo cha kuwatesa na kuwapiga watu ambapo ilipelekea vifo kwenye baadhi ya kambi,watu wakifika kambini wanavuliwa nguo na kuinamishwa uchi kwa kisingizio cha ukaguzi,huu ni ukaguzi gani unaogeuza sehemu za siri kuwa sehemu za umati wa watu?
Baadhi ya wakufunzi wanatumia nafasi zao kuwatesa mabinti na kuwalizimisha kutoka nao kimapenzi kwa kuwatishia adhabu nzito.
Serikali imeshindwa kuwajali vijana wa JKT watu wakiingia kambini wanapewa shati moja na bukta moja kiasi kwamba wakizifua wanakosa nguo za kuvaa inawabidi wavae nguo mbichi,mpaka sasa nashindwa kuelewa JKT imerudishwa kwa ajili ya kujenga au kubomoa taifa?
Serikali haikupi mafunzo ili ikuajiri bali ni kukufundisha stadi mbalimbali za maisha na kukufundisha namna ya kuweza kuishi katika kila haliHayo mafunzo ya kijeshi yanauhusiano gani na nguo?pia serikali inatoa mafunzo ya kijeshi kwa watu ambao wakitoka huko wanakosa ajira,je serikali itamlaumu nani watu hawa wakitoka mafunzoni na kufanya ujambazi na kuwapora watu mali zao?
Nani kakwambia jeshini unaenda kupiga pamba na kubadili viwalo na kuvaa supra! kwendeni zenu wavivu wakubwa nyie!
JKT ni sahihi zaidi tukisema Vijana wetu wanajumuishwa pamoja wanajenga Umoja na Undugu. Uzalendo haujengwi JKT. Ni ushauri wangu kwa Vijana waende huko hakuna jambo lolote la kutisha wala kuogopesha. Ni aibu kijana wa kiume kuonyesha uwoga wako kiasi kwa kuja na hekaya za uwongo eti JKT ni mateso.
Hata baadhi ya mataifa makubwa yaliyo endelea ni lazima vijana wao waende mafunzo kama haya kwa mwaka mzima. Tufike mahali ajira zetu Serikalini na Taasisi zake kama TRA,BOT,TCRA,PPF,nk. sharti moja wapo iwe ni kupita mafunzo ya JKT!