Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
aliyeongelea suala la medical checkup..je ni kwenda kuchekiwa au ni kwenda ku......... kuna tofauti ya kuchekiwa na kujulikana kuwa waumwa kitu flani so ukienda hospitali wafuata tiba tuu na sio kuchekiwa tenaaa
...maendeleo ya afya yake jamani, mwe!...😱
...hivi ule mpango wa viongozi 'kuruka' na helicopter uliishia wapi? angalau akiwa hayupo 'anapunguza' msongamano wa foleni Dar!