JK kwenda Ufaransa leo

JK kwenda Ufaransa leo

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date
Marais wa Naijeria wanakawaida ya kujipa uwaziri wa mafuta, kwani huwa hawamwamini mtu. Kwa Trend Hiyo Nadhani Mheshimiwa Kikwete anafaa kujipa Uwaziri wa Mambo ya Nje kwani anaonekana kutomwamini yeyote linapokuja suala la Nje!. Tusubiri tuone, labda mabalozi pia wameshindwa kazi!
 
mmmmhhhh!!! hivi jamaa kajisahau kwamba ana waziri wa mambo ya nchi za nje?

Ben was very right.
Mrisho made a good minister for foreign affairs. Worst enough, he is still thinking ni waziri wa mambo ya nje, as of today we have two of them. Raisi tumchague 2010, in reality this position is vacant.
I have lost my president.
 
Ben was very right.
Mrisho made a good minister for foreign affairs. Worst enough, he is still thinking ni waziri wa mambo ya nje, as of today we have two of them. Raisi tumchague 2010, in reality this position is vacant.
I have lost my president.

You haven't lost him, he just has a different title, the Prime Minister.
 
kusafiri bila kupumzika haathiriki kiafya? labda madaktari mnieleweshe hapa. maana nilidhani anahitaji muda wa kupumzika kabla hajasafiri tena hasa ukitilia maanani kwamba wiki iliyopita alikuwa France kwa medical check up.
 
Mi nafikiri JK anafikiri bado ni waziri wa mambo ya nje. Kuna maswali memngi najiuliza kila siku, 1. Kwanni safari za Arusha ni nyingi sana kwa mheshimiwa?. 2. Kuirusha ndege kwenda arusha and back to dar inagharimu kiasi gani, tukipata estimate itatusaidia kujua ni kiasi gani kinagharimu kurusha ndege mpaka USA,Itally, NK, 3.Kuna tetesi kuwa pres - jet haiwezi lala KIA, mwanza, nk.Je tetesi hizi ni kweli?

Swali gumu zaidi kujibu ni muda gani mheshimiwa anakuwepo S/House kwa ajili ya kufikiria na kutatua matatizo ya wananchi.
 
huyu niu rais wa watanzania au wa nje maana safari zimwezidi mno tena ambazo manufaa yake hayaonekani kwa mtanzania wa kawaida.
 
Muacheni ajirushe mpaka achoke mwenyewe! Yote haya tuliyajua lakini tukapenda sura!! Mbowe alipofanya kampeni na Helicopter wakamzushia. Sasa yeye kila kukicha yuko mtaani. Anyway, sema tu safari zake zinalimalizia Taifa pesa, otherwise, jamaa uwepo wake nchini hautusaidii kitu. Urais tumempa kumsaidia yeye siyo yeye kutusaidia wananchi. Bongo sasa inabidi tuanze kujifunza walau kutoka kwa majirani zetu wa Kenya. Angalia Kibaki maji sasa yako shingoni!! No wonder East Africa Federation Vigogo wanaichelewesha kwa vile wanaogopa wananchi wataamka!!
 
Mi nafikiri JK anafikiri bado ni waziri wa mambo ya nje. Kuna maswali memngi najiuliza kila siku, 1. Kwanni safari za Arusha ni nyingi sana kwa mheshimiwa?. 2. Kuirusha ndege kwenda arusha and back to dar inagharimu kiasi gani, tukipata estimate itatusaidia kujua ni kiasi gani kinagharimu kurusha ndege mpaka USA,Itally, NK, 3.Kuna tetesi kuwa pres - jet haiwezi lala KIA, mwanza, nk.Je tetesi hizi ni kweli?

Swali gumu zaidi kujibu ni muda gani mheshimiwa anakuwepo S/House kwa ajili ya kufikiria na kutatua matatizo ya wananchi.


bado anatafuta muda mzuri wa kuyafikiria hasa hasa akiwa huko angani ndo anawaza zaidi ya akiwa ofisini yaani muda wake wa kupaa na kukaa na waheshimiwa huko Italy , France, USA na wapi kwingine ndo anawafikiria sana wananchi wake.

wabongo tufike mahali kweli tuseme enough is enough maisha ya kila siku ya mbongo yanazidi kudidimia hakuna maji dawa hospitalini, elimu ndo inazidi kudidimia, watu wanaishi kwa pato la chini ya dola moja, pengo kati ya walio nacho na wasio nacho linazidi kuongezeka umaskini kwa watanzania wengi umekuwa order of the day bado mheshimiwa anachoma mafuta kwenda italy france usa kwa ajili ya kwenda kuomba hizo anazopanda nazo ndege si ni bora angewapa wananchi wajinunulie hata madawa na vitabu kwa shule za msingi chache hapa bongo
 
Akiwa ndani ya nchi anawaza mambo ya nje, ila akiwa nje ndo anawakumbuka wa Tz wa home. Hujawahi kujiuliza, kwa nini alizungumzia sababu ya kubadili mawaziri wake akiwa Japan? Akahaahidi kuwashughulikia wala rushwa akiwa US? Akiwa ufaransa akagundua kuwa hajui kwa nini tz ni maskini! Ushamsikia akizungumza hatima ya TZ akiwa TZ? Sijui!
 
hivi baadhi ya hivi vimikutano vya nje, Dr. Shein hawezi kuwakilisha?



Mwanakijiji,

ile ni public figure tuu anakaa anakuja kuibuka kama hakuwepo

mimi nashangaa watu washasahau kuwa wana makamu wa rais hapa bongo maana hakuna jipya ni mtu wa kula good time tuu wanasikika mawaziri akina mwandosya walioko ofcn mwake ila yeye kama yeye hakuna jipya

sio mikutano awakilishe tatizo hizi ziara zinamfaidisha nani nani anayefaidika maana tunajua wananchi wanazidi kuumia

mfumuko wa bei uko juu, petrol bei juu haishuki wala hakuna dalili kwamba kuondolewa ka ushuru wa forodha ndo kutashusha bei yake, kila kitu kiko juu hakuna unafuu wa maisha kwa mtanzania wa kawaida

ila kila wiki prezda yuko ama london ama usa ama arusha kwenye kuzima mwenge ama yuko serengeti ameenda kwa mapumziko ama yuko kwenye kikao cha Au au cha EAC ili mradi ikulu pale ni kituo cha polisi
 
mmmmhhhh!!! hivi jamaa kajisahau kwamba ana waziri wa mambo ya nchi za nje?

Hata mimi nashangaa! Sijajua Waziri Benard Membe na mabalozi wetu waliotapakaa kila pembe ya dunia wanafanya kazi gani, kama raisi anafanya kazi yao. Kwa kweli Mkapa alikuwa clever sana kumteua huyu jamaa kuwa waziri wa mambo ya nje, kiasi kwamba mpaka leo hataki kuuachia wadhifa huo kwa wasaidizi wake.
Hivi Kazi ya Dr Ali Mohamed Shein ni ipi? Kuzindua miradi na kutokomea? Kuzindua na kufunga makongamano? ama kumwakilisha raisi katika mikutano kama hii?
Sishangai kusikia raisi anasema kuwa hajui kwa nini Tanzania ni masikini hadi leo, atajuaje umasikini wa Watanzania wakati anaishi nje ya nchi? Huyu haishi Tanzania, kwa hiyo umasikini wa Tanzania haumhusu hata chembe!
Mungu Ibariki Tanzania.
 
Hata mimi nashangaa! Sijajua Waziri Benard Membe na mabalozi wetu waliotapakaa kila pembe ya dunia wanafanya kazi gani, kama raisi anafanya kazi yao. Kwa kweli Mkapa alikuwa clever sana kumteua huyu jamaa kuwa waziri wa mambo ya nje, kiasi kwamba mpaka leo hataki kuuachia wadhifa huo kwa wasaidizi wake.
Hivi Kazi ya Dr Ali Mohamed Shein ni ipi? Kuzindua miradi na kutokomea? Kuzindua na kufunga makongamano? ama kumwakilisha raisi katika mikutano kama hii?
Sishangai kusikia raisi anasema kuwa hajui kwa nini Tanzania ni masikini hadi leo, atajuaje umasikini wa Watanzania wakati anaishi nje ya nchi? Huyu haishi Tanzania, kwa hiyo umasikini wa Tanzania haumhusu hata chembe!
Mungu Ibariki Tanzania.


atajuaje wakati kila siku yuko angani anaenda kulala kwenye hotel za kitalii za five star
atajuaje waakti akienda anaishia mjini ikulu ndogo na kuzunguka masokoni na kwenye maduka ya wahindi mjini na kuwatembelea washikaji wenye majumba na kasri za kutisha
atajuaje wakati hajawahi kukaa nma wananchi wake ajue shida zao na kuona wanavyoishi kwenye choka mbaya
 
tehe tehe ngoja niukwae na mimi lazima nilivenji haki ya nani vile!
 
hivi baadhi ya hivi vimikutano vya nje, Dr. Shein hawezi kuwakilisha?

Dr Shein kazi yake kufungua/kufunga matamasha na miradi... na kutembelea bucha za nyama akiwa na bonge la mkasi....

Jamani yule mwenye picha ya Shein akiwa kwenye bucha vipi akiiweka hapa leo ili ingawa sio friday mashabiki wa TO tukaugulia kipigo cha jana toka kwa Randy Moss.....
 
Hivi kweli Dr. Shein huwa anasafiri kwenda nje?? Au ana phobia ya kupaa na ndege???? Enzi zile za 60s na 78s marais walikuwa hawasafiri ovyo kuogopa kupinduliwa. Siku hizi za JK safari ni deal!!
 
Dr Shein kazi yake kufungua/kufunga matamasha na miradi... na kutembelea bucha za nyama akiwa na bonge la mkasi....

Jamani yule mwenye picha ya Shein akiwa kwenye bucha vipi akiiweka hapa leo ili ingawa sio friday mashabiki wa TO tukaugulia kipigo cha jana toka kwa Randy Moss.....


2011tj0.jpg


Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akiangalia nyama katika moja ya maduka ya kuuzia kitoweo hicho cha Ng'ombe lililopo katika soko la Buguruni jijini Dar es Salaam Septemba 17, 2007. Dk Shei yupo katika ziara ya siku tatu kukagua hali ya vyakula na bei katika masoko jijini humo.

Picha kwa hisani ya Father Kidevu
 
Thnx very much Ole,

Hii picha siku ya kwanza nimeiona nilivunja ubavu mmoja kwa kicheko....... Asante sana maana nina sababu ya kucheka ingawa ni kwa uchungu kwa namna this guy anavyokuwa treated na wana mtandandao! ..............

Thnx
 
Hiyo picha mbona inaonekana kasimama nje!! Sasa vumbi lizazuiwa vipi au hali ya vyakula hai-include usafi???? Ndiyo maana PINDUPINDU haliishi TZ!!!!!
 
2011tj0.jpg


Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akiangalia nyama katika moja ya maduka ya kuuzia kitoweo hicho cha Ng'ombe lililopo katika soko la Buguruni jijini Dar es Salaam Septemba 17, 2007. Dk Shei yupo katika ziara ya siku tatu kukagua hali ya vyakula na bei katika masoko jijini humo.

Picha kwa hisani ya Father Kidevu

Hii ndio kazi ya Dr Shein...... just imagine!
 
Back
Top Bottom