<br />Sipo hapa kujadili siasa...ukweli usiobishika ni kuwa JK hawezekaniki kwa pamba<br />
<br />
kuanzai za kawaida suits mpaka kanzu (anakwenda kama Sheikh Mohammed wa Dubai<br />
<br />
<br />
Post your pictures
<br />Angalau mnapenda show anayowapa...maana msingependa uwepo wake pale usingekua na maana!
hapo angepiga raba
Sipo hapa kujadili siasa...ukweli usiobishika ni kuwa JK hawezekaniki kwa pamba
kuanzai za kawaida suits mpaka kanzu (anakwenda kama Sheikh Mohammed wa Dubai
Post your pictures
<br />Sipo hapa kujadili siasa...ukweli usiobishika ni kuwa JK hawezekaniki kwa pamba<br />
<br />
kuanzai za kawaida suits mpaka kanzu (anakwenda kama Sheikh Mohammed wa Dubai<br />
<br />
<br />
Post your pictures
<br /><b>Hawekani kabisa kwa pamba, tena inamfanya atusahau hapa Tanzania kwa ma shopping ya nguvu ili aendelee kung'ara!<br />
<br />
Why not, kwake maji yanatiririka bombani, umeme kwake unawaka, hakai foleni barabarani, watoto wanlipiwa na hela ya mlipa kodi IST, hajui gharama ya ball joints wala tyrod ends, akiumwa haendi muhimbili wala nini, hata akiumwa mafua, huyo SA, au marekani! Wache aendelee kuvaa hayo masuti ya nguvu, kwani si ameshachaguliwa?! Hata akitusahau na kusahau ahadi zake hewa kuna ubaya gani?! Kwanza ndio lala salama kwake, nani atamtoa madarakani?!<br />
<br />
Thread ya ajabu kabisa hii, ndio maana tuko maskini na tunapata shida hapa nchini, huku tukiangalia sifa za kuvaa vizuri kwa viongozi wetu?!<br />
<br />
BURE KABISA!</b>
Ndo mana anachota mademu wazuri, we piga masulumbete yako uone kama uta fish celebrities
hapo angepiga raba
ahh wapi kakosea kuanzia juu mpaka chini
mazingira hayo unakwenda na mambo kama haya:
au rangi ya Brown
juu pia angepiga rangi ya Khaki