Salimia dawa ya misuli....anza upya, umesema nini? Hujatoa mchango wako zaidi ya kutoka povu.
Wakuu mlitaka amchague nani mridhike? Mpeni pmzi mzee apange timu anyoiona itamsadia kutekeleza majukmu kwa kipindi hiki cha pili cha awamu ya 4.
Kweli JK sikio la kufa....habari hii ni ya uhakika LAU MASHA yuko kwenye list ya wakuu wa mikoa wapya wanaotarajiwa kutangazwa kesho na kapewa Mkoa mpya wa shimiu...
Msibishe wala msinishushue kesho mtaona..
Jamani thread kama hizi ni nzuri kwa JF kama zina ukweli. Kwa maana hiyo naomba muendelee kiustaarabu nisi lazimike kumpa ban mtu na kashindwa kuchangia huu mjadala.
Kama huyo katumwa kwa kuwa kajiunga na jina hilo juzi,, mbona nawe huna miezi 3 humu kwa "Chezo"? Na wewe umetumwa?? Mtu ameuliza swali zuri tu, mlitaka amchague nani mridhike? wewe unadandia treni kwa mbele ati umetumwa?? Nataka nikujulishe tu kwa faida yako na wenzako wa fikra za majitaka kama hizo kwamba, watu humu wamo long time kwa names tofauti. Wengine tangu enzi za Nyenzi.com (sina hakika hata kama unaijua) baadaye wakahamia humu. Na wala wewe si kwako humu, kwa hiyo huwezi kubagua watu,, huyu mwenzetu,, huyu katumwa. Wewe leta hoja na sera acha umbeya.
sasa mbona umefuta hoja yangu wakina haina tusi?
si bora ungefuta hiyo "quote" ukaacha hoja yangu
ambayo nayo ilikuwa inatahadhalisha utumiaji wa lugha
"chafu".
kwa jinsi ulivyo-delete mchango wangu msomaji anawezadhani
nami nilitoa tusi.
kama kawaida umetumwa....join data 1st March 2011 ,number of posts 2...hahaaaaaa
Kweli JK sikio la kufa....habari hii ni ya uhakika LAU MASHA yuko kwenye list ya wakuu wa mikoa wapya wanaotarajiwa kutangazwa kesho na kapewa Mkoa mpya wa shimiu...
Msibishe wala msinishushue kesho mtaona..
kweli sikio la kufa halisikii dawa..and here we goNi rafiki yake wa muda mrefu,sishangai.....watang'ooka wote...