FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,211
Acha udini mama, hautakusaidia kufika popote.
Ukweli kwenu ni udini, au siyo? niambie katika niliyoyaandika kipi si ukweli.
Acha udini mama, hautakusaidia kufika popote.
Akisoma hotuba kuhusu maisha ya ndani kabisa ya Mandela wakati wa harakati zake za kupambana dhidi ya utawala wa kidhalimu wa Makaburu nchini Afrika Kusini,Rais Kikwete alisema kwamba Mandela alifika kwa mara ya kwanza nchini Tanganyika mnamo January,1962.Katika kitabu chake cha 'A LONG WALK TO FREEDOM' Mandela alisema kwamba alikuja Tanganyika kwa mara ya kwanza mwaka 1962 wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.Kumbukumbu za kihistoria zinaonyesha kuwa mwezi January,1962 Mwalimu Nyerere hakuwa Rais wa Tanganyika bado,Je ni kweli Mandela alikuja Tanganyika mwezi January,1962 kama alivyodai Rais Kikwete katika hotuba yake au Mkuu aliteleza?
Hhaah,
tabu ya Kuandikiwa HOTUBA na watoto wakina MAKAMBA unategemea nini?
Ukweli kwenu ni udini, au siyo? niambie katika niliyoyaandika kipi si ukweli.
Dada Faizafoxy mimi naendelea kusisitiza si JK wala wasaidizi wake aliyekosea tarehe, kama kuna aliyekosea hapa basi ni huyu jamaa aliyeleta mada, au labda niseme tunatofautiana katika kuelewa kiingereza! Dada Faiza kama unaweza, ingia google download "Long Walk to Freedom: The Autobibliography of Nelson Mandela kimechapishwa na Little, Brown and Company ya USA, fungua Part SIX ya kitabu ina title BLACKPIMPERNEL (ukurasa 158) nenda sehemu ya 46 (ukurasa wa 176) utaupata ukweli wa hii safari na kama JK alikosea au la!
Nabii isa ana uhusiano gani na mada, katokea wapi. We ungetoa fact bila kumtuhumu mtoa mada kwa kuhisia kuwa motive yake ni dini?. Sio vizuri aisee just be fair to your heart na Mungu wako.
Huoni kuwa anabambikiwa tarehe ya kuzaliwa? tarehe ya sherehe za kipagani "mtoto" wa Mungu kabambikiwa na hamuoni kuwa mwao? na mada hapo ni tarehe.
For sure you are SICK. Hujui upo nje ya topic kabisa. Just continue with Blassfo
mm nimesikia akisema ilikuwa ziara ya siri, je mleta mada hiyo uliyosema ni ziara ya wazi au ilikuwaje? km ilikuwa ya siri basi waliojua ni TANU pekee, lkn sipingani na Maelezo yako bali ufafanuzi unahitajika iwapo ziara uliyoisema nayo ilikuwa siri
Huoni kuwa anabambikiwa tarehe ya kuzaliwa? tarehe ya sherehe za kipagani "mtoto" wa Mungu kabambikiwa na hamuoni kuwa mwao? na mada hapo ni tarehe.
Hivi imani isiyokuhusu, wewe inakusumbua nini? Subiri mabikira kumi ahra
Imani isiyonihusu ni hiyo ya kusherehekea sherehe za kipagani, mnambambikia Mtume wangu Yesu (as) tarehe ya kuzaliwa ambayo haimuhusu ndee wala sikio. Mtume wangu Yesu mtukufu unasema hainihusu? Wewe kweli punguani.
Ni kama vile kusema Kikwete hakuhusu wakati huyo ni Rais wako na hata wakubwa zako wa chama wakiwa na matatizo yao wana mfata Ikulu kuwatatulia. Sasa ukisema hakuhusu si unakuwa punguani.
Mtume wako wa kuigilizia? Dini gani ilianza? Punguani ni wewe usiyejua Muumba alianzisha dini gani ya kwanza duniani
VItabu vina unique code iitwayo ISBN. Nilidhani ubishi ungeisha kwenye post yangu ya kwanza na ndiyo maana niliweka ISBN nikijua na-argue na watu wanaoelewa nini maana ya ISBN.
Nikufundishe kitu kimoja, kama ukitaja ukurasa wa kitabu chochote basi lazima utaje ISBN yake maana inawezekana unazungumza edition ya zamani ambayo lazima ISBN ni tofauti.
ISBN number ya kitabu nilichosoma kwenye mtandao ni 0-316-54585-6 kimechapishwa na Little, Brown and Company ya USA!
Wapi Yesu amesema kuweni Wakristo? au Niabuduni?
VItabu vina unique code iitwayo ISBN. Nilidhani ubishi ungeisha kwenye post yangu ya kwanza na ndiyo maana niliweka ISBN nikijua na-argue na watu wanaoelewa nini maana ya ISBN.
Nikufundishe kitu kimoja, kama ukitaja ukurasa wa kitabu chochote basi lazima utaje ISBN yake maana inawezekana unazungumza edition ya zamani ambayo lazima ISBN ni tofauti.
ISBN number ya kitabu nilichosoma kwenye mtandao ni 0-316-54585-6 kimechapishwa na Little, Brown and Company ya USA!
Edition unayotumia kwa hiyo ISBN 0-316-54585-6 ni ile first edition iliyotoka 1994 (Click here), hivyo ISBN yangu (9780349106533) ni the latest kwani ni edition of 1996 (Click here), yaani miaka miwili baada ya edition unayotumia. Kumbuka succedding editions hutoka baada ya kurekebisha virgin editions!