Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi
asanteeeeeeeniMkuu na mimi habari zinaanza kungia kutoka vyanzo mbalimbali.. tunajaribu kuthibitisha kama ni kweli....
Kwani ndiye aliyevujisha siri za siri kali?
Kishindo kwa maana gani?
kakomba hela zote au?
Kwa vile mwanzisha thread hii hataki kuweka wazi ni kishindo gani,basi mimi naweza ku-predict kishindo alichoacha Kiwete. Ni kwamba baada ya hutuba yake iliyoonyesha hofu kubwa kwa Chama Makini chenye watu waliokwenda shule. NAWEZA KUBASHIRI KATI YA MAMBO 2 ALIYOAACHA:
Sidhani kama kunaweza kuwa na kishindo zaidi ya hi ninavyodhani kuachwa na JK.
- KWAMBA ATAKUWA AMEAGIZA VIONGOZI WOTE WAANDAMIZI WA CHADEMA WAKAMATWE WAWEKWE NDANI KWA KUCHOCHEA MAPINDUZI YA KUIONDOA SERIKALI YA CCM ILIYOKO MADARAKANI.
- KUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA SERIKALI IMEFULIA(HAINA PESA)MPAKA LEO 2/03/2011 KUNA WATUMISHI HAWAJAPATA MISHAHARA YA FEBRUARI HALI NI TETE JESHINI,POLISI NA KWENYE TAASISI MBALIMBALI ZA SERIKALI.
JK hana kishindo chochote; ni mkwara tu.
Wakati wa marehemu Amina (AC), JK alisikika kuwa ataangusha kishindo kwa wauza unga, lakini wapi. Hadi leo hakuna lolote.
Wakati aliponyimwa hela na wafadhili kwa ajili ya rushwa, aliahidi kuwa masifadi sasa wataipata. Akaunda TAKUKURU badala ya TAKURU na sheria mpya za kuwashughulikia; tangu hilo takola mkulu lianze, hatujaona lolote. Mafisadi wanayeya tu
JK hawezi kufanya lolote
JK ni kilaza asiyejua wajibu wa majukumu yake.
JK ni mtafuta sifa na ni mbinafsi sana. Kwake yeye urais wa nchi ni mradi wa ukoo wake wala haangalii maslahi ya nchi.
Hakuna cha kishindo wala cha nini kutoka kwa JK.
Nimesema!!!!!!
@#$@#$$%^&#^%%(*(&Y&*$&^*!!!!
Tetesi ni kwaamba JK amemtema Rashid Othman wa TISS kabla ya kwenda Paris
Kama ni kweli RO katoswa, hili ni kubwa sababu zifuatazo:
-RO amekuwa analalamika sana kwenye korido kuwa ushauri anaompa JK hauheshimiwi, ni mbishi na anawaamini sangoma zaidi kuliko idara ya RO.
Mkuu ebu tuambie anamlalamikia na nani ni ushauri gani aliompatia Rais akauweka pembeni.
-RO ameonekana amechoka sana siku za karibuni na hata kutishia kujiengua yeye mwenyewe. Kama hii ni kweli, atakuwa amefurahi sana.
Mkuu hapa tena napatwa kigugumizi RO hawezi kujiengua hata siku moja labda serekali nyingine lakini siyo hii ya Mkwere hakuna mtu wa kujiuzulu wa kujiengua.
-Kuna watu ndani ya idara wamekuwa wanamkalia kooni kwa kudai hakustahili kuteuliwa yeye kwa nafasi hiyo. Yupo Prof mmoja wa Chuo cha Diplomasia, ndiye kinara wa movement hii na inasikika kuwa ndiye possible mteule.
Taarifa nilizonazo RO atamalizaa salama kipindi chake cha ushushu labda nguvu ya umma itumike kumwondosha Mkwere magogoni.
-JK anamtuhumu RO kuwa amejiunga na kambi ya mzito fulani kwa mbio za 2015, na kambi hiyo si chaguo la JK.
Mkuu RO ni kambi ya Lowasa ndiye aliyemsaidia kushika wadhifa huo wakti akiwa waziri mkuu.RO kama mwanadamu lazima arejeshe fadhila hata ingekuwa usingefanya tofauti na anavyofanya sasa.Sidhani kama Lowasa si chaguo la Mkwere hii haitaji utabiri wa Shehe Yahaya au umesahau Lowassa aliwahi kusema hawajakutana barabarani.Tafakari chukua hatua okoa Tanzania kabla ya mwaka 2015 CCM ionekane kama chama cha kitchen party kuendela kukilea ni kuliletea taifa maafa makubwa.
Jamani hizi zote ni TETESI tu. Walioanzisha thread, watujuze kishindo ni kipi.