Hayo amefanya kikwete sasa na aliyo fanya Slaa ni yapi zaidi ya kupiga domo?
Ndugu yangu Lilombe
Thread yako ni ya maana sana, na huu ndiyo ukweli juu ya Rais J.K. Kuna vitu vingi vizuri sana kavifanya J.K na watanzania tutamkumbuka baada ya 2015! Of course, mabaya yapo ila kumbuka J.K si malaika.
Lakini kwa bahati mbaya hapa JF, inaonyesha hoja yoyote inayomsema vizuri Mh. Rais na serikali yake, kuna namna mbili hoja hiyo inapata mashambulizi:
1. Ubahatike wasiimuvizishe
2. Utegemee matusi na maneno mazito dhidi yako.
Kama unataka hoja yako ipate michango chanya na mingi, sema lolote baya juu ya Serikali yetu na huku ukiwasifia sana CDM. Wambie 2015 watakuwa Magogoni, then utaona furaha ya wana-JF.
Huu ni mtazamo tu, si lazima uwe ukweli wenyewe.
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Kwa watuhumiwa wa EPA ni hao wawili tuuuuuu....??? Vipi wale wanaodaiwa kuwa walizirudisha kimya kimya............??? KWA NINI HAO WA LIMYA KIMYA HAWAJULIKANI LAKINI TUNAAMBIWA WAMERUDISHA.................... acha kujifanya huna ufinyu nwa mawazo.Kama CDM wanavyojishughulisha na shughuli za mahakama kule NYAMONGO...USHABIKI usio na Maana. We si ulikuwa unapiga kelele kwamba hawashughulikii watuhumiwa wa EPA. Ulitaka yeye ndo awashughulikie au mahakama ndo iwashughulikie?? Usiwe mfinyu wa mawazo.
Kwa watuhumiwa wa EPA ni hao wawili tuuuuuu....??? Vipi wale wanaodaiwa kuwa walizirudisha kimya kimya............??? KWA NINI HAO WA LIMYA KIMYA HAWAJULIKANI LAKINI TUNAAMBIWA WAMERUDISHA.................... acha kujifanya huna ufinyu nwa mawazo.
NA hapo mezani aliliweka na nani kama si CDM........................ SI MLIBISHA NA MWISHO MKAACHIA NA MKAOTA MAGAMBA NA SASA MNAHANGAIKA KUYAVUA.................................... Kuna siku utatumwa kukata hicho kichwa chako, na utakata kweli.................Acha uongo wewe, usieleze historia usiyoijua. Tangu suala la EPA lilipokaa mezan, vyombo husika vililishughulikia ki upelelezi na kupata ushahidi wa kujitosheleza kufungua mashtaka. Slaa wala yeyote kutoka sehemu yoyote hana uwezo wa kushinikiza chombo cha sheria kifanye kazi kwa matakwa yao.. UDHAIFU wa hoja. JARIBUN KUPONGEZA KINACHOWAPENDEZA HATA KAMA KINATOKA KWA ADUI YAKO KWA MASLAH YA TAIFA LETU.. Tuache UNAFKI!
NA hapo mezani aliliweka na nani kama si CDM........................ SI MLIBISHA NA MWISHO MKAACHIA NA MKAOTA MAGAMBA NA SASA MNAHANGAIKA KUYAVUA.................................... Kuna siku utatumwa kukata hicho kichwa chako, na utakata kweli.................
Kwa watuhumiwa wa EPA ni hao wawili tuuuuuu....??? Vipi wale wanaodaiwa kuwa walizirudisha kimya kimya............??? KWA NINI HAO WA LIMYA KIMYA HAWAJULIKANI LAKINI TUNAAMBIWA WAMERUDISHA.................... acha kujifanya huna ufinyu nwa mawazo.
JK no at all
i reserve my comment on this stupid prezidaa isije ikawa
.. Jk ni mvumilivu mnoo.... sasa anagalia lugha zinazotumiwa na wana JF.. kama hiyo... ushalaanika wewe meryttina
.. Jk ni mvumilivu mnoo.... sasa anagalia lugha zinazotumiwa na wana JF.. kama hiyo... ushalaanika wewe meryttina