Jk azidi kuandika historia

Jk azidi kuandika historia

Acha unafiki umesahau hata hao waliohukumiwa ni nguvu ya silaha? sasa huyo JK kafanya nini use your brain to think well.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


Mke asifiwi kuzaa ndo kazi yake.
 
Hivi tanzania tupo karne ya ngapi..huu Mgao wa umeme na sisi tumekaa kimya kama majuha!
 
Usanii mtupu!! Mpaka awashtaki kagoda ndo nchi hii itatulia. Hivyo vjidagaa vidogo vidogo ni danganya toto!!iweje mtu alokomba 1.5 bilion akamatwe na kuhukumiwa wakati aliyekwapua 40 bilion anapeta?!!haingii akilini.kamata akina ra sweka ndani hukumu miaka 30 iwe fundisho.sio unafunga dagaa unaancha kambale!! Usanii mtupu!
 
Hayo amefanya kikwete sasa na aliyo fanya Slaa ni yapi zaidi ya kupiga domo?

Huyo Slaa alipewa lini nafasi ya kuyafanya hayo akashindwa kuyafanya??? Acha kukurupuka mkubwa!!!
 
Msingi wa pongezi uwe UTHUBUTU alioufanya wa kuwapeleka mahakamani!

Mkuu unaweza kutengeneza uwiano wa uthubutu huo na pale ambapo ameshindwa kuthubutu ukatupatia ratio ili tukuunge mkono?
 
Una uhuru wa kutumia demokrasia utakavyo, UKWELI unabaki pale pale JK kapaisha demokrasia TZ na vyombo vya dola amewapa uhuru wa kutekeleza majukumu yake

This is a sheer lunatical analysis! Sijui unafikiri nini kuandika utumbo huu. Polisi waliua watu Arusha serikali ikasema walijitakia kufa na juzi tu kule Nyamongo watu wameuawa na polisi tena tukaambiwa walikuwa majambazi.
Huu upuuzi upeleke sehemu nyingine sio kuamsha hasira za watu.
Jana wakati mababu zetu wanalia kwa kudhulumiwa haki zao JK wako alikuwa makaburini K'ndoni kumzika mkewe Kahama - kwahilo tu yuko juu.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


ZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO HUKU!!!! You only sees with your eyes... that's why you can easily be fooled!!!!
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


Rudi ukafanye homework yako vizuri.

1. Kuna double standards ktk handling ya kesi za EPA
2. Kuvunjwa baraza la mawaziri kulitokana na EL kujiuzuru na si kuwajibishwa na JK
3. Kuwapeleka watuhumiwa mahakamani ni kazi ya muhimili mwingine kabisa wa dola ur JK kama executive has nothing to do with it
4. Hakuna swala la moyo wa uvumilivu na vyombo vya habari bali ni swala la utawala wa sheria, sijui utakuwa na maana gani kumsifia JK kwa kutoingilia mambo kwa maana ya kuvuruga taaratibu za nchi. Labda ulitaka awe afuati utawala sheria.
5. Maandamano ni njia ya kujiexpress inayotambuliwa na katiba ya nchi kisheria.

Like I said go back and do your home work....


Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
 
A learned fool is more a fool than an ignorant fool, CCM is a bunch of learned fools.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA

Kabla ya kuandika uwe unafikiria kwanza hichi ulichoaandika naita USHABIKI MAANDAZI.

2. Kama aliwafikisha akina Mramba na wengine mahakamani ni kitu gani kilimfanya wakati wa Uchaguzi arudi kwenye majimbo yao na
kuwanadi kuwa ni wasafi na wachapa kazi kama sio unafiki ni nini????

3. Rais ndio anahusika na kutoa vibali vya maandamano??????

Jibu hayo maswali halafu uaache ushabiki maandazi.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


Kada wa Chama Cha Magamba (CCM); Umetumwa!
 
7.kuteua serikali ya kishikaji na kutengeneza udini tanzania
8.kuvunja rcrd ya safari za nje
9.Rais wa kwanza kwa majungu na mipasho..pia kutojua kwake chanzo cha umaskini wa tz
10.Kuteua watuhumiwa wa ufisadi katika nafasi nyeti
....kweli kaandika historia
 
Slaa atapongezwa kwa kuratibu maandamano yasiyo na kikomo HATAHIVYO inabidi ampongeze JK kwa kumpa uhuru wa kuandamana

nnaona mazuzu mmekutana,uhuru wa kuandamana hauombwi Kama hujaisoma katiba yako ya Tanzania nenda kafanye hivyo.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


unayaita haya ni mafanikio? unaishi wapi mzee, sudan kusini au kandahar?
 
Ndugu yangu Lilombe

Thread yako ni ya maana sana, na huu ndiyo ukweli juu ya Rais J.K. Kuna vitu vingi vizuri sana kavifanya J.K na watanzania tutamkumbuka baada ya 2015! Of course, mabaya yapo ila kumbuka J.K si malaika.

Lakini kwa bahati mbaya hapa JF, inaonyesha hoja yoyote inayomsema vizuri Mh. Rais na serikali yake, kuna namna mbili hoja hiyo inapata mashambulizi:

1. Ubahatike wasiimuvizishe

2. Utegemee matusi na maneno mazito dhidi yako.

Kama unataka hoja yako ipate michango chanya na mingi, sema lolote baya juu ya Serikali yetu na huku ukiwasifia sana CDM. Wambie 2015 watakuwa Magogoni, then utaona furaha ya wana-JF.

Huu ni mtazamo tu, si lazima uwe ukweli wenyewe.
 
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.

Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.

Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo

NAWAKILISHA


amka wewe! Unawajua wahusika wa epa? Ni mtandao mmoja mkubwa na hatari sana. Hao dagaa wawili ni kiini macho tu. Eti unamshukuru jk. Haujui kuwa huyo ndo epa yenyewe
 
Historia ipi JK ameandika kwenye habari yako?
Unataka kutueleza kuwa JK ndiye hakimu?

Kama ni suala la kupeleka watuhumiwa mahakamani nadhani ungepaswa kulalamika kuwa kuna watuhumiwa wengi zaidi ambao JK (serikali yake) alipaswa kuwashitaki lakini hajafanya lolote kwa sababu ya kuhofia mahusiano yao kuharibika kuliko kupongeza vidagaa vinapoadhibiwa. Hauoni kuwa hivi ni vidagaa na makambale hayawezi kuguswa? Iko wapi ile orodha ya watuhumiwa 100 wa madawa ya kulevya aliyokiri kuyapokea enzi za Amina Chifupa? Wako wapi mawaziri na maswahiba wa JK waliodhulumu mali za taifa letu kwa mabilioni lakini hawajachukuliwa hatua yoyote?

Kabla hujawasilisha hoja yako kwa watu usiojua uwezo wao wa kuona na kufikiri unapaswa utulie kwanza...siyo kupongezapongeza tu kana kwamba umetumwa kufanya hivyo!
 
Back
Top Bottom