Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Mtoa mada acha mizaha. Tumezoea sana kuishi kwa mizaha. Mtu anatakiwa kupongezwa kwa utendaji uliotukuka na si kwa kufanya mizaha.
1. JK hakuvunja baraza la mawaziri kama mnavyopenda kuwaaminisha watu, ujasiri huo huyu bwana hakuwa nao na kwa msisitizo hana ujasiri wa kutengua tu nafasi ya waziri yoyote katika serikali aliyoiunda mwenyewe (rejea hotuba ya semina elekezi dodoma), sembuse kuvunja baraza zima? Acha mzaha ndugu, baraza la mawaziri lilivunjika kwa mujibu wa katiba. Mfano baada ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine, baraza la mawaziri lilivunjwa, je huo ulikuwa ni ujasiri wa Hayati mwl. Nyerere?
2. Kuwafikisha mahakamani Mramba na wenzake, kama si mzaha basi ni ujuha. Huo ni ujasiri ama ni wajibu wa serikali? Mzaha wa kitoto kabisa, kutekeleza wajibu wako wa kila siku ni ujasiri? Hivi polisi kufikisha mtuhumiwa mahakamani ni ujasiri? Watanzania tupunguze mizaha.
3. Watuhumiwa wa EPA, kwa hili amejidhihirisha alivyoshindwa kutekeleza wajibu wake wa Law enforcement, kampuni zilizohusika na wizi zaidi ya kumi, zilizopelekwa mahakamani nne tu, hayo makamuni yaliyobaki kwanini yameachwa? Kwa JK wezi wana matabaka. Wezi waheshimiwa, unaketi nao kwenye kahawa, vibaka mahakamani.
3. Maandamano ni haki ya kikatiba na si hisani ya JK, acha utani.
4. Uhuru wa vyombo vya habari ni haki ya kidunia, kikatiba. JK hatoi uhuru huo punguza mizaha.
Tuambieni JK na serikali yake wamefanya nini kutupunguzia hali ngumu ya maisha, na si kujisifia na kujaa kwa magari ya mikopo. Uchumi unazidi kuyumba, mwananchi hali mbaya, ana mikakati gani?
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Slaa atapongezwa kwa kuratibu maandamano yasiyo na kikomo HATAHIVYO inabidi ampongeze JK kwa kumpa uhuru wa kuandamana
Kweli hizi ni bangi bila kula.
Nadhani kabla hujatoa pongezi ungeorodhesha pia mambo mengi
aliyochemka halafu ubalance, vinginevyo hakuna atakayekuelewa
katika takwimu hizi za kupikwa unazozitoa.
Ukitumia bange shurti ule kwanza!!!!!!
Unamalaani kwa majini ya yahaya eeeh!.. Jk ni mvumilivu mnoo.... sasa anagalia lugha zinazotumiwa na wana JF.. kama hiyo... ushalaanika wewe meryttina
Una uhuru wa kutumia demokrasia utakavyo, UKWELI unabaki pale pale JK kapaisha demokrasia TZ na vyombo vya dola amewapa uhuru wa kutekeleza majukumu yake
hawa walifungwa ni kama vidagaa tuu samaki papa na nyangumi bado wako nje wanatesa
YOU KNOW WHAT I'M SAYING? Kuna thread hapa kuhusu this window (March 2011 - Now) https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-hoja-zinazoipinga-ccm-hapa-jamii-forum.html
yakuza:
Join Date : 22nd May 2011
Posts : 8
Thanks 0 Thanked 4 Times in 1 Post
Rep Power : 0
Lilombe:
Join Date : 11th April 2011
Posts : 124
Thanks 0 Thanked 10 Times in 7 Posts
Rep Power : 21
Rais Jakaya Kikwete amezidi kuandika historia katika kipindi chake cha uongozi kwa kuhitimisha kesi ya EPA ambayo kada wa CCM, Rajabu Maranda na \mshirika wake, Farijala wamepewa hukumu ya miaka 21 ambapo watatumikia jela miaka 5. Pia wakitoka jela itatakiwa walipe fedha walizoiba kupitia akaunti ya EPA.
Wananchi wa Tanzania pasipo kujali itikadi inatubidi kupongeza Rais wetu ili tumpe moyo ili aweze kuwashughulikia mafisadi na maovu mengine yanayofanyika nchini mwetu.
Tujikumbushe baadhi ya hatua ambazo JK amethubutu kuchukua katika uongozi wake:-
1. Kuvunja Baraza la Mawaziri ikiwa ni kujiuzulu kwa Waziri Mkuu
2. Kuwafikisha mahakamani viongozi wandamizi wa serikali; Mramba, Yona na Mgonja
3. Kuwapeleka watuhumiwa wa EPA mahakamani
4. Kuwa na moyo wa uvumilivu kwa vyombo vya habari
5. Kutoa vibali vya maandamano kwa vyama vya siasa pasiipo mkomo
NAWAKILISHA
Sasa kama kila kitu kina mwisho wake basi kwanini iwe CCM na sio chadema? l bora mafisadi kuliko chama chenye nia ya kuchafua nchi.
Slaa atapongezwa kwa kuratibu maandamano yasiyo na kikomo HATAHIVYO inabidi ampongeze JK kwa kumpa uhuru wa kuandamana
Hayo amefanya kikwete sasa na aliyo fanya Slaa ni yapi zaidi ya kupiga domo?