JK atoa kafara MSOGA

Kabla hajawamaliza atamalizika kwanza yeye what goes around comes around,yeye nani mpaka awamalize
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
LAANA kwenye nchi inaletwa na CCM chama cha cha wachawi na viongozi wake wanaongozwa na MASHETANI. ukombozi utatoka kwa MUNGU PEKE YAKE.
 
Tunachekacheka tu nchi hii inaendeshwa kwa nguvu za giza ndo maana Mungu ameamua kutukomesha kwa mabalaa badika bandua.Hakika utawala wa gizani hautasimama ni lazima uanguke na hakuna atakayeweza kuuokoa!
 
kiongozi mshirikina ? Anawaza kichawi kwa maslahi ya walozi na genge la mafukara wa akili
 
Huyo Mungu wenu ni slow mo sana, tangu 2005 bado hajawakomboa tu?
Tayari ameanza kazi yake:
1. Utawala wa wachawi wa CCM umefitinika= wanagombana wenyewe kwa wenyewe wanaangushana
2. Kuna vipande vipande kila kimoja na mtandao wake wanapigana watamalizana wenyewe.
Ni hakika kuwa 2015 wachawi watakuwa wamemalizana wenyewe.
MUNGU WETU NI MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI WACHAWI HAWAMWEZI.
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
Kwani mpaka sasa mambo yanavyokwenda wewe ulikuwa hujagundua kwamba Jk maji yako shingoni na yanapanda kuelekea kufunika pua?
 
Wadau

Sio kila kitu wadau ni uchawi mengine ni mila na desturiu zetu waafrika,tusiwe na huo mnaoita ustaarabu wa kizungu mpaka tukapitiliza.Nachojua hata wazungu wana mila na desturi zao.Waamerika weusi wanadestuuri zao japo walichukuliwa utumwani lakini hawakuacha na walianzisha SOUL FOOD.

Tukipitilza tunakuwa WATUMWA wa UTAMADUNI,asiyefuata ASILI ni MTUMWA.Mwalimu na usomi wake na kuongoza Taifa hili alijua kuwa kuna MUNGU WA WATYAMA pale BUTIAMA.Wazee wa Dar e Salaam pia walimuombea kwenye matambiko yao wakachinja MBUZI wakamwambia TAMBUKA [Maana yake luka au vuka] wakamwambia nenda sasa gavana TWAIN amekwisha HAKUWEZI TENA.

Tusifike mbali tukawa Watumwa mpaka kusahau kwetu,ndio JK anamatatizo ya utawala wake, lakini hata kwa hili tusifikie kuwa na dhiaki mpaka kwenye JADI tutakuwa watumwa kupitiliza.Ni kweli tu Watumwa KIUCHUMI lakini tukishadadia na hili hata hicho kidogo kinachotupa picha ya kuwa tu wa Watanzania kitapotea na tutakuwa tu wanyama tusiojua tunakotaka au tunakwenda.

Wachaga wanachinja mbuzi wakienda vijini kwao [Migombani] wakurya wanachinja mbuzi wakienda kwa kijijini [Itongo] wasukuma na wanyamwezi wanachinja mbuzi wakienda vijiji mwao [Mwiitongo].

Tujadiliane jinsi gani tunafanikisha kuludisha uchumi wa Mtanzania uliopokwa na kuuludisha mikononi mwa vijana kizazi cha Taifa hili.Haya ya kuchinja mbuzi na kunywa toga ua mbege mimi na UDOTCOM wangu nimeyakuta kwenye familia yangu nanitaendeleza kama jadi ya jamii yangu kama walivyoendeleza waamerika weusi kwenye SOUL FOOD [Soul food is used to refer to the kind of food, for example corn bread, ham, and greens, that was popular with black Americans in the southern United States and is considered typical of them.].

Wadau yakitanzania yaendelee kuwa ya kitanzania.tuzungumze tulivyopokwa uchumi wetu na maliasili yetu na ni jinsi gani tutalejesha tulivyopokwa. Tumuache yeye na wanamsoga wenzie waeendeleze na kuenzi jadi ya utanzania wao kwa mila zao kama Nyerere alivyoishi na Watyama wa kwao Butiama.Tukiyachokoza haya tutakuwa kama Mazuzu vile.
 
DSN nakubaliana na wewe, hao wengine wote wanaochinja mbuzi na n'gombe vijijini kwao siyo matambiko, lakini akifanya JK imekuwa nongwa!

Kwani kafara maana yake nini, hebu tuelezeni, isjekuwa kwa mmoja ni mila lakini kwa mwengine ni dhambi na uchawi.
 
hii imesemwa jan 2011,imerudiwa jana na Jb live kule jukwaa la hoja mchanganyiko! Kwanini tusianze kuamini anachosema Jb hata kama ni mila na desturi?
 
DSN nakubaliana na wewe, hao wengine wote wanaochinja mbuzi na n'gombe vijijini kwao siyo matambiko, lakini akifanya JK imekuwa nongwa!

Kwani kafara maana yake nini, hebu tuelezeni, isjekuwa kwa mmoja ni mila lakini kwa mwengine ni dhambi na uchawi.

Atakae sema ni uchawi si mtanzania,manake makabila yote ya Tanzania yanajadi zake.
 
Mungu ni Mungu hakuna mwanadamu awezaye kuabudiwa hata afanye nini biblia ina sema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa ni kinga yake. nauliza akina mwanangiti, bulugute, shehe yahaya, Mungu wapili wote hao wako wapi? Mungu ndiye mlinzi zaidi ya hao binadamu na uchawi wao
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo

Ridhiwani awe makini...maana kafara mara nyingi uwa zinagusa watoto pia....
 
Rais Kikwete ni mkulima.na ili kuthibitisha hilo angalia hapa akiwa kwao huko msoga.


JK Shambani



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Shamba hilo ni la manyasi ya kulishia mifugo kwa njia ya kisasa (zero grazing), akiwa ni mmoja wa wafugaji kijijini hapo. Rais Kikwete, ambaye aghalabu hutumia muda wake wa likizo shambani kwake, pia analima pia mananasi ambayo hustawi vizuri katika wilaya hiyo. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh Mwantumu Mahiza. kuthibitisha hilo,wkend hii ameamua kutumia mda wake shambani.


Msoga kuna nini? mbona kila siku ni msoga tu????
 
Back
Top Bottom