LAANA kwenye nchi inaletwa na CCM chama cha cha wachawi na viongozi wake wanaongozwa na MASHETANI. ukombozi utatoka kwa MUNGU PEKE YAKE.Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
<br /><img src="http://t0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcTBgLrfqsOcDrv2TtisArxHHBNgt8kOVbJXSO3PEjVE8GKzTB2r" border="0" alt="" /><br />
<br />
kama msoga vile
. ukombozi utatoka kwa MUNGU PEKE YAKE.
Tayari ameanza kazi yake:Huyo Mungu wenu ni slow mo sana, tangu 2005 bado hajawakomboa tu?
Kwani mpaka sasa mambo yanavyokwenda wewe ulikuwa hujagundua kwamba Jk maji yako shingoni na yanapanda kuelekea kufunika pua?Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
DSN nakubaliana na wewe, hao wengine wote wanaochinja mbuzi na n'gombe vijijini kwao siyo matambiko, lakini akifanya JK imekuwa nongwa!
Kwani kafara maana yake nini, hebu tuelezeni, isjekuwa kwa mmoja ni mila lakini kwa mwengine ni dhambi na uchawi.
Atatoa kafara mpaka atamwua mamake.
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
Wana wa Israeli iliwachukua muda gani kutoka utumwani Misri? Our God may be slow, but he is always on time!Huyo Mungu wenu ni slow mo sana, tangu 2005 bado hajawakomboa tu?
Rais Kikwete ni mkulima.na ili kuthibitisha hilo angalia hapa akiwa kwao huko msoga.
JK Shambani
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Shamba hilo ni la manyasi ya kulishia mifugo kwa njia ya kisasa (zero grazing), akiwa ni mmoja wa wafugaji kijijini hapo. Rais Kikwete, ambaye aghalabu hutumia muda wake wa likizo shambani kwake, pia analima pia mananasi ambayo hustawi vizuri katika wilaya hiyo. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh Mwantumu Mahiza. kuthibitisha hilo,wkend hii ameamua kutumia mda wake shambani.