Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.
my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
Gossip!!! The General rule is that, hearsay evidence is not evidence at all. Mbuzi!!!!! Mbona huwa anatoa mbuzi kama zawadi ya Xmas, Pasaka na Eid?? Not an issue