JK atoa kafara MSOGA

Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo

Gossip!!! The General rule is that, hearsay evidence is not evidence at all. Mbuzi!!!!! Mbona huwa anatoa mbuzi kama zawadi ya Xmas, Pasaka na Eid?? Not an issue
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo

Sasa hii kafara ilifanyika kwa taratibu za dini ya kiislamu au zile zetu za asili (jadi). Je unaweza kuchanganya mambo yetu ya jadi na bado ukaendelea kuwa muumini safi wa hizi dini za kigeni?
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo
kuna jamaa yangu mmoja anakaa kisarawe aliniambia neno mdaumie maana yake ni bwabwa ila sikuamini kwani mimi naamini lile ambalo nina uhakika nalo sio la kuambiwa na majamaa je wewe?
 
jamani JF hebu tuache uchawi

River side kila siku wanachinja mbuzi.... mie krismas nilichinja mbuzi

sasa naona tunaenda mbali against everything

i like your threads always!upo mkweli,mwelewa na hauna unafiki!
 
Mambo yalikuwa kama hivi
altar.jpg
 
ninacho maindi mimi sio kafara wala ndumba zake huko, ila alisababisha jam baya sana Jumatatu saa nane nane mitaa ya Mbezi akiwa anarudi na Morogoro road na mi Cruiser yake kama mia nne, namshangaa mchana mchana katikati ya wiki Rais hayuko Ikulu wala kwenye miradi ya maendeleo yuko kijijini, wala hatujaambiwa yuko likizo, basi angesubiri night ndo aamshe huo msafara wake kama angekuwa anajali havoc analosababisha barabarani
 
Haina ubishi kuwa jamaa kachoka toka uchaguzi umeisha jamaa anaamka saa 6 saa 8 anaingia ofisi late pia habari za uhakika jamaa hupenda sana kuangalia filamu za kibogo asubuhi
 
Haina ubishi kuwa jamaa kachoka toka uchaguzi umeisha jamaa anaamka saa 6 saa 8 anaingia ofisi late pia habari za uhakika jamaa hupenda sana kuangalia filamu za kibogo asubuhi

Kama kweli kiongozi tunaye..
 
Watanganyika wenzangu tupambane na uozo wa serikali ya Jk ila nadhani tusifike kukejeli kila kitu la tutaonkana JF hatuna busara, nashauri tuzingatie JF is Home of Grat Thinkers, let us live with that notion.. ni hayo tu
 
huyu ni wa kumuondoa kwa njia ya short -cut.....hivi ratiba yake ya mikoani imekaaje wadau?........hivi hivi hatoki
 
Haya madawa ya kienyeji ya kutakatisha nyota huwa yana expire kwa hiyo lazima kuya boost mara kwa mara kwa kutoa sadaka ya kuchinja either mnyama au binadamu.

Kweli jamaa kakalia kuti kavu hata urais anauona mchungu - maana mambo yake hayaendi vizuri
a) Mawasiliano ya Ikulu kuhusu Dowans yana walakini mkubwa, Mkurungenzi badala ya kujibu hoja yeye anakuja na vijembe
b) Bei ya umeme juu wakati umeme wenyewe haupo
c) Huko Arusha nako usiseme, huyo Chitanda, Makamba, Mwema na Nahodha wanaonekana mizigo ndani ya Chama na Serikali
d) Soo la Kuilipa Dowans nalo halimpi usingizi
e) Maaskofu na Wakuu wa dini wameikalia koo Serikali kwa utendaji mbovu kusababisha mauaji yasiyo ya lazima Arusha
f) Suala la Katiba nao halimpi usingizi, Werema naye kupingana na Baadhi ya Mawaziri na Rais kuhusu tamko la Katiba mpya.
f) Maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa magumu mno - hasira zao zinamwangukia yeye na CCM yake.

Kuyatolea ufumbuzi masuala haya yote kabla na nusu ya mwaka huu unahitaji kuwa na serikali makini chini ya Rais mchapakazi na mwadilifu, na sina uhakika washauri wake wanafanya kazi aliyowapa maana mambo si swari ki ujumla.

Hizi dawa za kusafisha nyota kuna wakati huwa haziwezi kufanya kazi yake endapo utakuwa umesababisha umwagaji wa damu hasa ya watu - hili la Arusha halisafishiki wa Kafara - hili linahitaji kuomba radhi live kwa watanzania wote wakusamehe.
 
Ndani ya wiki hii kuna jamaa yangu mmoja anakaa maeneo ya MSOGA kaniambia kwamba JK alikuwa anatoa kafara/tambiko kwa kuchinja Mbuzi pale MSOGA nyumbani kwake.

my quote:
Hii wana JF mimi inanidhihirishia jamaa (JK) ni maji ya shingo

Hamna lolote, Col. Dr, Dr, Dr, Mkwere anapenda sana nyama choma hicho kilikuwa kisingizio tu..
 
Abrahamu,
Usimchinje mwanao,
Abrahamu,
Tazama kondoo yule....

Angechinja kondoo kama ni kweli alikuwa anaweka mambo sawa
 
:gossip::kev::A S-confused1:
unless una videos (sio photos sababu they can be photoshopped) this is very hard to substanciate.....

haina haja ya picha wala video kama katoa kafara inatosha kusema na sisi tunaamini anaweza fanya hivyo kwani hali yake ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom