Shehe Yahya alikuwepo?
Akose tena ,na yeye ndiye alishasema atamwongezea ulinzi zaidi!!Shehe Yahya alikuwepo?
Mna uhakika?
Mwenyekiti wa jopo la wachawi wake anaitwa Mohamed Mbega toka Bumbuli, na huyu ndiyo kiungo mkubwa kati ya JK na Makamba.Mzee Mbega ndiye aliongoza hiyo ibada ya kafara
Atatoa kafara mpaka atamwua mamake.
hiyo kafara unajua inatolewa kivipi?
Otherwise kusoma dua na kuchinja mbuzi halafu ukawapa watu nmasikini sio kafara wala tambiko.
Mwenyekiti wa jopo la wachawi wake anaitwa Mohamed Mbega toka Bumbuli, na huyu ndiyo kiungo mkubwa kati ya JK na Makamba.Mzee Mbega ndiye aliongoza hiyo ibada ya kafara
Mwenyekiti wa jopo la wachawi wake anaitwa Mohamed Mbega toka Bumbuli, na huyu ndiyo kiungo mkubwa kati ya JK na Makamba.Mzee Mbega ndiye aliongoza hiyo ibada ya kafara