JK anasa Marekani!!

Kazidi uzururaji katika nchi za watu, hii hali ikiendelea kwa miezi kadhaa labda itabidi Sitta aingie Ikulu.
 
jamani nimecheka sana na jinsi wapiga kura wanavyotoa maoni yao juu ya rais wao kukwama nje ya nchi.......... hahaha............ very funy.........
 
kuna mtu hapa allisema kuwa heri awe mfanyakazi wa ndani ya ndege
anasuburi intavyuu!!

ki msingi huyu jamaa hana maana kwangu hata kidogo, simuheshim kama mkuu wangu wa nchi
namdharau sana
simtakii
hajithamini
hasikii kilio cha watu wake
hatatui matatizo ya nchi yake
hajitambui
amekuwa kama wafanya biashara wa madini feki
anatuvuruga sisi wananchi wake
mtu gani haambiliki?

toka moyoni simpendi kabisa
 
wabongo bana,yakitokea ya poland nyie ndio mtakua wakwanza kuja lia lia hapa,acheni hizo huyo ndio prezidaa wenu mliomchagua mnaye mpaka 2015,mlie tu.
 
Mi naona azamie kimoja huko huko. Hana faida yeyote. Angekwama Obama, J. Zuma, Jonathan etc ungesikia CNN. Lakini hako kajamaa bure tupu.


pambaf....


akwende huko...

amezidi kupenda safari za kutanga na njia ...Mungu kampa onyo ..akiendelea na uzururaji wake akirudi atarudia uwanja wa ndege....rais utafikiri hana nchi...kila siku marekani ...like a teenager...

aferal anatafuta tu sababu ya kutokurudi...simply angeweza kuagiza gulfstream imfuate...inaruka hapa direct hadi ..siera leone[houphet bounier airport inajaza mafuta kujiandaa kukatisha atlantic...chap inafika inakwepa kupita europe....withing 24 hrs angekuwa amesharudi....sasa kama anataka kutudananganya kakosa usafiri akadanganye watoto na wale wanaompa kura kila siku[naamini hakuna mwenye akili anayempa kura]...asilimia ya watu waliopata elimu ya uraia Tanzania ni wachache hawzidi 20%...nINAPOSEMA HIVYO naamaanisha kuna wasomi pia ambao hawajui haki zao za kuchagua na kuchaguliwa...]

abakie tu huko...nyumbani hawajui kama hayupo [no added value awepo asiwepo] na huku marekani wameshamchoka ,hata hakuna chombo cha habari kimesema kuna rais wa afrika naye kakwama...
 
Ilipuke volcano nyingine safari za ndege zisitishwe hadi mwakani ili tufanye uchaguzi mapema bila JK kwani Tanzania bila yeye na CCM inawezekana.
 
vitu vidogo vidogo vinamsumbua tu,
ziara hazina tija kwa taifa hili, anazurura tu
halafu mkewe ndo anasomewa taarifa za maendelleo( niliumia sana na kuchukia sana)
ndio maana akirudi huku anakurupuka kusaini sheria za kishenzi shenzi
na kudanganywa ovyo.
natamanan kumzaba vi.......................o!
 
wabongo bana,yakitokea ya poland nyie ndio mtakua wakwanza kuja lia lia hapa,acheni hizo huyo ndio prezidaa wenu mliomchagua mnaye mpaka 2015,mlie tu.
Kulia au kutolia inategema unalilia nini na kwa sababu gani si kila mtu akifa lazima nilie, inategemea mtu huyo ameyagusa maisha yangu kwa kiasi gani kama kila mtu akifa lazima ulie mbona watu wanakufa kila siku basi kila siku tungekuwa tunalia yalipotokea ya Poland binafsi sikulia ila nilisikitika binadamu mwenzangu kapotea.
 
Anasa? kwani aliwaambia analilia kurudi haraka? wakati US kuna kila kitu.
 
vitu vidogo vidogo vinamsumbua tu,
ziara hazina tija kwa taifa hili, anazurura tu
halafu mkewe ndo anasomewa taarifa za maendelleo( niliumia sana na kuchukia sana)
ndio maana akirudi huku anakurupuka kusaini sheria za kishenzi shenzi
na kudanganywa ovyo.
natamanan kumzaba vi.......................o!
Halafu bado kuna watu wazima na akili zao wanapendekeza jina lake lipite bila kupingwa october mwaka huu. Kama si wehu ni nini?
 
Kwa vyovyote vile JK ni Rais wa nchi yetu na tupende tusipende kama waungwana tunawajibika kumpa heshima yake. Bila shaka watu wa nchi zingine wanatushangaa kusoma jinsi tunavyoweza kutumia lugha chafu na za kejeli kwa Rais wa nchi yetu. JK pamoja na mapungufu yote tunayoweza kuyaona, yeye bado atakuwa ni Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuwe wastaarabu kidogo hata kama tunadhani ameshindwa kazi! Kama Watanzania waungwana tuliolelewa katika misingi ya utu, upendo na mshikamano, tumuombee arejee salama nyumbani.

Kama DK Kawambwa bado ni Waziri wa Miundo Mbinu na upupu wote wa TRL huku raisi akiendeshwa kama kiberenge bado tumuheshimu tu? Sophia Simba? na Mwenyekiti wa kamati ya maadili ni Andrew Chenge? Bado tuna Raisi hapa? Jamani ikulu si pa majaribio, brother ameshindwa! Mie ningekuwa yeye nisingegombea awamu ya pili, kwani najiuliza, atawambia nini wa TZ kwneye kampeni? Ameshafeli uongozi, basi apumzike kwa amani, si atakula pensheni yake vizuri tu? Au mpaka aumbuke kwenye kura? Jamaa hawezi jamani, miaka mitano sioni kitu cha kumkumbuka, labda labda niotamkumbuka kwa bei ya sukari kupanda mara 4 inagawa tuna viwanda na mashamba. Sukari TZS 1800/- mashahara TZS 60,000/- bado vichaa kama Mrema wanawalaumu wafanyakazi wakigoma,.......
PRESDA pumzika, ushauri wa bure,......
 
Cheusi,
Sidhani kama nimesema kuwa hiyo kazi haifanywi na watu. Nilichoaamisha na ninachopinga ni matumizi ya lugha yanayolenga kumdhalilisha mtu. Naamini Nyange alitaka kumshushia hadhi JK, kitu ambacho siyo ustaarabu hata kidogo!

Lakini si yeye mwenyewe JK anajishushia hadhi kufanya afanyayo, tofauti na marais wengine? Marekani kila apatapo kasababu, huku nchi iko katika trajectory isiyo? Aliyesema anashindwa hata kuteua DG wa Tanesco for over 8 mths now huku kuna crisis kubwa ya umeme si kasema kweli kuhusu huyu mjamaa? Hana uchungu wa nchi, ingawa atachaguliwa this year tu kwa sababu anatagemea kura za masikini wengi waliojifunika mablanketi ambao hata hawajui umasikini wao unakuja vipi.
 
Kwa vyovyote vile JK ni Rais wa nchi yetu na tupende tusipende kama waungwana tunawajibika kumpa heshima yake. Bila shaka watu wa nchi zingine wanatushangaa kusoma jinsi tunavyoweza kutumia lugha chafu na za kejeli kwa Rais wa nchi yetu. JK pamoja na mapungufu yote tunayoweza kuyaona, yeye bado atakuwa ni Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuwe wastaarabu kidogo hata kama tunadhani ameshindwa kazi!

Kama Watanzania waungwana tuliolelewa katika misingi ya utu, upendo na mshikamano, tumuombee arejee salama nyumbani.

Yaaani suala ya yeye kujifanya kakwamba USA nalo linahitaji maombi? Alternatives za kuja Bongo toka USA ziko nyingi mno, anweza kupita Dubai, au Rio De Jeneairo (tena pale anaweza kukutana na wanyabiashara Watazania waliokwenda kuchukua mzigo).
 
Lakini si yeye mwenyewe JK anajishushia hadhi kufanya afanyayo, tofauti na marais wengine? Marekani kila apatapo kasababu, huku nchi iko katika trajectory isiyo? Aliyesema anashindwa hata kuteua DG wa Tanesco for over 8 mths now huku kuna crisis kubwa ya umeme si kasema kweli kuhusu huyu mjamaa? Hana uchungu wa nchi, ingawa atachaguliwa this year tu kwa sababu anatagemea kura za masikini wengi waliojifunika mablanketi ambao hata hawajui umasikini wao unakuja vipi.

ULIE TU...MAANA KUNA KILA MBINU YA KUMREJESHA DK IDRISA RASHID KWENYE KITI CHA UKURUGENZI TANESCO! Stimulus package 1.7 Trilion, lakini kutenga TZS 300 bil kwa ajili ya mabwa ya umeme hataki! Na sababu ya kuchelewa kumteua mkurugenzi TANESCO ni simple: Hawajapata bingwa watayekula naye ngwe ya pili.....wote walio pita wako makundi ambayo hayamfurahishi...
Nimejifunza kitu hapa....a smiling killer is always successful..maana watu hawawezi kumkamata. Sasa huyu bwana anacheka, huku akitumaliza. Shame on US Tanzanians!
 
This is nonsense ans should not even be in this forum.. wekeni kwenye porojo..

K: Madudu afanyayo Mkuu wa nchi (tena Amiri Jeshi Mkuu) si kitu cha porojo. Ni very serious issue, ingawa wengi wachangaiaji hapa wanalielezea with a light touch.
 
Chochote kile kinachoendelea tumuombe mungu haweze kurudi nyumbani mapema na salama kwani gharama zote za kuchelewa kurudi zinaenda kwa walipa kodi.
 
Yani kama tunatumia ubongo mmoja.Ni vema tukaiomba White House or State Dept kumpatia JK makazi ya kudumu huko U.S.A
 
Back
Top Bottom