cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Kuwepo au kutokuwepo TZ hakuna tofauti. Ukiona kuna jambo baya linalotesa watu kama foleni na umasikini, wakati yeye hajali si bora aanze kuosha vyombo huko na kutawaza vikongwe?
sijui nilie au nicheke!