JK anasa Marekani!!

abaki HUKO HUKO NGAPULILA WETU

I concur -- Abaki tu Marekani na delegation yake awe mshauri wa Obama (without portfolio). Kwani akiwepo Tanzania kuna tofauti gani? Mfano mdogo tu, hadi leo miezi kibao imepita ameshindwa kuteua DG mpya wa Tanesco wakati taifa linakabiliwa na crisis kubwa ya umeme. Need we say more?
 
Nyange una uhuru wa kutoa maoni lakini siyo uhuru wa kutukana. Kama ningekuwa Mod leo ningekupiga ban ya kama siku 14 ukatafakari jinsi ya kuandika. Ukinzingatia kuwa huyu unayemsena ni Rais wa nchi.

Tunahitajika kukosoa au tuna hiari ya kumpenda mtu ila hatuna hiari katika suala la ustaarabu. Just close you eye and think if that person was your father (acha tukuwa rais wa nch)!
lkn mbona tuna wajomba kaka na hata baba zetu wengi tu wanafanya hii kazi ya kutawaza vikongwe ughaibuni sbb hapa nyumbani maisha yanakuwa magumu kila siku na ile ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania ni kitendawili.
mi natamani ingewezekana akapangiwa kupiga box labda angejifunza kitu juu ya shida za watanzania!
 
akagombee hata udiwani wa california sisi tubaki na mtikila wetu hapa
 
lkn mbona tuna wajomba kaka na hata baba zetu wengi tu wanafanya hii kazi ya kutawaza vikongwe ughaibuni sbb hapa nyumbani maisha yanakuwa magumu kila siku na ile ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania ni kitendawili.
mi natamani ingewezekana akapangiwa kupiga box labda angejifunza kitu juu ya shida za watanzania!

Cheusi,
Sidhani kama nimesema kuwa hiyo kazi haifanywi na watu. Nilichoaamisha na ninachopinga ni matumizi ya lugha yanayolenga kumdhalilisha mtu. Naamini Nyange alitaka kumshushia hadhi JK, kitu ambacho siyo ustaarabu hata kidogo!
 
Cheusi,
Sidhani kama nimesema kuwa hiyo kazi haifanywi na watu. Nilichoaamisha na ninachopinga ni matumizi ya lugha yanayolenga kumdhalilisha mtu. Naamini Nyange alitaka kumshushia hadhi JK, kitu ambacho siyo ustaarabu hata kidogo!
Dark City

Usimwonee Nyange mbona JK alishawahi kuitwa kichaa akapimwe akili na thread hiyo bado ipo hadi magazetini ipo hukuwahi kusema kadhalilishwa kwani kuitwa kichaa na kuosha vyombo lipi tusi kwako.
 
This is one lame excuse,flights from the US to Africa have not been affected and he can also come via Rio/j.bourg.Maybe those designer suits have to be picked up from Europe and you all know how we value our looks.
 
Cheusi,
Sidhani kama nimesema kuwa hiyo kazi haifanywi na watu. Nilichoaamisha na ninachopinga ni matumizi ya lugha yanayolenga kumdhalilisha mtu. Naamini Nyange alitaka kumshushia hadhi JK, kitu ambacho siyo ustaarabu hata kidogo!
nimekuelewa my broda,lkn sidhani kama ametukanwa bali nyange ameonesha tu ni kiasi gani hana hamu na huyu mr prezdaaa!ni vizuri watu waongee yanayowakera moyoni ili hawa viongozi wajue kuwa watanzania wameshapoteza uvumilivu.
 
Kwani kama alipaswa kurudi na hajachukua hatua, si inabidi ajishughurishe? Kwani wabongo wanaofanya kazi hizo huko sio watu? au sie hatujui kazi za huko? Sasa yeye kuanzia asub hahi jioni anafanya nini? nawenzetu wana ma-plan yao ya maisha
 
Mwambie!!!!!!! kwani kila mtu akifuatilia tangu ukiwa mtoto mpaka una pata ajira ya kueleweka, kazi zoote ulizofanya ukikumbuka si zipo kama hizo? Mfano Nesi Hosp, mgonjwa akitapika anafanyaje? 'KAZI NDO MSINGI WA MAENDELEO' ndo maana habanduki huko, na kama anabishi awaulize wanao ishi majuu kazi zao ni zipi?
 
ukweli ni kwamba Tz haina raisi kwa hiyo kuwepo kwake au kutokuwepo hakuna athali yeyote kwa wananchi.Maisha bora ameshindwa kutupatia kwa miaka yote hiyo minne na nusu sasa kwa miezi hii iliyobaki atafanya nini. Chakufanya ni kumpiga chini kwenye uchaguzi mkuu tuone kama atsafiri kama anavyofanya sasa.
 
E= Me nadhani abaki hukohuko, kwasasa si muhimu sana kurudi. Aombe uraia wa USA kuonesha msisitizo na Shein ashikilia office hadi mwezi wa kumi!
 
kwani volcanao ya iceland ina uhusiana gani na yeye kuwa marekani. ka kuridi nyumbani Apande ndege kama ni stop a stosp spain au Dubai. wamekariri kuwa from US lazima wastop Ulaya ya london.

Kazi kweli kweli.
Otherwise na yeye anafurahia kuwa huko. siamini kama rais wa nchi anaweza kukuwama kama abiria wa kawaida. Ni ajabu. na ndio hapo Integrity ya utendaji ya usalama wa taifa unawekwa kwenye darubini

Haijafungwa anga ya USA iweje akwame? kama ni kweli kuna wavivu hapo.
 
Kwa vyovyote vile JK ni Rais wa nchi yetu na tupende tusipende kama waungwana tunawajibika kumpa heshima yake. Bila shaka watu wa nchi zingine wanatushangaa kusoma jinsi tunavyoweza kutumia lugha chafu na za kejeli kwa Rais wa nchi yetu. JK pamoja na mapungufu yote tunayoweza kuyaona, yeye bado atakuwa ni Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuwe wastaarabu kidogo hata kama tunadhani ameshindwa kazi!

Kama Watanzania waungwana tuliolelewa katika misingi ya utu, upendo na mshikamano, tumuombee arejee salama nyumbani.
 
nimekuelewa my broda,lkn sidhani kama ametukanwa bali nyange ameonesha tu ni kiasi gani hana hamu na huyu mr prezdaaa!ni vizuri watu waongee yanayowakera moyoni ili hawa viongozi wajue kuwa watanzania wameshapoteza uvumilivu.

Ni kweli, lakini hakuwa na maneno mengine ambayo angetumia? Hata kama humpendi mtu kiasi gani, sidhani kama ni sahihi kumvurumishia matusi kwenye public. Mpe heshima yake kama binadamu mwingine yeyote.

Mwambie!!!!!!! kwani kila mtu akifuatilia tangu ukiwa mtoto mpaka una pata ajira ya kueleweka, kazi zoote ulizofanya ukikumbuka si zipo kama hizo? Mfano Nesi Hosp, mgonjwa akitapika anafanyaje? 'KAZI NDO MSINGI WA MAENDELEO' ndo maana habanduki huko, na kama anabishi awaulize wanao ishi majuu kazi zao ni zipi?

Hayo yote yanajulikana. Lakini tunapomwongelea mtu (tena Rais) ni vizuri kutumia lugha yenye heshima. Kama huoni hilo ni sawa tu. Watu wanatofautiana na huo ndio utashi wako.

chonde chonde punguza ukali wa maneno

Hayo ndiyo ninayomweleza Nyange. Huwezi kutumia lugha kama hiyo tena kwa Rais wa nchi.

Kwa vyovyote vile JK ni Rais wa nchi yetu na tupende tusipende kama waungwana tunawajibika kumpa heshima yake. Bila shaka watu wa nchi zingine wanatushangaa kusoma jinsi tunavyoweza kutumia lugha chafu na za kejeli kwa Rais wa nchi yetu. JK pamoja na mapungufu yote tunayoweza kuyaona, yeye bado atakuwa ni Rais wa Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuwe wastaarabu kidogo hata kama tunadhani ameshindwa kazi!

Kama Watanzania waungwana tuliolelewa katika misingi ya utu, upendo na mshikamano, tumuombee arejee salama nyumbani.

Kweli kabisa, hata kama JK humpendi lakini ni Rais wako. Kumtukana sana sana kunashusha hadhi ya kila mtu ikiwa ni pamoja na huyo anayetukana.
 
akitaka kurudi anarudi tu ......anapitia far east kisha umangani the back to bongo .....

akiamua kubaki ni kwa raha zake tu
 
Tutumie teknolojia yetu ya kienyeji ya ungo bila shaka hatagoma tukiwatuma wazee ukizingatia mkoa anaotoka mambo hayo si mageni. Maana mie naona Wamarekani sasa watakua wamemchoka asije akaonekana mzamiaji bure.
 
Back
Top Bottom