mwakabhuta
Member
- Oct 4, 2010
- 17
- 9
If you all did not know, it is one quality of good leadership character. As a leader he is not supposed to be know more than all others, he just has to know all those who know the important things and to employ them to his advantage.
Yaani hadesi ila anatumia watu wake kupata taarifa muhimu za msingi kabla hajazungumza asije aka-offend baadhi ya watu katika vikao vya kimataifa.
Hilo ni suala rahisi tu ila kuna watu wanataka kuharibu kutokana na kutoelewa kwao. Hivi unafikiri rais lazima awe na IQ kubwa kuliko watanzania wote? La msingi ni kujua kuwatumia watu wenye IQ kubwa kwa manufaa. Ndio maana hata mkiomba kazi huko mnakotuma tuma ma-CV yenu watu wanaangalia kama mna akili ili wawatumie kukuza mapato ya kampuni zao.
Hebu tafuteni mada nyingine ya msingi naona hii inataka kunichefua ntatapikia laptop yangu bure hapa...
Yaani hadesi ila anatumia watu wake kupata taarifa muhimu za msingi kabla hajazungumza asije aka-offend baadhi ya watu katika vikao vya kimataifa.
Hilo ni suala rahisi tu ila kuna watu wanataka kuharibu kutokana na kutoelewa kwao. Hivi unafikiri rais lazima awe na IQ kubwa kuliko watanzania wote? La msingi ni kujua kuwatumia watu wenye IQ kubwa kwa manufaa. Ndio maana hata mkiomba kazi huko mnakotuma tuma ma-CV yenu watu wanaangalia kama mna akili ili wawatumie kukuza mapato ya kampuni zao.
Hebu tafuteni mada nyingine ya msingi naona hii inataka kunichefua ntatapikia laptop yangu bure hapa...