Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya mgomo wa madaktari kuanza nchi nzima rais wetu ametoa nafasi kwa wagonjwa mahututi kupelekwa india ili kuepuka zakhama itakayowakuta wakati wa mgomo' huu ni upendo wa dhati Rahisi kutoa ndege yake tuliyoambiwa tutakula nyasi inunuliwe leo inatusaidia....! So wenye wagonjwa mtafuteni miss nkya na handsome mponda! Chi chi em oyeee...!