JK Akijirusha baada ya kufunga mkutano wa UCHUMI

Hii ndo dunia na ndo maana Wanasiasa wanataka raha hawataki kukosa mambo kama haya!
 
vitu kama hivyo JK NDIO UWANJA WAKE, HAPO ANAKULA MIA KWA MIA
 
_DSC0520.JPG



Huyu dada anayecheza na Shein ni nani? Maana ni mrembo wa haja!
doh,huyu dada kashafika ikulu?tena binafsi?asante jk,huyu demu hata mimi ningekuwa na uwezo ningefanya hivyo,namkubali sana kwa kila kitu,kweli rais wetu macho yake marefu.
 
thats is his strength.... huyo dada mwenye kipara tayari ameshapata maisha bora kwa kila mtanzania huyo
 
Huyu Dada ni huyu hapa cheki maelezo yenye bold...

RAIS Jakaya Kikwete amewateua wanawake watatu kuwa maafisa katika ofisi yake binafsi. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyopatikana jana, walioteuliwa ni Elsie Kanza kuwa msaidizi wa Rais wa Mambo ya Uchumi, Fatma Mwasa kuwa Msaidizi wa Rais wa Masuala ya Jamii na Premiere Kibanga kuwa Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi. Taarifa hiyo inaeleza kuwa Kibanga atakuwa akishirikiana na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi wa sasa, Maura Mwingira.
Kabla ya uteuzi huo, Kanza alikuwa msaidizi maalumu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Mwasa alikuwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS na Kibanga alikuwa Afisa Habari wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) Kusini mwa Sudan . Taarifa inaeleza kuwa usteuzi huo unaanza mara moja

Huyo Dada anacheza na sheni sio mchezo umbo kabarikiwa naimani mama sheni atakuwa hakuwepo hapo .Hawa watu wajanja wanamtupia sheni kichinchira kama hicho si kumtafutia matatizo tu na mama watot , any way mwache ajikumbushe ujana
 
Aibu tupu, hasa nchi yako inapokuwa bado inamatatizo na migogoro mengi aliyoisababisha yeye na utawala wake yeye anaselebuka! This is not true bwana? Let us put our hand together na tushikilie kunako ili october awe out of office!
Kama sikosei tayari alikwisha wafanyia cocktail party pale ikulu, kumbe kulikuwa na haya mengine!
 
wahishimiwa wenu wanacheza KIDUKU!!!
Umetaka nicheke sana na umefanikiwa
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden"><input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
Zuma kiboko kwa kudua,
Najua tu lazima alifunika ukumbi mzima..

Fidel ile Dance ya Zuma kule bondeni inajulikana kama "UMSHOLOZI" Wakati akiwa rais wa ANC, kabla ya kuwa Presidaa wa South Africa alikuwa akidance sana kwenye mikutano ya wazi, lkn alipochaguliwa kuwa rais wa nchi wadadisi wa mambo wanasema kwa sababu ashakuwa rais wa watu wote alishauliwa asi cheze tena UMSHOLOZI, ili itifaki izangatiwe. All in all kila ninapomuona Zuma nahisi muda wowote anaweza nyanyua mguu wake juu akacheza Umsholozi. Namzimia sana Zuma kwa hilo la kuenzi asili yake.
 
Huyu Dada ni huyu hapa cheki maelezo yenye bold...

RAIS Jakaya Kikwete amewateua wanawake watatu kuwa maafisa katika ofisi yake binafsi. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyopatikana jana, walioteuliwa ni Elsie Kanza kuwa msaidizi wa Rais wa Mambo ya Uchumi, Fatma Mwasa kuwa Msaidizi wa Rais wa Masuala ya Jamii na Premiere Kibanga kuwa Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi. Taarifa hiyo inaeleza kuwa Kibanga atakuwa akishirikiana na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi wa sasa, Maura Mwingira.
Kabla ya uteuzi huo, Kanza alikuwa msaidizi maalumu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Mwasa alikuwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS na Kibanga alikuwa Afisa Habari wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) Kusini mwa Sudan . Taarifa inaeleza kuwa usteuzi huo unaanza mara moja

AAAh baaaaaaasi! no doubt huyo ni ongezeko katika listi ya ma pumziko yake, kweli jamaa ni Mkware ooooh samanahi Mkwere
 
Huyu Dada ni huyu hapa cheki maelezo yenye bold...

RAIS Jakaya Kikwete amewateua wanawake watatu kuwa maafisa katika ofisi yake binafsi. Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu iliyopatikana jana, walioteuliwa ni Elsie Kanza kuwa msaidizi wa Rais wa Mambo ya Uchumi, Fatma Mwasa kuwa Msaidizi wa Rais wa Masuala ya Jamii na Premiere Kibanga kuwa Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi. Taarifa hiyo inaeleza kuwa Kibanga atakuwa akishirikiana na Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi wa sasa, Maura Mwingira.
Kabla ya uteuzi huo, Kanza alikuwa msaidizi maalumu wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Mwasa alikuwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS na Kibanga alikuwa Afisa Habari wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) Kusini mwa Sudan . Taarifa inaeleza kuwa usteuzi huo unaanza mara moja
Mbona majina kama ya kinyarwanda??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom